Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Aiseh hii inatisha sana kwa kweli mmh


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Miaka ya 90 somewhere hapa Tz katika harakati za kimaisha nilikuwa nalazimika kukatiza msitu mnene mida ya sanne hadi satano usiku nikiwa peke yangu karibu kila siku.

Basi ilikuwa kwamba kila ninapofika katikatii ya msitu huo nilikuwa nakuta joka kubwa (unene wake kipenyo sentimita 20) limelala kukatizaa barabara. Mimi si mwoga, sikuwai kumkimbia yule nyoka badala yake huokota mawe na kumshambulia hadi anatokomea.

Hii ilikuwa karibu kila s

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hukuwah kupatwa na mikosi yeyote?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka nilipokuwa na miaka kati ya 5 au 6,tulienda kijijini na wazazi wangu kuwatembelea Bibi na babu,kwavile Mimi ndo nilikuwa mjukuu wa kwanza kwa babu alikuwa anapenda kutoka na Mimi kila akiwa na mizunguko yake pale kijijini,siku moja tumeenda kwa rafiki yake mmoja alitukaribisha kwenye nyumba yake ilikuwa ni zile nyumba za nyasi za mviringo

Basi akatuacha ndan mm na babu Kuna kitu Kama alifuata nje,zile akili za utoto kuangalia juu ya ile nyumba nikaona watu wamekaa wanatuangalia huku wakiwa wamejipaka kama unga usoni,nilivyomstua babu ili na yeye aangalie juu sikuwaona tena wale watu pale juu mpka tunaondka na babu kwa yule rafiki yake.
 
Walikuwa misukule nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Bila shaka misukule au wachawi , aiseh inatisha


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Boya Sana wewe uliogopa nini..?
Ungechukua toto hilo nyie kila kitu mnaonaga negative tu kwanini usiseme bwana kakuonyesha kimwana wa kuoa!
Mkuu Kama unaikumbuka namba yake nitumie halafu ntakupa mrejesho nimemfanya nini!
 
Boya Sana wewe uliogopa nini..?
Ungechukua toto hilo nyie kila kitu mnaonaga negative tu kwanini usiseme bwana kakuonyesha kimwana wa kuoa!
Mkuu Kama unaikumbuka namba yake nitumie halafu ntakupa mrejesho nimemfanya nini!
Hili lina ukweli na pia lina ukakasi kidogo. Hapo kuna mambo mawili huenda huyo dada akawa ni miongoni mwa majini wale wanaopendaga kuishi na binaadam.
Pia huenda ikawa ni mdada ambae ameenda kwa mganga kutafuta mchumba labda there fore ndo wachumba wanapatikana kishirikina kwa njia hiyo ya kuwaotesha wachumba wakiwa ndotoni😀

Nimejaribu kudadavua tu.. Jamaa kaogopa bure aisee mi nikipata bingo kama hilo silazi damu.. 😀😀
 


Unaweza kuibuka na jini wewe😄
 
Mbeya mwaka 2016 ndani naishi peke yangu nimelala usiku bila kupiga mswaki na kawaida mswaki huwa nauacha bafuni.... Daaaah ile naamka adubuh nikapige mswaki naukuta una maji dizain umetoka kutumika sekunde kadhaa nyuma ikabidi niutie chooni

Mngoni%
 
Daaa ila we jamaa

Mngoni%
 
Boya Sana wewe uliogopa nini..?
Ungechukua toto hilo nyie kila kitu mnaonaga negative tu kwanini usiseme bwana kakuonyesha kimwana wa kuoa!
Mkuu Kama unaikumbuka namba yake nitumie halafu ntakupa mrejesho nimemfanya nini!
Shenzyy kabisa uoga tu chukua namba mkuu
 

Duh! Nina maswali mengi sana kuhusu hii stori yako mkuu, nashindwa hata pa kuanzia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…