Lomwe, Vuagha, Kiriki, Mombasastoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lomwe, Vuagha, Kiriki, Mombasastoo
Pole kwa baba,nikajua uliwavuruga dada zako,Kinampanda ulikuwepo mwaka ganiHahahahaaa sijavuruga kwa ubaya, si unaona ID yangu. Mzee alikua Mwalimu, enzi za Primary hizo ndio alipita Mseko, Shelui, Ntwike, Tumuli, Malugha, Mukonze..Kinampanda kabla mauti haijamfika. Huko Nkinga nilisoma na kuhitimu elimu ya msingi.
Nipo njiani nakuja SukumalandMimi nipo Buhangija kona
mi kitoboKanyigo hiyo
Pole kwa baba,nikajua uliwavuruga dada zako,Kinampanda ulikuwepo mwaka gani
Nice to meet you lol!!Uko anatoka pia Mama,tunaendaga kusalimia.
Inna njoo umsalimia jirani yako..Marangu mae
Nice to meet you lol!!
Kwa babu yangu ni hapo mbololo kwenye maembe mengiii
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha hta mie mhenga, ali ntite mama wane namudoo alimutolwe nu Dr Makala,pia nna marafiki kibao sana Iguguno aiseeeAhsante. Kinampanda nilikua naenda tu lumsabahi Baba wakati yupo huko miaka ya 204. Mie muhenga ujue.
Ila ine numunatulu, lkinilamba nikimanile kunsoko kwikalile sana kwilamba. Kunshetu ku Iguguno.
Hahahaha karibu sana mkuuNipo njiani nakuja Sukumaland
Mimi ni central machame.Karibu.
Mimi mzee wangu wa Uru Mawela.
Mimi pia mwenyeji sana Kinampanda, sitapasahau Mdundiko foleni ya majiPole kwa baba,nikajua uliwavuruga dada zako,Kinampanda ulikuwepo mwaka gani
Home kwangu Sasa no Iringa. Kata ya gangilonga karibu na kleruu chuoniKaribu.
Mimi mzee wangu wa Uru Mawela.
Ndo maeneo hayo mkuu, jirani na Ibinzamata PrimaryItakua kota za jeshi
Mie sio mwenyeji sema tulikuwa tunaenda kwa ajili ya UmisetaMimi pia mwenyeji sana Kinampanda, sitapasahau Mdundiko foleni ya maji
Uko hapo kwenye Chuo cha Katoliki?