Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Basi sisi wengine tungevunja kila kilicho ndani ya nyumba maana tunaishi na maudhi zaidi kuliko furaha
 
Ama kwel dunia in mengi..

Mi mishe za kukabwa zilikua zinnitokea sanaaa 2006 iv nilikua chalii ila nlikuag sitilii maanani sana hat sisimulii nikua nakbwa karibia kila siku naon had wanga wenyew wakachoka[emoji23][emoji23]

Ila kuna moja ilinitokeaga kweny 2015 iv nakumbuka nlikua advnc bording kuna jamaa nlikua nae geto yy alikua amell deka ya juu mi nlikua zangu tu napig msuli ghafla kam machal yakanicheza nikachek kweny bed jamaa hakuwepo na mlang ulikua umefungwa nikaamua nimsubir nikaach kusoma baada kam ya dk 30 nikasikia jamaa anakohoa kuchk namwon bed niliogp kimtindo ila niliouuzia nikaanza kucheka nikamwambia nain umerud mwana.

Jamaa aliootezea mada ila kwa kwel uchaw upo ila bad naupuuziag[emoji861]
 
Ama kwel dunia in mengi..

Mi mishe za kukabwa zilikua zinnitokea sanaaa 2006 iv nilikua chalii ila nlikuag sitilii maanani sana hat sisimulii nikua nakbwa karibia kila siku naon had wanga wenyew wakachoka[emoji23][emoji23]

Ila kuna moja ilinitokeaga kweny 2015 iv nakumbuka nlikua advnc bording kuna jamaa nlikua nae geto yy alikua amell deka ya juu mi nlikua zangu tu napig msuli ghafla kam machal yakanicheza nikachek kweny bed jamaa hakuwepo na mlang ulikua umefungwa nikaamua nimsubir nikaach kusoma baada kam ya dk 30 nikasikia jamaa anakohoa kuchk namwon bed niliogp kimtindo ila niliouuzia nikaanza kucheka nikamwambia nain umerud mwana... Jamaa aliootezea mada ila kwa kwel uchaw upo ila bad naupuuziag[emoji861]
ilikuwa saa ngapi? hicho chumba mlikuwa mnaishi wangapi?
 
Ama kwel dunia in mengi..

Mi mishe za kukabwa zilikua zinnitokea sanaaa 2006 iv nilikua chalii ila nlikuag sitilii maanani sana hat sisimulii nikua nakbwa karibia kila siku naon had wanga wenyew wakachoka[emoji23][emoji23]

Ila kuna moja ilinitokeaga kweny 2015 iv nakumbuka nlikua advnc bording kuna jamaa nlikua nae geto yy alikua amell deka ya juu mi nlikua zangu tu napig msuli ghafla kam machal yakanicheza nikachek kweny bed jamaa hakuwepo na mlang ulikua umefungwa nikaamua nimsubir nikaach kusoma baada kam ya dk 30 nikasikia jamaa anakohoa kuchk namwon bed niliogp kimtindo ila niliouuzia nikaanza kucheka nikamwambia nain umerud mwana... Jamaa aliootezea mada ila kwa kwel uchaw upo ila bad naupuuziag[emoji861]

Jifunze kuandika vizuri
 
Amka saa 9 usiku na usali/uswali kwa Imani moyoni kumuomba Mungu wako akuondolee hayo matatizo kwa Iman kubwa moyoni, fululiza Daily naimani utapata Relief.
Amin
lakini kwanini saa9
 
Naunga mkono kwa kiasi chake
mama angu bibi yake mzaa mama alikua mwanga mno Aliwatafuna watoto wa kwanza wa wajukuu zake wote wa kike na baadhi ya mama zangi wadogo hawajazaa mpaka leo.
Mama aliniambiaga kuwa chochote unachotaka kufanyiwa kishirikina lazima mchawi wa ukoo wenu akithibitishe. Kama hakithibitishi hufanyiwi kitu ( ni kama hukumu ya kunyongwa mpaka rais atie sahihi) akanipa mfano; Mkiwa ndani asubuhi mkiamka lazima nyumba muifungue wenyewe mtoke nje, mtu wa nje hawezi kufungua kuingia ndani. Kwahiyo hapo kwenye ukoo hapo nakubaliana huwenda ndio maana hatuoni mauza uza ila pia anakiukizaga mikoba ya bibi huyo kairithi nani [emoji3]
Umeongea simple ila umetoa point kubwa sana. wachache watakuelewa
 
Back
Top Bottom