Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Hapana hakuna soja wafupi kiasi kile[emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi uliiona bendera yao ni ya namna gani,haikuwa kama hii hapa chini?
Jolly-roger.jpg
 
Wale ndio wachawi na wazee wa vikosi, sasa wewe toka huko mjini nenda kajifanye unajua kubadirisha utaratibu waliojiwekea enzi na enzi. Kanole mwenyewe alikuwa anawaheshimu sana wale wazee[emoji23][emoji23]
Kanole namuona sana facebook, anapenda sana Fb
 
Kuna tukio moja, niliwai kudondokewa matone ya damu nikiwa ndani ya nyumba tena mchana kweupe.
Matone kama 4 yanadondoka kutoka juu ya dali, lakini nikiangalii juu sioni kitu.

ni moja ya tukio tata kwangu, hadi leo sijui nini chanzo cha ile damu.
lakini siamini kwamba ni uchawi coz uchawi kwangu ni myth tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda Kuna mdudu alikua anamtoa bikra mdudu mwenzio, ndio maana dam zilidondoka chini[emoji83]
 
Wengine humu wanasimulia bongo movie ohooo! Wengine wanafanya maboresho ya ndoto waotazo, ila Kuna wakweli haswaa...

Kwenye mamba Wengi hapakosi kenge[emoji120]
Wengine wanabadili sehemu ya matukio wanayosimulia ili wasijulikane. Wanaonfoa vitu na kuongeza vingine ili wafiche wahusika wasimfahamu.... Mtu hadi anafanya hivyo, halafu anakuja mwingine kukosoa siyo poa kabisa
 
Back
Top Bottom