Njoo PM niku Assist

Njoo PM niku Assist

Nakumbuka mwaka 2008 kuna jamaa mmoja hivi alikuwa maarufu sana humu na tulikuwa tumezoeana kiasi [kiJF].

Siku moja akaomba nimkopeshe dola 1,200 ili aweze kulipa ada yake ya shule huko USA.

Ilibidi nicheke kwanza kwa kuwa hata na huo uthubutu wa kuomba nimkopeshe hizo hela.

Nadhani alijutia sana hicho kitendo na muda si mrefu akaacha kabisa kuchangia.

Ila nahisi bado yupo humu lakini kwa jina jingine na mara nyingi huwa anajitokeza kwenye nyuzi akiona kuna watu wananiponda. Huwa anaunga tela na kuanza kuniponda sana. Bado ana hasira na mimi😀.
Hii ya watu kuzuka PM na kuomba kukopeshwa hela za ada... nimeshazizoea sana.

Uzuri PM za namna hiyo wala hata sihangaiki kuzijibu...

kwangu mimi ni bora mtu aombe msaada, naweza kumsaidia.... Lakini mkopo??? Nehi!!
 
Hahaha tatizo watu wakijua uko abrodi wanajua zimejaaa, hawaelewi kuwa majuu laifu liko juu sana

Hata kama ninazo, sikopeshi tu hela hivi hivi.

Kwa kawaida huwa natumia masharti ya kibenki kama mtu atanikopa hela.

Ni lazima mtu awe na kazi ya kueleweka, ni lazima nijue makazi yake, ni lazima tuandikishiane, ni lazima awepo shuhuda zaidi ya mmoja, na kadhalika.....
 
Naona mods wamefuta nyuzi zote zinazomtuhumu tapeli Raimundo,vizuri.

Sasa endapo uzi wowote wa kumsafisha huyo bwana ukianzishwa na kuachwa hewani JF wajiandae kujibu hoja nzito,na haitokuwa tena kuhusu Raimundo bali JF yenyewe.



Kabisa!! Naunga mkono hoja
 
Bibie mm mwenyewe ni Muhanga wa Raimundonization..Yaan hua anakufuata Pm anakuomba umkope 30-45 akisema atarudisha lakini harudishi tena na ukimtafuta hakujibu..Hua anaomba watu wengi kwa wakat mmoja.Mfano trh 25 june katufuata pm mm the bold na Emmyta kwa wakat mmoja ila malaika wa kheri alikua upande wetu..
Sasa wapo kibao wameshalizwa nae toka 2015 .
RRONDO ndio kamuumbua baada ya kutolipwa pesa zake.

ASSIST HAIJAMUACHA MTU SALAMA.
WHY ASSIST?
ASSIST NI NENO HUA ANALITUMIA PM.
Eg.Naomba uni ASSIST 20K nitarudisha baada ya wiki..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha mond kumbe assist ndo ilipoibukia lol!!
 
Yap ndio ilipoanzia,wewe hajakuomba Assist?




Gene naomba Assist ya buku kumi basi nitakupa Allah akijalia

-Mond-
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mi mond nakupa unajua we wangu sema umenitupa cku hzi!!
 
Nakumbuka mwaka 2008 kuna jamaa mmoja hivi alikuwa maarufu sana humu na tulikuwa tumezoeana kiasi [kiJF].

Siku moja akaomba nimkopeshe dola 1,200 ili aweze kulipa ada yake ya shule huko USA.

Ilibidi nicheke kwanza kwa kuwa hata na huo uthubutu wa kuomba nimkopeshe hizo hela.

Nadhani alijutia sana hicho kitendo na muda si mrefu akaacha kabisa kuchangia.

Ila nahisi bado yupo humu lakini kwa jina jingine na mara nyingi huwa anajitokeza kwenye nyuzi akiona kuna watu wananiponda. Huwa anaunga tela na kuanza kuniponda sana. Bado ana hasira na mimi😀.
Kweli Dinia pana MTU mmoja hawez jaa!!
Huyo jamaa anaitafuta Jehanam ya Lazma!!! Kwani Assist ni Lazima!!
Me Naweza mu assist MTU Likes Tu!!
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hakuna hatq mmoja alie ni assist
Au mods wamebana notificatio
Zang


Ukhuty embu karbia
 
Back
Top Bottom