Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Kuna nyumba moja tulikuwa wapangaji 6,kuna kipindi ikifika usiku nasikia sauti za watu na mapaka juu ya Dari na kwenye korido, kelele zao zilikua zinadumu kwa dkk kama 15 hivi.Kiukweli nilikua nahisi moyo unatoka maana mapigo ya.moyo yalikua yanapiga kwa nguvu mno sababu ya woga. Asubuhi namuuliza mama na ndugu wengine kama walisikia chochote wanasema hapana. Siku moja nilikua naumwa sana tumbo usiku.

Mida ile ile ya kelele za paka na wale watu zikaanza walipomaliza Sasa kwa upande niliolalia likaanguka lipaka lina rangi nyeusi na nyeupe maana kulikua na dari lkn sijui ilikuaje likabomoka. Kikuweli sikulala tena usiku ule na hata lilipotoka pale chumbani hakuna anaejua.

Basi usike mwingine tukalala lkn hakukua na zile kelele sikuzisikia lkn sasa kulipokucha yule paka tukakuta kafa nje. Lkn hadi leo najiuliza iweje zile heka heka za usiku za watu wale na paka nisikie mimi tu[emoji848][emoji848][emoji848]!!!
 
ilikua ni uoga tu huo
 


Duh mkuu kijiji cha wapi hicho na mwaka gani?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] walikokomesha mwana
 
uyo mlinzi hakuzngunza tena boss
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ukiwa unajihusisha sana na ushirikina lazima ivo vitu ukutane navyo
 
Malizia basi kamanda maana tumesimama hapa hadi miguu inaingia tumboni
 
ulishawahi kumastamurbate halafu ukajikuta mtu kakutia kidole bila kumuona,fikiria tu wewe unamasturbate kumbe kuna mtu unampa utam bila kujijua halafu ile unamaliza unajiona kama una majimaji vile ! acha huo mchezo sio mzuri
Duuuu
 
Hahahaha majabula
 
Siku moja night nilikua nina mihadi na demu wangu na tulikua tukihishi jirani, tulikua na mazoea kila usiku demu anachomoka kwao anakuja kulala gheto kwangu Kisha anarudi kwao alfajiri Sana kabla hakuja pambazuka na kulikua na tetesi mtaani kwamba kwao ni wachawi, Ila sikutilia maanani Sana kwakuwa sikuamini hizo issue na tulikua katika misingi ya ukristo.siku ya tukio nilikua na mihadi na bibie na hakutokea kwa wakati inabidi nikaskikizie kulikoni, kipindi hichi simu za mkononi hajifikirika kutolewa, kwahiyo nikaenda kumgongea dirishani kwao,

lakini sikupata response yeyote, nikaenda mlangoni bado ilikua kimya, nikarudi dirishani kwake nikawa nahita kwa kwa sauti ya chini Sana , baada nisikia mlango unafunguliwa taratibu, nikajua ndie anatoka, fasta nikawahi mlangoni kumtoa bibie, kitu nilichokutana nacho sitoweza kusahau mpaka leo, lilitoka jitu Lina manyoya, minywele na kucha ndefu Sana...nilikutana nae hana kwa hana nilikimbia, nikajikuta home nikihema na mapigo ya Moyo yakienda Kasi snaa.

Toka siku hiyo uhusiano ukafa, nikaamini uchawi na mazingira yapo.
 
msukule uo
 
Hahaha nyege zilikucost mbio ambazo hukutarajia.
 
Nimesoma na utu uzima mitihani ulikuwa imekaribia Sana. Vitabu ilikuwa nimeviweka sebuleni kwenye meza , nikawa nasomea chumbani nikisoma sirudishi sebuleni navipanga pale chumbani upande WA pili WA kitanda pako wazi kabisa hakuna chochote.

Vikawa vingi. Siku moja nilipiga msuli Hadi saa 8 nikazima taa Niko kwenye Neti nikasikia binge la kishindo vile vitabu vinaanguka nikasema Kwa sauti 'Da vimeanguka siamki nitaviokota asubuhi'. Asubuhi naamka nakuta viko vile vile na ilikuwa ni mivolome ya hatari. Nilikuwa peke yangu. Nilichoka ,Kesho yake Nililala mapema kihede chote kiliisha.
 
Ungwasalimia uwaombe na hela saa hizi ungekua billionaire, hawanaga roho mbaya wale jamaa
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…