EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Vipi uliiona bendera yao ni ya namna gani,haikuwa kama hii hapa chini?Hapana hakuna soja wafupi kiasi kile[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi uliiona bendera yao ni ya namna gani,haikuwa kama hii hapa chini?Hapana hakuna soja wafupi kiasi kile[emoji23][emoji23][emoji23]
Ile hapana ingawa ni ya rangi ya giza na zilikuwa mbili ila tulikuta katika hatua za mwisho kuzifungua_kuzichomoa. Kwa hakika sikung'amua nembo za bendera zao.Vipi uliiona bendera yao ni ya namna gani,haikuwa kama hii hapa chini?
View attachment 1483660
Na wake wa parade nao walikuwa wafupi kama waliokuwa wanashusha benderaIle hapana ingawa ni ya rangi ya giza na zilikuwa mbili ila tulikuta katika hatua za mwisho kuzifungua_kuzichomoa. Kwa hakika sikung'amua nembo za bendera zao.
Huu Uzi unanitiishaa[emoji87]
mbona hutoi kisa chako
Mayai anazingua sana hahaaMayai wa A coy[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamaa ana mashavu yulee aiseeeee...
Kanole namuona sana facebook, anapenda sana FbWale ndio wachawi na wazee wa vikosi, sasa wewe toka huko mjini nenda kajifanye unajua kubadirisha utaratibu waliojiwekea enzi na enzi. Kanole mwenyewe alikuwa anawaheshimu sana wale wazee[emoji23][emoji23]
Hahaa, ulikuwa OP ipi bossKanole alikuwa hasemi kitu aiseee... Kuna yule mweusi mrefu hiviii alikuwa anapenda kusema Ngurutuu mnaharisha sababu mnakulaaa maviiiii....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
2015 OP kikweteHii stori kuruti, tulipewa na Afande wame...Bcoy 2015 Mujbu wa sheria.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda Kuna mdudu alikua anamtoa bikra mdudu mwenzio, ndio maana dam zilidondoka chini[emoji83]Kuna tukio moja, niliwai kudondokewa matone ya damu nikiwa ndani ya nyumba tena mchana kweupe.
Matone kama 4 yanadondoka kutoka juu ya dali, lakini nikiangalii juu sioni kitu.
ni moja ya tukio tata kwangu, hadi leo sijui nini chanzo cha ile damu.
lakini siamini kwamba ni uchawi coz uchawi kwangu ni myth tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine wanabadili sehemu ya matukio wanayosimulia ili wasijulikane. Wanaonfoa vitu na kuongeza vingine ili wafiche wahusika wasimfahamu.... Mtu hadi anafanya hivyo, halafu anakuja mwingine kukosoa siyo poa kabisaWengine humu wanasimulia bongo movie ohooo! Wengine wanafanya maboresho ya ndoto waotazo, ila Kuna wakweli haswaa...
Kwenye mamba Wengi hapakosi kenge[emoji120]
😂 😂 😂 😂 might-be😂😂😂😕😕Labda Kuna mdudu alikua anamtoa bikra mdudu mwenzio, ndio maana dam zilidondoka chini[emoji83]
Nimepita hapo 2013 lkn mbona hizo mishe sikuzisikiaMgambo JKT kuna wazee walikuwa wachawi hadi wanapelekwa kusimamia mashamba mbali na kikosi
Anatupia pics sana za shule yake na mambo yake ya kilimoKanole namuona sana facebook, anapenda sana Fb
Ulikaa muda gani pale?Nimepita hapo 2013 lkn mbona hizo mishe sikuzisikia
Njoo hapa Diana usitishike mamiiHuu Uzi unanitiishaa[emoji87]
Alafu tungi linakupelekea kwenda kulala nae😂😂Kuna zile bar unakuta zinajaza watu zina wahudumu warembo kweli wengine huwa ni majini hasa zile bar ambazo wamiliki wake wanamikataba ya kishetani kwa ajili ya mali