Njoo tuambizane ni nani ungependa kukutana naye

Njoo tuambizane ni nani ungependa kukutana naye

Huko waliko mitume na manabii
Ukifa hauendi popote.
mwanzo 3;19
'Adamu alipo kufa alikoma kuwapo"

Kwani lengo la mungu kutumba duniani ni nini?

Kama adamu na hawa wasingekula tunda wangeishi milele duniani bila kifo!

Mungu aliumba viumbe watakao ishi duniani na kuna viumbe aliwaumba wataishi mbinguni! mfno. malaika.
 
Ukifa hauendi popote.
mwanzo 3;19
'Adamu alipo kufa alikoma kuwapo"

Kwani lengo la mungu kutumba duniani ni nini?

Kama adamu na hawa wasingekula tunda wangeishi milele duniani bila kifo!

Mungu aliumba viumbe watakao ishi duniani na kuna viumbe aliwaumba wataishi mbinguni! mfno. malaika.
Sasa hii parapanda itakayolia Sikh ya mwisho kwa ajili ya ufufuo inazungumziwa biblia gani?
 
Sasa hii parapanda itakayolia Sikh ya mwisho kwa ajili ya ufufuo inazungumziwa biblia gani?
Japo Sijaelewa swali lako..!

Ukisoma vizuri hicho kifungu.. kinaongelea pia ujio wa yesu kuja kufufua watu duniani.. hiyo ina maanisha ukifa hauendi popote..

Nimekupa na kifungu hichi hapa mwanzo 3:19
'adam alipokufa alikoma kuwapo" (unaelewa maana ya kukoma kuwapo?)

Sasa jiulize mwenyewe! kama ukifa unaenda mbinguni au jehanam ni watu gani ambao yesu atawafufua duniani?
kwanini asiwachukue huko mbinguni au jehanam walikoenda?
 
Japo Sijaelewa swali lako..!

Ukisoma vizuri hicho kifungu.. kinaongelea pia ujio wa yesu kuja kufufua watu duniani.. hiyo ina maanisha ukifa hauendi popote..

Nimekupa na kifungu hichi hapa mwanzo 3:19
'adam alipokufa alikoma kuwapo" (unaelewa maana ya kukoma kuwapo?)

Sasa jiulize mwenyewe! kama ukifa unaenda mbinguni au jehanam ni watu gani ambao yesu atawafufua duniani?
kwanini asiwachukue huko mbinguni au jehanam walikoenda?
Ulivyojibu ulikuwa sawa Mtumishi naomba tuishie hapa
Japo Sijaelewa swali lako..!

Ukisoma vizuri hicho kifungu.. kinaongelea pia ujio wa yesu kuja kufufua watu duniani.. hiyo ina maanisha ukifa hauendi popote..

Nimekupa na kifungu hichi hapa mwanzo 3:19
'adam alipokufa alikoma kuwapo" (unaelewa maana ya kukoma kuwapo?)

Sasa jiulize mwenyewe! kama ukifa unaenda mbinguni au jehanam ni watu gani ambao yesu atawafufua duniani?
kwanini asiwachukue huko mbinguni au jehanam walikoenda?
Ndugu mtumishi wew utanivuruga kwa sababu upande wako unaamin huo mstari wa Adam kwamba mtu akifa haendi popote, lakini

Ufunuo wa yohana 20:12 nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi na vitabu vikafunguliwa na kitabu kingine
Kikafunguliwa,

Kwa hiyo mistar wew unapata picha gani kwamba hakuna ufufuo kiongozi?


waumini wengi wanaamini ufufuo upo siku ya kuja kwamwana was Adam.
 
Ulivyojibu ulikuwa sawa Mtumishi naomba tuishie hapa

Ndugu mtumishi wew utanivuruga kwa sababu upande wako unaamin huo mstari wa Adam kwamba mtu akifa haendi popote, lakini

Ufunuo wa yohana 20:12 nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi na vitabu vikafunguliwa na kitabu kingine
Kikafunguliwa,

Kwa hiyo mistar wew unapata picha gani kwamba hakuna ufufuo kiongozi?


waumini wengi wanaamini ufufuo upo siku ya kuja kwamwana was Adam.
Mkuu naona hatukuelewana mwanzo.

Nacho pinga mimi ni kua unapo kufa hauendi mbingunh/jehanam..

Ukifa habari yako inaishia hapo..! lakini kuna tumaini la ufufuo kwahiyo mimi sijapinga ufufuo..

ila nachopinga nikua tukifufuliwa hatuendi mbinguni wala jehanam..
 
Wakuu nimekaa nikatafakari, kuna mtu ningepata nafasi ya kukutana nae basi ingebidi anijibu maswali kadha wa kadhaa, bahati mbaya muhusika mwenyewe hata kwa majina simujui.

Hivi wakuu huyu mvumbuzi wa Bangi alikuwa akiwaza nini, na kabla ya kupata ladha ya aliyoipaya kwenye bangi jee alijaribu mimea mingine mingap kiasi kwamba akaamua ku stick kwenye mmea.
daah kuna watu wanastahili heshima!!!!
 
Back
Top Bottom