Karibu hapa Nelagani mjini tule vitu fama hahahahahaMimi nipo Buhangija kona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu hapa Nelagani mjini tule vitu fama hahahahahaMimi nipo Buhangija kona
Kanyigo hiyoBugombe
Weee kumbe unatoka pande anazotoka mama yangu? KwareKirongo Chini karibu na soko la Udoro.
Natokea Samuye natia timu hapo dk 0Karibu supu muda huu niko hapa Nelegani kwa Masanja!
Km nitakuwa nimetoka Mwanza pana shoti kati hapo,ama mbele ya Shelui
Ulivuruga kwa wema ama ndo ulikuwa unawavuruga dada zako aiseeee,ehee numunilamba wa ku Ndago aweeUnanikumbusha mbali sana, nilivuruga sana maeneo ya huko, Mseko, Igunga, Nkinga, Sekenke, Ntwike, Tumuli, Iguguno....orodha ni ndefu. Kwa hiyo uwe umunilamba ne?
Kwa Mtikila na Arch Bishop Mtetemela, huko viazi vinalimwa bila ya mbolea.Millow village ludewa (ila naweza badili [emoji3][emoji3][emoji3])
Kwa Mtikila na Arch Bishop Mtetemela, huko viazi vinalimwa bila ya mbolea.
Vv
Kitwe,kabale,karabagaine bila kusahau kijunja kashasha
Ndio mzeeKagera moja
Asante sana mkuu!! Karibu Buhangija piaKaribu hapa Nelagani mjini tule vitu fama hahahahaha
Mimi mwenyeji kidogo huko Kabale, zamani nilikuwa nachanganya na RubaleNdio mzee
Ulivuruga kwa wema ama ndo ulikuwa unawavuruga dada zako aiseeee,ehee numunilamba wa ku Ndago awee
MulemuleMajita moja
Uko hapo kwenye Chuo cha Katoliki?Asante sana mkuu!! Karibu Buhangija pia
Itakua kota za jeshiWewe!! Ibinzamata ya wapi? Bugayambelele, Bugwandege au