Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Mimi binafsi nakumbu miaka ya nyuma sana katika kijiji chetu walikuja waganga ambao wanaitwa lambalamba bs bwana hao kz yao kutoa uchawi kwa kila nyumba na kila mtaa sasa nilichokishuudia kwa macho yangu, palikuwa na kijana akawa anawazalau wale waganga Ebwana wakamgeuza mwanamke palepale,sasa ikawa mshikemshike kumpepua ndugu wakja yomi pale wanawaomba wamueke sawa waganga wakawa wanataka 300000 taslim ndugu awana wao wana 200000,Ndio kuwasaidia.Jamani uchawi upo,


Sent using Jamii Forums mobile app
Si faida hiyo Mkuu? kwanza anaolewa Mahari inatolewa, anapewa hela na mumewe kodi ya Meza, hali kwa jasho tena, angewashukuru waganga!
 
Sijawahi ona kiumbe Cha ajabu wala kuhisi sijui minyato ya kichawi au uchawi hapana kabisa!.. hii inanifanya hata niwe mgumu kuuamini huo ulimwengu! Japo nimekuwa muda mwengine mzururaji sometimes maeneo hatarishi ambayo wengine huogopa lkn binafsi hakuna la ajabu nililoliona!.. yanayonitokea ni matukio ya kawaida kabisa ila Kuna baadhi yanaleta utata ila sio utata wenye kunifanya niamini kuwa kuna walakini!!

Mfano kuna mahali palikuwa panasemekana kuwa huwa kuna sijui majini ama mizimu ila kuna miti ya miembe na mapera,siku moja nipo mi najamaa fulani ktk pitapita tukakuta mti wa mpera tukaanza kuchuma lkn sio kwa kupanda punde tukiwa tunachuma aliongezeka kijana mwengine Sasa utata baada ya kuondoka Yule kijana ndo tukaanza kujiuliza alitokea wapi!!
Maana kipindi anakuja hatukumuona! Si tulishangaa tu tupo watatu nae anachuma mapera lkn chengine alichotutatanisha ni ni maswali yake juu ya ule mpera na hata sikumbuki Kama alichuma hata!!
Swala la kutokumuona alivyokuja nililivunjilia mbali maana kibarabara tulikuwa bize kutafuta mapera wahuni😂
Na apotelea pote huko tukio lake halina mantiki..
Sijui nini kitakuja nifanya niamini haya mambo ila mi nachohisi kitu usipokiweka bayana nawe kukuzingua au kujionyesha mbele yako kina nafasi ndogo Sana ya kujionyesha..

Na mnaona hayo mambo na muone siku nikishuhudia huo ulozi kwa sababu ya kimantiki iliyoshiba nitakuja kusimulia humu.
we mwanangu kwa ubishi huu,nadhani tukio pekee unalotakiwa kufanyiwa na wachawi

wakuchukue usiku wakuweke juu ya bati,ukiamka asubuhi ujikute kule juu ya dish la DSTV.

NADHANI baada ya tukio hilo utakua na adabu sana na ukiskia mchawi tu lazima usalimie.
 
we mwanangu kwa ubishi huu,nadhani tukio pekee unalotakiwa kufanyiwa na wachawi

wakuchukue usiku wakuweke juu ya bati,ukiamka asubuhi ujikute kule juu ya dish la DSTV.

NADHANI baada ya tukio hilo utakua na adabu sana na ukiskia mchawi tu lazima usalimie.
Hapo nilivyosina akili nitasema dunia ililuzi gravity kwa muda hivyo nikachomoka ndani naelea mpk huko juu ya paa!!.

Nimekuwa nikisikia tu mambo hayo ila hakuna alieweza nithibitishia hapo ndipo tatizo linapoanzia.. ni sawa na mtoto umuambie huu ni moto unaunguza!! Atajiuliza kuunguza ni nini..?
Sasa hapo ndipo atakapotaka kutest moto unavyounguza!😅
 
B
Dah imenikumbusha miaka ya 90s nikiwa Tabora wilaya moja hivi kijijini nikichukua elimu ya msingi shule yetu ilikuwa upande wa magharibi kuna makaburi halafu shule ina miti kibao ya mikaratusi,mikorosho mijohoro mizambarawe na miti fulani hivi inatoa ubani upepo ukipiga inavuma kama gari,

Dah nakumbuka hiyo siku niliamka kwenye kigheto changu pale home kama saa nane hivi mabalamwezi imekubali nje maana ilikuwa wiki ya mwalimu mmoja hivi kusimamia usafi na wechelewaji na ukichelewa unapata bakora za miguuni na lile baridi la kijijini balaa mwanaume mbalamwezi ile nikajua kumekucha nikanawa faster faster hata sikuwastua wazazi ambapo sio kawaida huwa lazima niwaamshe kwenye gheto lao mzee nikanyanyua ufagio mkononi na kidumu cha maji mbio kwenda kabla ya kufika shule kuna kipori fulani lazima ukipite ndio ufike shule mwanaume sikujari japo njiani sikuona mtu yeyote hiyo haikunistua mie nilijona mshindi leo nawahi namba shule,

aisee nimepita chini ya mikorosho na hiyo miti mingine bila kujari nahisi akili haikuwa yangu nakumbuka nafika shule nikakimbilia darasani nafika mlangoni nilichokishuhudia acha niliona moto mkubwa unawaka mule na kuna watu wamekaa kama wako kwenye kikao halafu wote wakaniangalia ila sura sikuziona hapo ndio akili ikarudi kwamba nimezingua niligeuka mbio kurudi home halafu ule upande wa makaburi nilishuhudia watu wakiwa na mguu mmoja wanaruka ruka kwa mstari mbio zangu nilikuwa nahisi kuna kitu nyuma kinanifata kugeuka nyuma niliona mtu mrefu sana kichwa hakionekani ila kavaa vazi refu linag'aa kama mbaramwezi ilivyokuwa inag'aa mwanaume niliongeza speed nilienda nikaingia na mlango mpk ndani yule jini sijui nini nilipokaribia nyumbani nilisikia msonyoo mmoja hatari sana wazazi wakaamka kufungua mlango kuja kunikuta sijitambui wakanichukua nikaenda kulala kwao asubuhi ndio kuwaelezea ni moja ya tukio ambalo huwa sipendi kabisa kulikumbuka maana baada ya hapo mpk leo kuna vitu huwa naviona ambavyo sio vya kawaida na niliwasumbua sana wazazi baada ya hapo . nimejaribu kufupisha ila kuna mambo mengi sana kwa ule usiku na miaka ile niliyashuhudia baada ya ilo tukio.
Baada ya kusoma hapa nimesisimka mwili mzma
 
Acha nami nishee story yangu japo si mzuri sana katka uandishi.
Ilikua 2010 Dar es salam enzi hizo nikiwa mwanafunzi wa chuo kimoja hapo. Ukweli sikukutana nakiumbe cha kutisha bali ni binaadam alienifanya nibaki na sintofaham na maono tofauti ktk maisha.

Sikubahatika kupata chumba ktk hostel za chuo ikanibidi nipange kitaa flan uswahilini karibu na mwenge hapo. Maisha yalikua fresh tu fadha house alikua na wake wawili na watoto kadhaa hapo kijana mkubwa wa mwenye nyumba alitokea kua mwanangu sana story za hapa na pale, jamaa alikua mstaalabu sana na anasura ya upole by that time alikua kama ana 30 yrs nakuendelea.

Tukio lilotokea lilinifanya nibaki mdomo wazi ni siku moja mida ya saa tisa kasoro huyo bro aliniamsha kwa kugonga mlango nlisita kuitika lkn mwisho nilifunua nakumkuta amemkamata kijana mmoja wa makamo. Jamaa akanambia kwamba huyu ni mwizi na huwa anaibia watu hapo mtaani. Nikamuuliza vp ushahidi unao akadai hana ila amemkuta na kisu mfukoni. Nilitaka kuacha kumpa ushirikiano ila nikaona nimsaidie huyo kijana asijedhurika kwani hakukua na ushahidi wowote.

Nilimshauri jamaa kua tuamshe majirani au ndg zake jamaa akawa mbogo. Ilibidi nimfate kwanyuma akiwa amemkamata yule kijana shingoni tukielekea nyumba iliokua opposite na hii tunayokaa. Nilipata bahati ya kumuuliza jamaa akakubali ni kweli hapo aliwahi iba shati na sendoz. Nilijua itakua kesi ndogo lkn tulipofika kwa huyu jirani aligonga mlango mara mbili tatu huyo mzee akafungua na kuelezwa dhumuni la sie kuwepo hapo. Alimtazama yule kijana kwa macho ya dharau na kuulizia mimi kwani hakuwahi niona maeneo hayo ndo jamaa akanitambulisha kama mpangaji wao. Yule mzee haraka bila uoga alitupa jukumu tumuue huyo dogo then tukimaliza tumchome moto hapo hapo.

Nilihisi kuogopa nikaona ni kama mzaha vile kwani tulikua wawili tunaopewa jukum hilo. Alipomaliza kufunga mlango wake mzee yule nilimwambia huyu mshkaj kwanini tusimteme tu dogo coz vitu alivyoiba nividogo sana. Msela alinifokea sana na kunipolomoshea matusi makali. Ilibidi niwe mtazamaji asikwambie mtu kifo ni kitu rahisi sana, dogo alishushiwa kipigo hevy ngumi na mateke mpaka akazimia ndipo jamaa alipoanza kutumia mawe yaliyokua pembeni . Ilifika muda dogo alipiga mayowe maskini it was too late, jamaa alihitaji kuua siku hiyo.

Baada yakama dakika saba dogo alivuta nikimshuhudia alimsihi yule jamaa akimtaja kwa jina kua unaniua bure bro mimi ni mdogo wako, haikusaidia kitu dogo alipigwa taili mbili na kumwagiwa mafuta ya taa. Aliwaka mpaka mwisho. Niliogopa sana na usiku huo sikulala tena taswira ya kile kipigo ilikua ikinijia kichwani. Niliogopa sababu dogo alouwawa na huyu jamaa ni wa pale mtaani vp mimi mgeni. Nakwanini jamaa hakutaka watu waamshwe na dogo mbona hakua amemuibia huyu jamaa kitu.

Ilibidi iwe siri yangu mpaka nilpokuja kufahamishwa na majirani wengine juu ya kuokotwa mara kwa mara maiti zisizo julikana mtaani. Ilibidi nihame kimya kmya na kujiapiza kua sintokuja kupanga uswahilini tena na hawa binadam wenye sura nzuri za upole niishinao kwa tahadhari kubwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa mwaka 2009, Kuna siku nimelala nikawa naota kuwa nimepanda daladala kituo cha mwenge naelekea posta basi nikawa nimekaa siti ya nyuma ya Costa.

Basi kufika kituo cha Victoria akapanda mdada mmoja akaja kukaaa karibu yangu siti ya nyuma,tukaendelea na Safari kufika kituo cha mbuyuni yule dada wa ndotoni akaniachia kikaratasi kina namba za simu akashukia kituo cha mbuyuni,baada ya mda nikastuka kutoka ndotoni kucheki saa ya simu mda huo ni saa tisa za usiku.

Basi nimestuka kila kitu kwenye ndoto nilikuwa nakumbuka mpka namba za siku,kesho yake nawahadithia ndugu zangu nilichoota ndotoni na mpka namba za siku zilizokuwa kwenye karatasi nazikumbuka,wakaniambia tujaribu kuzipiga.

Baada ya kupiga anapokea msichana ana lafudhi ya kiarabu anaitwa Nasrat na anaishi sinza,nilichofanya ni kuvunja laini na kutafuta line nyingine mpka leo sielew ile ndoto na coincidence zake
 
Naomba nimuite ndugu Mshana Jr aweke neno. Haya mambo yapo kwa kuusema usemi, "lisemwalo lipo,kama halipo, litatokea."

Binafsi sijawahi shuhudia chochote kwa macho yangu ya nyama zaidi ya haya...

Wakati flani nilikaa maeneo ya bonde la mpunga, hapo wakazi wake wengi ni waswahili na mie maisha yangu ilikuwa kwenda kazini kurudi najifungia ndani.

Usiku mmoja nimelala chumbani kwangu nikastuka naona taswira kama ya kibibi kinaingia dirishani kwangu kwa njia za kimiujiza huku anapiga kelele. Nikaanza kusema kwa jina la Yesu tokaa (nililelewa kwenye familia za kilokole) kikapotea nikarudi kulala.

Siku ingine nimelala nastuka kabisa nasikia mtu amevuta nywele zangu za utosini kwa kuzikata na kucha ya kidole chake na baada ya hapo akatoweka sikuona mtu ila hali ya nywele kutoka kwenye utosi wangu niliisikia kabisa japo sikusikia maumivu na hapakubaki kipara nilikuwa na nywele ndefu.

Mara nyingine inanitokea usingizini napambana na nguvu za giza usingizini maana ya kwamba kama mashetani au kitu kinanikaba. Kisha sauti inaniambia kemea, sali nikianza kusali napata nguvu na kile kitu kinakimbia, baadae kinarudi tena nakemea naongeza nguvu nazidi kukemea halafu najiona nguvu za maombi zinaniongezeka ghafla nastuka kutoka usingizini najikuta naendelea kusali na inaweza kuchukua hata nusu saa nzima kama si lisaa ndo maombi yanakata, nikijaribu kuacha kusali nashindwa nakuwa sina utashi wa kunyamaza hadi hali ya kusali iishe..

Huwa najiuliza kama ni ndoto nilipostuka ilitakiwa ikate, sasa nastuka bado najikuta naendeleza kusali kwa kukemea, safari moja hadi nikainuka kitandani out of my will nikiwa nasali.

Sijajua kama hayo nayo ni matukio ya kutisha au vimbwanga ama laah...

Nachojua, ulimwengu wa roho upo na unapande mbili, nuru na giza. Si mtu wa dini sana ila...lisemwalo lipo kama halipo litatokea.

Si muamini wa mambo ya kishirikina na yafananayo ila kwa dini yangu ya kikristo niliyokulia natambua ulimwengu wa giza unamazagazaga kama hayo waliyoelezea memba wengine halo juu.
Ndio naona hii post leo hakika nitakuja best

Jr[emoji769]
 
Kisa changu ambacho sitokisahau Cha kutisha kilitokea Mtwara 2010.
Nilipomaliza chuo niliomba kufundisha shule moja inayomilikiwa na masista wa kikatoliki Mtwara mjini. Tulipewa nyumba nzuri kabisa maeneo ya Shangani East karibu na bahari, mtaa huu huishi mabosi, ila Hawa masista Wana nyumba zao huko.

Kwakuwa tulikuwa mabachela tuliishi nyumba moja kila mtu chumba chake, tulikuwa wanne. Kila jioni tukitoka kazini tulikuwa na mazoea ya kwenda beach had Giza linatukutia hukohuko. Siku moja tukiwa tupo beach, peke etu(Mana wikiend ndo watu walikuwa wengi)
Tukamwona binti wa kiarabu anatembea pembezoni kabisa yanamoishia maji. Amevaa mavazi ya ufukweni. Sisi tukaona Ni kawaida, na yy yupo kupata upepo mwanana Kama sisi, hatukuwa na time nae tuliendelea na story.

Alipofika usawa ule tulipo akasimama, lakini alitupa mgongo, yaani akiitazama bahari na sisi tunamtazama kisogoni. Kufumba na kufumbua kumbe tulipatwa na usingizi wa ghafla na Giza limeanza kuingia Mimi nilikuwa wa Kwanza kuzinduka nikamwona Yule Dada anapotelea baharini Bila kuzama kwenye maji. Nikawastua jamaa, tulitoka mbio nakumbuka kulikuwa na manyunyu mda huo. Tuliteleza njian na kuanguka Kama walevi.

Tuliingia ndani na kujifungia milango kila mtu chumbani kwake, hatukupika kabisa siku hiyo kwa hofu. Hili tukio namkumbushaga rafiki angu ambaye sasa ni pastor mkubwa tu jijini Dodoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh pole mkuu vp walivyoawaachia hamkuwafata na mapanga asubuhi huku mkitema povu?
Mkuu.. thubutu ile ganzi ya kupooza viungo ilikuwa ni tiba yetu tosha, tulisamehe tukamuachia Mungu tu
 
tangu mwaka huo nahisi hujaenda tena mikindani[emoji23]
Kisa changu ambacho sitokisahau Cha kutisha kilitokea Mtwara 2010.
Nilipomaliza chuo niliomba kufundisha shule moja inayomilikiwa na masista wa kikatoliki Mtwara mjini. Tulipewa nyumba nzuri kabisa maeneo ya Shangani East karibu na bahari, mtaa huu huishi mabosi, ila Hawa masista Wana nyumba zao huko.

Kwakuwa tulikuwa mabachela tuliishi nyumba moja kila mtu chumba chake, tulikuwa wanne. Kila jioni tukitoka kazini tulikuwa na mazoea ya kwenda beach had Giza linatukutia hukohuko. Siku moja tukiwa tupo beach, peke etu(Mana wikiend ndo watu walikuwa wengi)
Tukameona binti wa kiarabu anatembea pembezoni kabisa yanamoishia maji. Amevaa mavazi ya ufukweni. Sisi tukaona Ni kawaida, na yy yupo kupata upepo mwanana Kama sisi, hatukuwa na time nae tuliendelea na story.

Alipofika usawa ule tulipo akasimama, lakini alitupa mgongo, yaani akiitazama bahari na sisi tunamtazama kisogoni. Kufumba na kufumbua kumbe tulipatwa na usingizi wa ghafla na Giza limeanza kuingia Mimi nilikuwa wa Kwanza kuzinduka nikamwona Yule Dada anapotelea baharini Bila kuzama kwenye maji. Nikawastua jamaa, tulitoka mbio nakumbuka kulikuwa na manyunyu mda huo. Tuliteleza njian na kuanguka Kama walevi.

Tuliingia ndani na kujifungia milango kila mtu chumbani kwake, hatukupika kabisa siku hiyo kwa hofu. Hili tukio namkumbushaga rafiki angu ambaye sasa ni pastor mkubwa tu jijini Dodoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tangu mwaka huo nahisi hujaenda tena mikindani[emoji23]
Niliachana na private school, nilipata ajira ya serikali mikoa ya nyanda za juu kusini. Japo napenda sana zile moments za beach, upepo mwanana na kutizama vyombo vya wavuvi baharini na vitoweo Kama ngisi, pweza, kamba, kolekole, kibua, changu na kumbwa ndo basi tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliachana na private school, nilipata ajira ya serikali mikoa ya nyanda za juu kusini. Japo napenda sana zile moments za beach, upepo mwanana na kutizama vyombo vya wavuvi baharini na vitoweo Kama ngisi, pweza, kamba, kolekole, kibua, changu na kumbwa ndo basi tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee pole sana
 
Kuna binadamu wamepewa uwezo wa kung'amua vitu na kuna wengine katika ulimwengu wa kiroho ni vipofu wasioona kitu chochote. Macho yao yamefungwa. Sikumbuki vizuri ila katika biblia kuna mtume mmoja walizingirwa na maadui lakini hakuonesha wasi wasi wowote. msaidizi wake akamwambia sasa tunauwawa. Yeye akajibu ondoa wasiwasi tunaulinzi yule akashangaa ulinzi u wapi. Ndipo yule mtume akamfungua macho yule mtumishi akaona jeshi kubwa la malaika limewazunguka. Ndipo wasiwasi ukaondoka. wanaojua Biblia watasema ni nani. Nilitaka tu kukwambia haya mambo ni ktk roho. uwezi yaona mpaka uwe katika ulimwengu wa rohoni. Majini, Malaika uwezi waona kwa macho ya nyama. Kuna watu wanazaliwa wananguvu maalum za kiroho. Haya mambo yapo!
Alikuwa Elisha, na msaidizi wake alikuwa ni Gehazi, ndie ambae alifunguliwa macho.

Elisha alirithi upako kutoka kwa Nabii Eliya, Eliya alipokufa, Elisha aliomba kwa Mungu apewe upako mara saba wa Eliya.

Huyo Eliya naye alikuwa ni wa moto saana Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha nami nishee story yangu japo si mzuri sana katka uandishi.
Ilikua 2010 Dar es salam enzi hizo nikiwa mwanafunzi wa chuo kimoja hapo. Ukweli sikukutana nakiumbe cha kutisha bali ni binaadam alienifanya nibaki na sintofaham na maono tofauti ktk maisha.
Sikubahatika kupata chumba ktk hostel za chuo ikanibidi nipange kitaa flan uswahilini karibu na mwenge hapo. Maisha yalikua fresh tu fadha house alikua na wake wawili na watoto kadhaa hapo kijana mkubwa wa mwenye nyumba alitokea kua mwanangu sana story za hapa na pale, jamaa alikua mstaalabu sana na anasura ya upole by that time alikua kama ana 30 yrs nakuendelea.
Tukio lilotokea lilinifanya nibaki mdomo wazi ni siku moja mida ya saa tisa kasoro huyo bro aliniamsha kwa kugonga mlango nlisita kuitika lkn mwisho nilifunua nakumkuta amemkamata kijana mmoja wa makamo. Jamaa akanambia kwamba huyu ni mwizi na huwa anaibia watu hapo mtaani. Nikamuuliza vp ushahidi unao akadai hana ila amemkuta na kisu mfukoni. Nilitaka kuacha kumpa ushirikiano ila nikaona nimsaidie huyo kijana asijedhurika kwani hakukua na ushahidi wowote. Nilimshauri jamaa kua tuamshe majirani au ndg zake jamaa akawa mbogo. Ilibidi nimfate kwanyuma akiwa amemkamata yule kijana shingoni tukielekea nyumba iliokua opposite na hii tunayokaa. Nilipata bahati ya kumuuliza jamaa akakubali ni kweli hapo aliwahi iba shati na sendoz. Nilijua itakua kesi ndogo lkn tulipofika kwa huyu jirani aligonga mlango mara mbili tatu huyo mzee akafungua na kuelezwa dhumuni la sie kuwepo hapo. Alimtazama yule kijana kwa macho ya dharau na kuulizia mimi kwani hakuwahi niona maeneo hayo ndo jamaa akanitambulisha kama mpangaji wao. Yule mzee haraka bila uoga alitupa jukumu tumuue huyo dogo then tukimaliza tumchome moto hapo hapo. Nilihisi kuogopa nikaona ni kama mzaha vile kwani tulikua wawili tunaopewa jukum hilo. Alipomaliza kufunga mlango wake mzee yule nilimwambia huyu mshkaj kwanini tusimteme tu dogo coz vitu alivyoiba nividogo sana. Msela alinifokea sana na kunipolomoshea matusi makali. Ilibidi niwe mtazamaji asikwambie mtu kifo ni kitu rahisi sana, dogo alishushiwa kipigo hevy ngumi na mateke mpaka akazimia ndipo jamaa alipoanza kutumia mawe yaliyokua pembeni . Ilifika muda dogo alipiga mayowe maskini it was too late, jamaa alihitaji kuua siku hiyo. Baada yakama dakika saba dogo alivuta nikimshuhudia alimsihi yule jamaa akimtaja kwa jina kua unaniua bure bro mimi ni mdogo wako, haikusaidia kitu dogo alipigwa taili mbili na kumwagiwa mafuta ya taa. Aliwaka mpaka mwisho. Niliogopa sana na usiku huo sikulala tena taswira ya kile kipigo ilikua ikinijia kichwani. Niliogopa sababu dogo alouwawa na huyu jamaa ni wa pale mtaani vp mimi mgeni. Nakwanini jamaa hakutaka watu waamshwe na dogo mbona hakua amemuibia huyu jamaa kitu.
Ilibidi iwe siri yangu mpaka nilpokuja kufahamishwa na majirani wengine juu ya kuokotwa mara kwa mara maiti zisizo julikana mtaani. Ilibidi nihame kimya kmya na kujiapiza kua sintokuja kupanga uswahilini tena na hawa binadam wenye sura nzuri za upole niishinao kwa tahadhari kubwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee huyo jamaa ni katili,mi ningeama kesho yake asubuh mapema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matukio ya kutisha niliyowahi kushuhidia katika maisha yangu ni haya yafuatayo sitokuja kusahau kabisaaa[emoji41]

1. Nikiwa mwanafunz wa primary huko nyanda za juu kusini, maeneo ya nyumbani kwetu nikiwa naishi na shangazi yangu pamoja na wazazi japo wao walikua busy kidgo , shangazi alikua ndo kila kitu kuhusu kushiba usafi wa home nk. baada ya kutoka shule nachukua maji kwenye dish naenda kuoga nsmuacha shangazi Yule pale anapika, baada ya kuoga natoka zangu nashtushwa na sauti ya shangazi akisema maneno ya kiluga chetu akitaja jina langu, mfano, John kimbia mwanangu nyoka huyo anakufuata niliruka nilikimbia adi jikoni ile kugeuka nyuma naona joka la ajabu ambalo sijawahi ona kabisa lilikua ni joka linalovutia kwa kuliangalia kwani lilikua na rangi za aina tofauti tofauti kana kwamba lilichorwa na , lilikua na mistari ya kuvutia Sana baada ya shangazi kuendelea kupga kelele na kulia taratibu lilirudi zake bafuni toka siku hiyo nligoma kabisa kuoga mule.

2. Nikiwa form two usiku bwenini tukiwa tumelala ghafla Kama bluamshwa vile ile kufunua shuka namuona mwanamke akiwa amebeba mtoto mgongoni, Yule mwanamke alikua anatembea tembea mule bwenini kana kwamba Kuna mtu Ana mtafuta lakini hamuoni, nilimuona akiamia chumba kungne baada ya muda kidgo kupita nilimuona akija adi nilipokua Mimi alisimama kwa muda kidgo mm nikajifanya nimelala ili asinigundue baadae aliamua kuondoka zake, asubuhi nlisikia watu wakilalamika wameamka tofauti na waluvyo lala( waliamka kichwa kikiwa upande wa miguu, sio mmoja zaidi ya watatu wali lalamika sikusema nliyoshuhudia.


3. Baada ya kuamia kwenye shule flani huko Ruvuma nikiwa form 4 nikiisha ndgu yangu mwalimu tukiishi Kota za walimu, siku hiyo nikiwa darasani Mara ghafla nilipata uchovu wa ghafla kikiwa na mwalimu darasani niliomba ruhusa ili nikapumzike nliruhusiwa nlipofika ndani nikakaa kitandani MAAJABU ghafla km usingizi mzito Sana wa macho ulinijia na Kuna nguvu ilikua ikinisukuma kwa nguvu kitandani nikiwa miguu iko chini MAAJABU, nliona kiumbe sio kiumbe sijui ni Nini kile alikua km mwanamke akiwa kwenye umbile la maji yanayo cheza cheza ila yakiwa yameform umbile la binadamu kabisa kuanzia kichwa adi chini lakini hayamwagiki, alikukuja akanikalia hapa kiunoni na kuanza kunipa denda na mikono ikinipapasa nyeti zangu kwa nje, nlijitahidi kukwepesha mdomo lakini sikuweza alifanikiwa kudenda, nlipojitahidi kupapasa mikono sikushika maji nilishika vidole ambavyo vilikua sio vya binadamu vilikua Kama vidole vya miguu ya kuku hivi na kucha zake ,nlijilazimisha kumshinda lakini nilishindwa baada ya dakika kadhaa alitoweja Cha AAJABU akili ilirudi vema sio katika uchovu nliotoka nao darasani. .

4. Nikiwa advance level shule flani ya jeshi hapa Tz, siku flani bwenini usiku wanafunzi wamelala , Kama nimeashwa hivi naona Kama mtu hivi akiwa Hana miguu Wala kichwa yaani Kama mavazi meusi yameform umbile la binadamu akiwa ametokea mawingu ya chini aridhini anakuja juu( jitahidi kunielewa ) akaja adi nilipokua nimelala akiwa ameshika fimbo akiinyosha kwangu shingo ikageukia upande wa ukutani kwahiyo sikuelewa alichokua anafanya na nilijaribu kurudisha shingo ili nimuone lakini nilishindwa baadae alipotea , kesho yake nlifukuzwa shule moja kwa moja baada kukutwa asubuhi bwenini muda nliopaswa kua assemble, na ilikua sio kawaida yangu kukaa bwenini muda huo, na nlibaki kwa sababu nlikua nikitafakari kile nilichokiona usiku wake nlipopewa adhabu nlikataa katakata na kumtisha mwalimu, sikua na tabia za watukutu pale shuleni kwani nlikua mwanadini Sana nikihudhuria vipindi vya maombi pasi kukosa SITOSAHAU, nliharibikiwa Sana najitahidi kusahau lakini nishindwa

SITOSAHAU HAYO MAMBO KAMWE



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matukio ya kutisha niliyowahi kushuhidia katika maisha yangu ni haya yafuatayo sitokuja kusahau kabisaaa[emoji41]

1. Nikiwa mwanafunz wa primary huko nyanda za juu kusini, maeneo ya nyumbani kwetu nikiwa naishi na shangazi yangu pamoja na wazazi japo wao walikua busy kidgo , shangazi alikua ndo kila kitu kuhusu kushiba usafi wa home nk. baada ya kutoka shule nachukua maji kwenye dish naenda kuoga nsmuacha shangazi Yule pale anapika, baada ya kuoga natoka zangu nashtushwa na sauti ya shangazi akisema maneno ya kiluga chetu akitaja jina langu, mfano, John kimbia mwanangu nyoka huyo anakufuata niliruka nilikimbia adi jikoni ile kugeuka nyuma naona joka la ajabu ambalo sijawahi ona kabisa lilikua ni joka linalovutia kwa kuliangalia kwani lilikua na rangi za aina tofauti tofauti kana kwamba lilichorwa na , lilikua na mistari ya kuvutia Sana baada ya shangazi kuendelea kupga kelele na kulia taratibu lilirudi zake bafuni toka siku hiyo nligoma kabisa kuoga mule.

2. Nikiwa form two usiku bwenini tukiwa tumelala ghafla Kama bluamshwa vile ile kufunua shuka namuona mwanamke akiwa amebeba mtoto mgongoni, Yule mwanamke alikua anatembea tembea mule bwenini kana kwamba Kuna mtu Ana mtafuta lakini hamuoni, nilimuona akiamia chumba kungne baada ya muda kidgo kupita nilimuona akija adi nilipokua Mimi alisimama kwa muda kidgo mm nikajifanya nimelala ili asinigundue baadae aliamua kuondoka zake, asubuhi nlisikia watu wakilalamika wameamka tofauti na waluvyo lala( waliamka kichwa kikiwa upande wa miguu, sio mmoja zaidi ya watatu wali lalamika sikusema nliyoshuhudia.


3. Baada ya kuamia kwenye shule flani huko Ruvuma nikiwa form 4 nikiisha ndgu yangu mwalimu tukiishi Kota za walimu, siku hiyo nikiwa darasani Mara ghafla nilipata uchovu wa ghafla kikiwa na mwalimu darasani niliomba ruhusa ili nikapumzike nliruhusiwa nlipofika ndani nikakaa kitandani MAAJABU ghafla km usingizi mzito Sana wa macho ulinijia na Kuna nguvu ilikua ikinisukuma kwa nguvu kitandani nikiwa miguu iko chini MAAJABU, nliona kiumbe sio kiumbe sijui ni Nini kile alikua km mwanamke akiwa kwenye umbile la maji yanayo cheza cheza ila yakiwa yameform umbile la binadamu kabisa kuanzia kichwa adi chini lakini hayamwagiki, alikukuja akanikalia hapa kiunoni na kuanza kunipa denda na mikono ikinipapasa nyeti zangu kwa nje, nlijitahidi kukwepesha mdomo lakini sikuweza alifanikiwa kudenda, nlipojitahidi kupapasa mikono sikushika maji nilishika vidole ambavyo vilikua sio vya binadamu vilikua Kama vidole vya miguu ya kuku hivi na kucha zake ,nlijilazimisha kumshinda lakini nilishindwa baada ya dakika kadhaa alitoweja Cha AAJABU akili ilirudi vema sio katika uchovu nliotoka nao darasani. .

4. Nikiwa advance level shule flani ya jeshi hapa Tz, siku flani bwenini usiku wanafunzi wamelala , Kama nimeashwa hivi naona Kama mtu hivi akiwa Hana miguu Wala kichwa yaani Kama mavazi meusi yameform umbile la binadamu akiwa ametokea mawingu ya chini aridhini anakuja juu( jitahidi kunielewa ) akaja adi nilipokua nimelala akiwa ameshika fimbo akiinyosha kwangu shingo ikageukia upande wa ukutani kwahiyo sikuelewa alichokua anafanya na nilijaribu kurudisha shingo ili nimuone lakini nilishindwa baadae alipotea , kesho yake nlifukuzwa shule moja kwa moja baada kukutwa asubuhi bwenini muda nliopaswa kua assemble, na ilikua sio kawaida yangu kukaa bwenini muda huo, na nlibaki kwa sababu nlikua nikitafakari kile nilichokiona usiku wake nlipopewa adhabu nlikataa katakata na kumtisha mwalimu, sikua na tabia za watukutu pale shuleni kwani nlikua mwanadini Sana nikihudhuria vipindi vya maombi pasi kukosa SITOSAHAU, nliharibikiwa Sana najitahidi kusahau lakini nishindwa

SITOSAHAU HAYO MAMBO KAMWE



Sent using Jamii Forums mobile app
Pole je hayo maajabu siku hzi vp yameacha?
 
Acha nami nishee story yangu japo si mzuri sana katka uandishi.
Ilikua 2010 Dar es salam enzi hizo nikiwa mwanafunzi wa chuo kimoja hapo. Ukweli sikukutana nakiumbe cha kutisha bali ni binaadam alienifanya nibaki na sintofaham na maono tofauti ktk maisha.
Sikubahatika kupata chumba ktk hostel za chuo ikanibidi nipange kitaa flan uswahilini karibu na mwenge hapo. Maisha yalikua fresh tu fadha house alikua na wake wawili na watoto kadhaa hapo kijana mkubwa wa mwenye nyumba alitokea kua mwanangu sana story za hapa na pale, jamaa alikua mstaalabu sana na anasura ya upole by that time alikua kama ana 30 yrs nakuendelea.
Tukio lilotokea lilinifanya nibaki mdomo wazi ni siku moja mida ya saa tisa kasoro huyo bro aliniamsha kwa kugonga mlango nlisita kuitika lkn mwisho nilifunua nakumkuta amemkamata kijana mmoja wa makamo. Jamaa akanambia kwamba huyu ni mwizi na huwa anaibia watu hapo mtaani. Nikamuuliza vp ushahidi unao akadai hana ila amemkuta na kisu mfukoni. Nilitaka kuacha kumpa ushirikiano ila nikaona nimsaidie huyo kijana asijedhurika kwani hakukua na ushahidi wowote. Nilimshauri jamaa kua tuamshe majirani au ndg zake jamaa akawa mbogo. Ilibidi nimfate kwanyuma akiwa amemkamata yule kijana shingoni tukielekea nyumba iliokua opposite na hii tunayokaa. Nilipata bahati ya kumuuliza jamaa akakubali ni kweli hapo aliwahi iba shati na sendoz. Nilijua itakua kesi ndogo lkn tulipofika kwa huyu jirani aligonga mlango mara mbili tatu huyo mzee akafungua na kuelezwa dhumuni la sie kuwepo hapo. Alimtazama yule kijana kwa macho ya dharau na kuulizia mimi kwani hakuwahi niona maeneo hayo ndo jamaa akanitambulisha kama mpangaji wao. Yule mzee haraka bila uoga alitupa jukumu tumuue huyo dogo then tukimaliza tumchome moto hapo hapo. Nilihisi kuogopa nikaona ni kama mzaha vile kwani tulikua wawili tunaopewa jukum hilo. Alipomaliza kufunga mlango wake mzee yule nilimwambia huyu mshkaj kwanini tusimteme tu dogo coz vitu alivyoiba nividogo sana. Msela alinifokea sana na kunipolomoshea matusi makali. Ilibidi niwe mtazamaji asikwambie mtu kifo ni kitu rahisi sana, dogo alishushiwa kipigo hevy ngumi na mateke mpaka akazimia ndipo jamaa alipoanza kutumia mawe yaliyokua pembeni . Ilifika muda dogo alipiga mayowe maskini it was too late, jamaa alihitaji kuua siku hiyo. Baada yakama dakika saba dogo alivuta nikimshuhudia alimsihi yule jamaa akimtaja kwa jina kua unaniua bure bro mimi ni mdogo wako, haikusaidia kitu dogo alipigwa taili mbili na kumwagiwa mafuta ya taa. Aliwaka mpaka mwisho. Niliogopa sana na usiku huo sikulala tena taswira ya kile kipigo ilikua ikinijia kichwani. Niliogopa sababu dogo alouwawa na huyu jamaa ni wa pale mtaani vp mimi mgeni. Nakwanini jamaa hakutaka watu waamshwe na dogo mbona hakua amemuibia huyu jamaa kitu.
Ilibidi iwe siri yangu mpaka nilpokuja kufahamishwa na majirani wengine juu ya kuokotwa mara kwa mara maiti zisizo julikana mtaani. Ilibidi nihame kimya kmya na kujiapiza kua sintokuja kupanga uswahilini tena na hawa binadam wenye sura nzuri za upole niishinao kwa tahadhari kubwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!... huo ni ukatili aisee, huo mtaa sio wa kuishi kabisa bora ulihama.
 
Kisa changu ambacho sitokisahau Cha kutisha kilitokea Mtwara 2010.
Nilipomaliza chuo niliomba kufundisha shule moja inayomilikiwa na masista wa kikatoliki Mtwara mjini. Tulipewa nyumba nzuri kabisa maeneo ya Shangani East karibu na bahari, mtaa huu huishi mabosi, ila Hawa masista Wana nyumba zao huko.

Kwakuwa tulikuwa mabachela tuliishi nyumba moja kila mtu chumba chake, tulikuwa wanne. Kila jioni tukitoka kazini tulikuwa na mazoea ya kwenda beach had Giza linatukutia hukohuko. Siku moja tukiwa tupo beach, peke etu(Mana wikiend ndo watu walikuwa wengi)
Tukameona binti wa kiarabu anatembea pembezoni kabisa yanamoishia maji. Amevaa mavazi ya ufukweni. Sisi tukaona Ni kawaida, na yy yupo kupata upepo mwanana Kama sisi, hatukuwa na time nae tuliendelea na story.

Alipofika usawa ule tulipo akasimama, lakini alitupa mgongo, yaani akiitazama bahari na sisi tunamtazama kisogoni. Kufumba na kufumbua kumbe tulipatwa na usingizi wa ghafla na Giza limeanza kuingia Mimi nilikuwa wa Kwanza kuzinduka nikamwona Yule Dada anapotelea baharini Bila kuzama kwenye maji. Nikawastua jamaa, tulitoka mbio nakumbuka kulikuwa na manyunyu mda huo. Tuliteleza njian na kuanguka Kama walevi.

Tuliingia ndani na kujifungia milango kila mtu chumbani kwake, hatukupika kabisa siku hiyo kwa hofu. Hili tukio namkumbushaga rafiki angu ambaye sasa ni pastor mkubwa tu jijini Dodoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
ni Aqu........ sio mkuu?
 
Back
Top Bottom