Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Mzee wako sio mtu mzuri [emoji23]Hataki masihara
 
Haya mambo kama huna macho ya kuyaona, usiombee maana yanatisha sana. Inahitaji moyo....

Sent using Jamii Forums mobile app
kwakweli[emoji23] wangekuona ingekuaje
 
Umenikumbusha mauza uza ya 835kj mwaka 2008
 
Ukiona misukile inapakwa unga usoni ujie ni movie za bongo movies,, kihalisia misukule haipakwi unga usoni, inakuwa na baadhi ya rangi za madawa inayopakwa na ni kiasi tu, ni michorochoro kadhaa mara nyingi ni myeusi au kijivu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
simiyu kutumiwa fisi ni jambo dogo sana. Niliwahi kusoma shule flani kule enzi hizo ilikua shinyanga bado aisee kuna dogo aliliwa na fisi yan katika kufatilia ndo tukaambiwa ni fisi wa mazingaombwe aisee simiyu sio poa..
 
Mbozi vijijini. Zamani ilikuwa mkoa wa mbeya siku hizi Songwe. Wako mpakani na mkoa wa Rukwa a.k.a Sumbawanga
Mlikua na ujasiri
kuona viwili wili na bado mnaendelea kutembea bila woga
 
Mziki gan kaka hebu endelea kutupa vitu
 
Nilmfata tajiri mmoja ana magari kibao(crane) ya kubebea mizigo kwenye gereji yake aniuzie mbuzi, maana mbuzi wake ni mbegu kubwa na wanazaa mapacha.
Akaniambia huna hela ya kununua hawa mbuzi nkamwambia nitajie bei ngapi maana najua hawa nkiwapeleka shamba watazaliana sana akagoma.

Siku nyingine nkamwambia niuzie hivi vipacha 50 kila kimoja, sasa kwa sababu nina nia ya kununua, mlinzi wake akaniambia hawa mbuzi hawezi kukuuzia kila anunuapo gari huwachinja na damu yake huzungishiwa kwenye hyo gari, nkajua kumbe mbuzi wa dawa.

Tajiri mwingine alikuwa anafuga bata bukini,akikuona unafanya same business kwenye eneo lake anakupa zawadi ya nyama ya bata ila akiwa anakupa lazima akupe hug(kumbato) miezi 6 mingi unakuwa mufilisi.

Sasa kuna jamaa mmoja alikuwa mshirikina sana ( dalali wa vyumba na nyumba) akapita karibu na wale bata, mara bata wakalia mlio wa sauti kuwa wameona mgeni au kitu kipya, kumbe wamelamba hirizi zake zote alizopewa kwa mganga, akajiona mwepesi, akamfata mmiliki wa bata akasema bata wako wamekula vitu vyangu sasa wengine hatujui lugha za kichawi, mmiliki anamuuliza dalali,

Bata wamefungiwa ndani ya fensi nimepga na uzio na ndani hawajatoka wamekulaje vitu vyako, toka siku hyo dalali hapti kwa mfuga bata, anasema wale c bata wa kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishapandishwa mamba na fisi sana kule kwenye utajiri wa ndago Iringa,Sasa hv aaaaah nina mapene mob,baadae ili nisitoe kafara za kumaliza watu wangu wa karibu,nikapata uchawi mwingine balaa ila kila siku moja j2 nakufa kabisa na siku moja sifi ila naoza tu kudadadeki,wale funza ndio mifedha yenyewe,kesho kwenye mishe zangu utashangaa tu unatokea mchongo wa kupita milioni 500,balaa sana inabidi uwe bandidu,balaa zit

Ila mwanangu huyo alikuja kufa kifo cha hatari mnoooo

rip to ze fallen soja tindwago
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…