Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,718
- 15,347
Hahahaha ingekuwa hatutumii Id feki nngekutajia majina yaoHahahahaha!!! Basi kuna mmoja hapo nimemaliza nae darasa moja!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha ingekuwa hatutumii Id feki nngekutajia majina yaoHahahahaha!!! Basi kuna mmoja hapo nimemaliza nae darasa moja!!
hiyo Shinyanga mkuu.Hii lazima itakuwa Burundi wallah
aisee kumbe unaweza kujikuta unaquote uzi wa jamaa, unamsukumia dongo kumbe mko siti moja kwenye basi moja!!Nipo njiani nakuja Sukumaland
Kitwe IPI MZEE kuna amnazi.kitandaile au rugaze au kitoma mitaa yangu iyoKitwe,kabale,karabagaine bila kusahau kijunja kashasha
Hahahaha haya mkuu... nashukuru kwa taarifa.hiyo Shinyanga mkuu.
Uakapoanza kusikia Murvyagira, Mugikomero, Icibitoke, Ishoza, Mugakecuru, Mugwinkwavu na Mundarangavye basi tambua unaikaribia himaya ya mh. Nkurunziza (habari njema)
Hapo nakumbuka bibi yangu alikuwaga analeta nguo tulizozichoka, yeye anapewa mpunga, michembe.Salawe
Hapo ndipo shoka ilipotoka na Mpini kubakia huko
Wacha we, mwendo wa michembe na matobolwa tu.Bariadi - Mnyantuzu orijino (Somanda hospitalini pale). Mitaa yote ya Sanungu, Sima, Kidinda, Mbiti, Majahida, Ibulyu, Ngulyati, Mahaha, Old Maswa, Ngashanda, Busheni, Matale, Ng'wamapalala, Bumela, Luguru ginnery, Ikungulyabashashi, Gamboshi...Love home...
Sisi ni next Zulu na TswanaMpaka hapa wasukuma mmetisha, kweli tuko wengi. Namiss Bhugali bho ndemi.
ibinzamata
Hahaha, hilo nalo neno mkuu. Yaani saivi ndo tunatoka Singida, Dsm-Mwanza hii route naona saivi ni michosho sana. Afadhali nitakayeshukia Shy.aisee kumbe unaweza kujikuta unaquote uzi wa jamaa, unamsukumia dongo kumbe mko siti moja kwenye basi moja!!