mjanja wa kijiji
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 1,582
- 4,378
We jobless nini? mbona unatoa povu la wivu?Pumbavu unaleta story za jeshini huku,hayo mambo ya kazini kwako unatuletea raia ili iweje?hujaiva wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jobless nini? mbona unatoa povu la wivu?Pumbavu unaleta story za jeshini huku,hayo mambo ya kazini kwako unatuletea raia ili iweje?hujaiva wewe
Haha..We jobless nini? mbona unatoa povu la wivu?
Kuna Bar iko mitaa flani hivi kule chuganian,ukimuelewa mhudumu fresh unampanga then anazuga zuga pale baadae anaingia chini ya meza(ni zile meza zenye cover za plastics ndefu) unashusha zipu kiaina yeye anaendelea kunyonya mkuyenge huku wewe unakunywa zako bia kama vile hakuna kinachoendelea,ukimalizana nae anatoka chini ya meza nduki anaendelea kuhudumia wateja kawaida kabisa.
Itakua wateja wa pale wamenyonywa sana na majini kule chini ya meza.
Wasamehe bure kila kozi lazima itoe askari ambao hawajaiva,inaweza kuwa madogo walikuwa wazee wa vitengo sana(bustani,maua,walinzi wa hanga)Pumbavu unaleta story za jeshini huku,hayo mambo ya kazini kwako unatuletea raia ili iweje?hujaiva wewe
Dah! Interesting, ilikuaje hii mkuu...Aisee umenikumbusha nilivyotrmbea kutoka Arusha Mpaka Tinde kwa mguu
bila kujijua
Fugeni paka, mbwa hapambani na mauzauza anapambana na wizi tu, kikubwa anabweka tu na kusepa. Ila paka bob, haondoki mpaka kieleweke, ama afe yeye au afe mchawi/shetani. Paka ni mlinzi mzuri kwenye haya maswala, hatuwaelewi tu mana wanajiskia sana wanyama hawa.Kaka mtoto wa mama mkubwa alienda kutandika kitanda baada ya kula usiku waende kulala.Pembeni ya nyumba yao kulikua na msufi mkuuuuuuuubwa ndio mti mkubwa zaidi pale kijijini.
Alipoenda kutandika hakurudi tena hadi saa linapita mtu hatoki ndani, kwenda kumtafuta hayupo! Walimuwinda nyumba nzima hawamuoni karibia masaa 3 nyumba yote hawaoni mtoto. Baadae walimuona chini ya meza ya kula (ndogo tu) kajikunyata hawesi kuongea. Wakampeleka kwa mganga usiku huo huo kafanyiwa dawa ndio akaanza kuongea kua kuna kitu kilimchukua kikampeleka ndani ya huo msufi.
Tumewangiwa utotoni kinoma noma..ilibidi mama ahamishe kitanda tulale chumbane mwake. Alikua akiwasha kibatali aone vizuri ndani anaona kiganja kinazima kibatali.
Wachawi waliniiba wakanitoa chumbani wanipeleka kunilaza chini ya mtungi..kwenye kona la nyumba. Walinipata asubuhi nikiwa nimesinzia nimefunikwa ushungi kama mtoto mchanga.
RIP kuna mbwa wetu alikua anapambana nao usiku wakamuuua
Hii ndio nasikia leo.Fugeni paka, mbwa hapambani na mauzauza anapambana na wizi tu, kikubwa anabweka tu na kusepa. Ila paka bob, haondoki mpaka kieleweke, ama afe yeye au afe mchawi/shetani. Paka ni mlinzi mzuri kwenye haya maswala, hatuwaelewi tu mana wanajiskia sana wanyama hawa.
Watalaamu wanakwambia ukiona paka amekujua mguuni na kukuzonga sana haondoki ujue anakulinda na ubaya wa mauzauza, ila sisi tunaona anatusumbua tunampiga teke 😀
Paka ni mnyama ambae ana ujasiri mkubwa sana, mbwa haingii ndani. Bora ufuge paka kuliko mbwa linapokuja maswala ya mauzauza.Hii ndio nasikia leo.
Kumbe! Kuna watu huwa wanadai paka hutumiwa na wachawi kumbe wanapambana na wachawi pia!Paka ni mnyama ambae ana ujasiri mkubwa sana, mbwa haingii ndani. Bora ufuge paka kuliko mbwa linapokuja maswala ya mauzauza.
Mbwa utamkuta anabweka sana, lakini hapigani, labda auliwe kunyamazisha kelele zake lakini hapigani na mauzauza. Yeye mwenyewe mwoga kwenye hayo mambo.
KivipiHiki kitu kimenitisha na kuniogopesha sanaView attachment 1491429
Paka unaemfuga au hata wale tunaosema mapaka majizi, kama wanalalia kwenye nyumba yako, wanapambana na wachawi mkuu.Kumbe! Kuna watu huwa wanadai paka hutumiwa na wachawi kumbe wanapambana na wachawi pia!
Kwa hio unataka kujua zaidi..?Mkuu ilikua kweli hio
ila najiulizaga hii teknolojia ya kufungua ukuta inawezekanaje hasa process zake
Kwa hio unataka kujua zaidi..?
Paka unaemfuga au hata wale tunaosema mapaka majizi, kama wanalalia kwenye nyumba yako, wanapambana na wachawi mkuu.
Hapa home nilipo, kila akifa paka lazima anakuja paka mwingine kuweka kambi na sijui wanatokea wapi. Na cha kushangaza mkuu, huwa sometime sipo home wiki nzima, hakuna msosi anaopata hutoka home, lakini huyu paka halali kwa jirani. Huyu paka wakati yupo mdogo, nilimgawa kwa majirani mana walimtaka, alipokuwa tu ameruka ukuta na amerudi hapa home. Sasa ivi tayari naona kuna paka mwengine ameanza kujisogeza sogeza, wanapokezana vijiti kuishi hapa nlipo 😀
Vilikuwa vidogo wakati navigawa, kabla mama yao hajafa aliwazalia hapa hom.Paka wanatunza kumbukumbu balaa labda kama ungemgawa akiwa mdogo sana angesahau alipotoka.