Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kumbana na visa vya kutisha-ila maisha yangu yanavyokuwa na vikwazo na mbinde kibao...naamini uchawi upo kabisa.
Ila roho inagoma kwenda kwa mganga wa ndagu-...ila nasurubika mno
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]Nimeandika hapo na usingizi mwenyewe umekata maana hata chumba nilichopo nakiogopa ila mambo haya ni nguvu ya kishirikina na ninadhani ule ulikuwa ndio mwisho wangu ila Mungu mwenyewe alinipigania ila uchawi upo na unafanya kazi vizuri sana ile kitu ilikuwa planned na walioplan mmoja akiwa ni jirani yetu japo kwa umri sasa hivi ni mzee sana na wenzake walishatangulia mbele ya haki ila kiukweli mambo ni mengi mie ilikuwa ikifika usiku ujue raha sina maana najua kumekucha hakuna kulala moja ya tukio kuna siku pale home baada ya tukio hilo ilikuwa jmos asubuhi nikaambiwa nikateke maji mtoni nikazingua nikaendekeza kucheza kuja kustuka bi mkubwa ananiita huwezi nikakimbilia porini kwa kuogopa kuchapwa toka saa nne aasubuhi ajabu ni kuwa nilikuwa sijui polini nimeenda kutafuta nini na kumbuka tabora kunaoongoza kuwa na nyoka koboko basi mie ndio nikaenda huko zungunga sana jua la saa nane nipo huko nakula matunda pori tu nikawa nimesikia joto katika kuzunguka zunguka nilitokea sehemu kuna maji mengi kama ziwa na lile joto nililokuwa nalo nikasema ngoja nivue nguo nioge nikavua ila roho ikasita kuoga nikavaa nikaondoka nikajikuta sijui njia ya kunirudisha nyumbani na kigiza kinaingia Mungu saidia kuna mzee mmoja wa kijiji cha pili alikuwa anachunga ng'ombe akaniaona na anawajua pale home ndio kunirudisha nyumbani ajab mama hakunichapa na alikuwa ameshanitafuta kwa washikaji wangu wote hakunipata hivyo baada ya kuniona kwanza nimepauka nilipewa tu maji ya moto kuoga na kula nikashida nikaenda kulala sasa cha ajabu asubuhi ambayo ilikuwa j2 nikawasimulia sehemu nilipoona lile ziwa la maji ile sehemu hakuna historia ya kuwa ziwa la maji hata bwawa kuna miti ya Milumba na mitundu kwa wingi kama unaijua, wazee nao ikabidi waanze kuhangaika ndio mambo kutulia ila hii dunia ina mambo sana ukijiona mzima unalala vizuri unaamka salama hakuna wenge lolote mshukuru sana Mungu mie wazazi walikuwa watu wa dini sana walikuwa hawaamini uchawi ila waliamini
Mkuu hiyo shule ya msingi sio Mwenge huko TaboraDah imenikumbusha miaka ya 90s nikiwa Tabora wilaya moja hivi kijijini nikichukua elimu ya msingi shule yetu ilikuwa upande wa magharibi kuna makaburi halafu shule ina miti kibao ya mikaratusi,mikorosho mijohoro mizambarawe na miti fulani hivi inatoa ubani upepo ukipiga inavuma kama gari, dah nakumbuka hiyo siku niliamka kwenye kigheto changu pale home kama saa nane hivi mabalamwezi imekubali nje maana ilikuwa wiki ya mwalimu mmoja hivi kusimamia usafi na wechelewaji na ukichelewa unapata bakora za miguuni na lile baridi la kijijini balaa mwanaume mbalamwezi ile nikajua kumekucha nikanawa faster faster hata sikuwastua wazazi ambapo sio kawaida huwa lazima niwaamshe kwenye gheto lao mzee nikanyanyua ufagio mkononi na kidumu cha maji mbio kwenda kabla ya kufika shule kuna kipori flani lazima ukipite ndio ufike shule mwanaume sikujari japo njiani sikuona mtu yeyote hiyo haikunistua mie nilijona mshindi leo nawahi namba shule, aisee nimepita chini ya mikorosho na hiyo miti mingine bila kujari nahisi akili haikuwa yangu nakumbuka nafika shule nikakimbilia darasani nafika mlangoni nilichokishuhudia acha niliona moto mkubwa unawaka mule na kuna watu wamekaa kama wako kwenye kikao halafu wote wakaniangalia ila sura sikuziona hapo ndio akili ikarudi kwamba nimezingua niligeuka mbio kurudi home halafu ule upande wa makaburi nilishuhudia watu wakiwa na mguu mmoja wanaruka ruka kwa mstari mbio zangu nilikuwa nahisi kuna kitu nyuma kinanifata kugeuka nyuma niliona mtu mrefu sana kichwa hakionekani ila kavaa vazi refu linag'aa kama mbaramwezi ilivyokuwa inag'aa mwanaume niliongeza speed nilienda nikaingia na mlango mpk ndani yule jini sijui nini nilipokaribia nyumbani nilisikia msonyoo mmoja hatari sana wazazi wakaamka kufungua mlango kuja kunikuta sijitambui wakanichukua nikaenda kulala kwao asubuhi ndio kuwaelezea ni moja ya tukio ambalo huwa sipendi kabisa kulikumbuka maana baada ya hapo mpk leo kuna vitu huwa naviona ambavyo sio vya kawaida na niliwasumbua sana wazazi baada ya hapo . nimejaribu kufupisha ila kuna mambo mengi sana kwa ule usiku na miaka ile niliyashuhudia baada ya ilo tukio.
mimi pia sijui ni miongoni mwa hao watu ambao macho yamefungwa, sijui ndio nini mm huwaga ni mgumu sana kulala usingizi ila nikilala huwa nimelala, jambo lolote la hatari watu wengine wanaweza kulisikia mi nisisikie, kuna mwaka nikiwa young kama darasa la 5 hivi Bundi aliliaga mti ambao uko pembeni kabisa na dirisha langu sikusikia hata robo wakati huo karibu mtaa mzima wanamsikia.[emoji44][emoji12]
Baby nawe umo..?
Ntakuja unifanyie maombi maalum ili nami nianze kuamini haya mambo!
Kuna sehemu nilikuwa nalala kwenye hicho chumba kila siku nalala vizuri tu!..
Kuna kipindi akaja anko wangu nikampisha akawa analala humo,siku ya siku naamka asubuhi jamaa sauti imemkauka kuuliza ati alikabwa usiku akaanza kufanya maombi tena kwanguvu!!,wengine walikuwa wakimsikia ili mhuni hata sikumsikia[emoji23][emoji23]
Mi niliona kama mzinguaji tu! We mi ndo nilikuwa doni nalala kwenye hicho chumba na sikuwahi kukabwa Wala nini!!
Yeye mgeni ana siku kadhaa ati wamemdanda![emoji23]
Dah! Wakati wengine wakisikia kitu juu ya bati ndo wanajifunika shuka zaidi,kenge Mimi ndo nilikuwa natoka nione kuna nini..?
Wakubwa walinikataza ila kenge sijawahi kuacha hiyo tabia na hata ukitoka unakuta ni linyau tu linadili na yake sometime huoni kitu!
Nyinyi hayo mauzauza huwa mnaonaje..??
Kuna mtu wangu wa karibu alishawahi sumbuliwa na hayo mambo ya kichawi sana tu! Na hivyo ndivyo tulikuwa tukiamini.. tembea sana kwa waganga lkn wapi matatizo ndo palepale! Mpaka walivyochoka wakaacha hayo maswala mbona mtu alirejea ktk hali yake ya kawaida kabisa!! Afya ikaimarika hata kuongea kukaingezeka n.k
Alipona akawa normal kabisa!
Haya mauchawi mi nahisi mtu yanaweza kumtesa mtu kisaikolojia tu akadhoofika mpk ukahisi huyu mtu anatatizo kweli!! Yapo mengi tu mtu usipochubguza lzm uamini ni uchawi n.k kumbe sometimes ni mauzauza ambayo yanaweza tengenezwa na ubongo!!
Wengi Sana wanasumbuka kisaikolojia ila hawajui...
Hayo mengine ntawaachia wahusika[emoji12][emoji12]
Ila natamani sana kuujua ukweli kuhusu hilo li ulimwengu la kiroho na kichawi!.
NB: Leo ntakuja kukuweka mguu pande[emoji12][emoji6]
Hapana ni tabora ndio ila shule haiitwi mwenge ila kwa sasa hiyo wilaya inaitwa uyui zamani ilikuwa inaitwa tabora vijijiniMkuu hiyo shule ya msingi sio Mwenge huko Tabora
Sawa sawa wilaya ya Uyui naipata vilivoHapana ni tabora ndio ila shule haiitwi mwenge ila kwa sasa hiyo wilaya inaitwa uyui zamani ilikuwa inaitwa tabora vijijini
Shukuru Mungu kama hujawahi kutana na hayo mambo,Mi sijawahi shuhudia mauzauza yoyote ila hadi leo nashangaa kuna siku nimeota mama flani hapa mtaani (namjua) alikuwa ananilazimisha kula nyanya,nyanya zilikuwa nyingi sana ananisokomezea mdomoni mimi nameza tu....ajabu nilipokuja kushtuka nikajikuta nimeshiba halafu tumbo limejaa kishenzi yaani
Mwamba pole sana kwa uliyoyapitia. Si vibaya uka share nasi hayo unayoendelea kuyapitia hata kwa ufupi kama ulivyofupisha hichi ulichotupatia.Dah imenikumbusha miaka ya 90s nikiwa Tabora wilaya moja hivi kijijini nikichukua elimu ya msingi shule yetu ilikuwa upande wa magharibi kuna makaburi halafu shule ina miti kibao ya mikaratusi,mikorosho mijohoro mizambarawe na miti fulani hivi inatoa ubani upepo ukipiga inavuma kama gari, dah nakumbuka hiyo siku niliamka kwenye kigheto changu pale home kama saa nane hivi mabalamwezi imekubali nje maana ilikuwa wiki ya mwalimu mmoja hivi kusimamia usafi na wechelewaji na ukichelewa unapata bakora za miguuni na lile baridi la kijijini balaa mwanaume mbalamwezi ile nikajua kumekucha nikanawa faster faster hata sikuwastua wazazi ambapo sio kawaida huwa lazima niwaamshe kwenye gheto lao mzee nikanyanyua ufagio mkononi na kidumu cha maji mbio kwenda kabla ya kufika shule kuna kipori flani lazima ukipite ndio ufike shule mwanaume sikujari japo njiani sikuona mtu yeyote hiyo haikunistua mie nilijona mshindi leo nawahi namba shule, aisee nimepita chini ya mikorosho na hiyo miti mingine bila kujari nahisi akili haikuwa yangu nakumbuka nafika shule nikakimbilia darasani nafika mlangoni nilichokishuhudia acha niliona moto mkubwa unawaka mule na kuna watu wamekaa kama wako kwenye kikao halafu wote wakaniangalia ila sura sikuziona hapo ndio akili ikarudi kwamba nimezingua niligeuka mbio kurudi home halafu ule upande wa makaburi nilishuhudia watu wakiwa na mguu mmoja wanaruka ruka kwa mstari mbio zangu nilikuwa nahisi kuna kitu nyuma kinanifata kugeuka nyuma niliona mtu mrefu sana kichwa hakionekani ila kavaa vazi refu linag'aa kama mbaramwezi ilivyokuwa inag'aa mwanaume niliongeza speed nilienda nikaingia na mlango mpk ndani yule jini sijui nini nilipokaribia nyumbani nilisikia msonyoo mmoja hatari sana wazazi wakaamka kufungua mlango kuja kunikuta sijitambui wakanichukua nikaenda kulala kwao asubuhi ndio kuwaelezea ni moja ya tukio ambalo huwa sipendi kabisa kulikumbuka maana baada ya hapo mpk leo kuna vitu huwa naviona ambavyo sio vya kawaida na niliwasumbua sana wazazi baada ya hapo . nimejaribu kufupisha ila kuna mambo mengi sana kwa ule usiku na miaka ile niliyashuhudia baada ya ilo tukio.
Hahaha mtu mzima hutishiwi nyau ama nini!!!!Kwahiyo umeamua kuongea matusi ili niache? Siachi
Hiyo Ishu Ilimpata Mzee wangu. Alikuta Yupo Umbali wa Kama 20KM hivi.Una bahati ulikuwa bado mtoro huyo mrefu alokuwa anakufata nyuma huwa mshenzi sana sema haui ila huwa anasumbua balaaa. Hapendi kukimbiwa. Ukimkimbia imekula kwako, we akija jifanye humuoni ikiwezekana kaa chini ama lala chini ili apite. Ila komesha yake vua nguo zote utembee uchi ama vaa kwa mtindo huu. Anzia chupi igeuze nje ndani halafu ivae mbele nyuma fanya hivo kwa nguo zote soks na viatu kulia kushoto. Halafu tembea kawaida tu hatakiona. Ungekuwa mtu mzima ungekimbia ukastuoia akili zinarudi upo kijijiji cha 8. Ndo ungejiuliza umefikaje huko
Sent using Jamii Forums mobile app