Njoo Tuambiane Kijiji Chetu Tulichotoka

Njoo Tuambiane Kijiji Chetu Tulichotoka

Hahahahaaa sijavuruga kwa ubaya, si unaona ID yangu. Mzee alikua Mwalimu, enzi za Primary hizo ndio alipita Mseko, Shelui, Ntwike, Tumuli, Malugha, Mukonze..Kinampanda kabla mauti haijamfika. Huko Nkinga nilisoma na kuhitimu elimu ya msingi.
Pole kwa baba,nikajua uliwavuruga dada zako,Kinampanda ulikuwepo mwaka gani
 
Pole kwa baba,nikajua uliwavuruga dada zako,Kinampanda ulikuwepo mwaka gani

Ahsante. Kinampanda nilikua naenda tu lumsabahi Baba wakati yupo huko miaka ya 2004. Mie muhenga ujue.

Ila ine numunatulu, lkinilamba nikimanile kunsoko kwikalile sana kwilamba. Kunshetu ku Iguguno.
 
Ahsante. Kinampanda nilikua naenda tu lumsabahi Baba wakati yupo huko miaka ya 204. Mie muhenga ujue.

Ila ine numunatulu, lkinilamba nikimanile kunsoko kwikalile sana kwilamba. Kunshetu ku Iguguno.
hahaha hta mie mhenga, ali ntite mama wane namudoo alimutolwe nu Dr Makala,pia nna marafiki kibao sana Iguguno aiseee
 
Back
Top Bottom