Njoo Tuambiane Kijiji Chetu Tulichotoka

Njoo Tuambiane Kijiji Chetu Tulichotoka

Ulivuruga kwa wema ama ndo ulikuwa unawavuruga dada zako aiseeee,ehee numunilamba wa ku Ndago awee

Hahahahaaa sijavuruga kwa ubaya, si unaona ID yangu. Mzee alikua Mwalimu, enzi za Primary hizo ndio alipita Mseko, Shelui, Ntwike, Tumuli, Malugha, Mukonze..Kinampanda kabla mauti haijamfika. Huko Nkinga nilisoma na kuhitimu elimu ya msingi.
 
Back
Top Bottom