Njoo tukumbushane visa na matukio kutoka kwa viranja ,mamonitor wa secondary na primary:

Duuuh kweli kila jambo na wakati wake
 
Bila shaka wewe ni dizain ya wale wanafunzi wasafii, wanajibu kila swali, walimu wote mnajuana, wanoko wanoko kila muda wanaenda staff!
You are correct 99%

Halafu sijawahi hata kugombea uongozi nilikuwa na aibu balaa ila walimu walikuwa wananipenda tu kwa upole wangu.
Mara zote nimechaguliwa na walimu na wanafunzi wezangu.
 
Nachukia sana watu wa hivi wanaowanea wenzao bila ya kuwepo sababu zozote zile.
Yaani
Niliichukia shule lakinii haikusaidia, nilivyokua na akili mbovu nikamwandikia mwalimu mkuu barua ya kukataa umonitress na sababu ya wale wavulana, wakachapwa sasa zile hasira wakarudisha kwangu jioni yake weeee!!!!!, usiombe
 
Yule monitor hatokuja kunishau maisha yake yote. Kiherehere cha kunionea kisa mi mdogo ni cha nini,

Nilisubiri wote class wametoka nikasepa na begi la daftari nikaenda kutia moto huko mbele. Alianza upya kuandika notisi mi nmachora tu. Sipendi ujinga mimi
 
Mwalimu alitakiwa afuatilie kuhakikisha hawakuonei. Walimu wengine hovyo kabisa!

Yaani
Niliichukia shule lakinii haikusaidia, nilivyokua na akili mbovu nikamwandikia mwalimu mkuu barua ya kukataa umonitress na sababu ya wale wavulana, wakachapwa sasa zile hasira wakarudisha kwangu jioni yake weeee!!!!!, usiombe
 
Mwalimu alitakiwa afuatilie kuhakikisha hawakuonei. Walimu wengine hovyo kabisa!
Ni changamoto kwa kweli!!!! Ila na shukuru Mungu kwa yote!
 
Reactions: BAK
Kusema ukwel sjawahi kuonewa na viranja isipokuwa ni marafik zangu ndo walikuwa wsnanionea na kuhusu a sec nimewahinkupigwa fimbo mbili mtu mpaka namaliza na kuhusu monitress alikuwa mchumba wangu mpaka sasa kwahyo hata head perfect ni best wangu hatari chuga raha bwana
 
Nakumbuka enzi hizo miaka ya 2005 nurulyakin sec. temeke kulikuwa na likiranja moja lilikuwa linaitwa jitu babe,lipo cool full time lkn lilikuwa staarabu mpaka ulichokoze nilikuwa mtukutu siku moja lilinidekisha choo wiki nzima.
 
Primary nilikuwa moniter kwa miaka mitatu na secondary kwa miaka miwili kuanza cha tatu hadi cha NNE. Huyo Monitress wangu wa o level nilikuwa namshika nyonyo darasani na kula denda na mambo mengi tu ya chumbani lakini mimi nilikuwa nayafanya darasani. Nasikia kaolewa na kijeba huko zenji. Dorothea eeeeh, njoo mama tukumbushie kidogo mambo ya enzi za utawala wetu.

Pia kipindi chote cha utawala wangu nilikuwa mpiga kelele wa mfano wa kuigwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…