Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Nimeandika hapo na usingizi mwenyewe umekata maana hata chumba nilichopo nakiogopa ila mambo haya ni nguvu ya kishirikina na ninadhani ule ulikuwa ndio mwisho wangu ila Mungu mwenyewe alinipigania ila uchawi upo na unafanya kazi vizuri sana ile kitu ilikuwa planned na walioplan mmoja akiwa ni jirani yetu japo kwa umri sasa hivi ni mzee sana na wenzake walishatangulia mbele ya haki ila kiukweli mambo ni mengi mie ilikuwa ikifika usiku ujue raha sina maana najua kumekucha hakuna kulala moja ya tukio kuna siku pale home baada ya tukio hilo ilikuwa jmos asubuhi nikaambiwa nikateke maji mtoni nikazingua nikaendekeza kucheza kuja kustuka bi mkubwa ananiita huwezi nikakimbilia porini kwa kuogopa kuchapwa toka saa nne aasubuhi ajabu ni kuwa nilikuwa sijui polini nimeenda kutafuta nini na kumbuka tabora kunaoongoza kuwa na nyoka koboko basi mie ndio nikaenda huko zungunga sana jua la saa nane nipo huko nakula matunda pori tu nikawa nimesikia joto katika kuzunguka zunguka nilitokea sehemu kuna maji mengi kama ziwa na lile joto nililokuwa nalo nikasema ngoja nivue nguo nioge nikavua ila roho ikasita kuoga nikavaa nikaondoka nikajikuta sijui njia ya kunirudisha nyumbani na kigiza kinaingia Mungu saidia kuna mzee mmoja wa kijiji cha pili alikuwa anachunga ng'ombe akaniaona na anawajua pale home ndio kunirudisha nyumbani ajab mama hakunichapa na alikuwa ameshanitafuta kwa washikaji wangu wote hakunipata hivyo baada ya kuniona kwanza nimepauka nilipewa tu maji ya moto kuoga na kula nikashida nikaenda kulala sasa cha ajabu asubuhi ambayo ilikuwa j2 nikawasimulia sehemu nilipoona lile ziwa la maji ile sehemu hakuna historia ya kuwa ziwa la maji hata bwawa kuna miti ya Milumba na mitundu kwa wingi kama unaijua, wazee nao ikabidi waanze kuhangaika ndio mambo kutulia ila hii dunia ina mambo sana ukijiona mzima unalala vizuri unaamka salama hakuna wenge lolote mshukuru sana Mungu mie wazazi walikuwa watu wa dini sana walikuwa hawaamini uchawi ila waliamini
[/QUOTE]Hii habari ya ikifika usiku ndio unajua kazi imeanza imenikumbusha mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee hili jukwaa sikuwahi kutia neno ila kwakua nimekutana namada hii naomba nitie neno kidogo

mm nimtu ambae kwanza nilikua siamini kabisa ushirikina ama kuwepo kwa uchawi ila nilikuja kuamini kutokana na mfululizo wamatukio mengi sana niliowahi kukumbana nayo nikianza kuyajumlisha yautotoni sana toka nipo chekechea mpaka ukubwani

ila ntashare hii ya ukubwani maana ndio iliokua inanisisimua zaidi japokua mpaka sasa baadhi yamuda hua mauza uza yake yananitokea ila naona sasa kawaida tu ijapokua sio kawaida (stori ndefu kiasi ila nitaifupisha msiichoke)

UCHAWI KWAUPANDE WANGU UPO.

Ilikua kama miaka ya 2010s Hv mkoani dar nlikua namaskani yangu hv sehemu moja mkoani pale nakumbuka kuna siku alipita msichana jina ntalihifadhi alikua na dada ake aliomtambulisha kwetu hivi namimi nlikua na swahina wang tukawafata wale mabinti

mm nikakaa kwamdogo mtu na kwabahati mdogo mtu akatokea kunipenda sana sana sanaaa kiasi kwamba akawa ananilazimisha kwenda kwao sijui ilikua nakwamia wapi sikuwahi kukubali

yule binti alinipenda sana sana sana ila kunasiku tuko maeneo chochoroni mschana akanambia kwajinsi anavyonipenda kama itatokea nimemuacha ataniroga

kweli wakati niponae kunasiku naelekea nyumbani nilihisi kunakitu nyuma kina nifuata ila sikugeuka kukitazama na moja kwamoja nilimuhisi yule mwanamke ila nilipo karibia nyumban nikageuka ila sikumuona ila nilihisi kajificha sehemu wakati mimi nageuka nyuma

haikupita mda sana yule mschana tuka achana ikapita miaka mingi tukawa hatuna stori nawala kuonana haikua sana nakumbuka kwawakati ule nilikutana nae mara mbili ama tatu tu

Nafupisha Yule msichana kunasiku nililala nikamuona yeye nayule dada ake namtu niliemuhisi atakua mama ake wamekuja nlipokua nalala saa nane za usiku walikuja kichawi wakanilisha kitu(kuna siku nilikua sehemu ambayo mtu hawez kutuona ila akanambia mama ake kapita na kaniona sikushangaa sana ila nilishangaa kiasi)


Baada yapale kulishwa kitu niliumwa sana kwausiku ule maana kweli nilihisi kitu nakimeza nakilikua kinaniuma pia wakati wanakuja kunilisha usiku nilikua nawaona (yaani Mungu alinipa uwezo wakuwaona toka wanatoka mbali mpaka kufika nilipo ila nlikua sina uwezo wakuwafanya kitu mpaka walipo nilisha kitu)

Baada yakulishwa kitu nakupata maumivu mpaka kesho yake kwamarayakwanza nikaenda kwa mganga asubuhi yake nanilipata tiba tatizo likaondoka ila likawa linarudi rudi kidogo kitu kile nlichomezeshwa maana kilikua kinanitembea tumboni(pia nlipolishwa kile kitu nilipoteza uwezo wakusimamisha nguvu za kiume kwamda ila zimerejea[emoji3][emoji16][emoji5][emoji4])


Ikapita kama mwaka ama miaka miwili ikawa nime amua kuhama kwetu kuanza kukaa binafsi sasa kuna siku naingia nyumba nlipokua nakaa baada yakuamua kuhama kwetu yule mwanamke sku hio naingia ndani mlango mkubwa wanyumba nlipo panga kwanje nikamuona kaka ila sikuelewa kafikaje skumuuliza kitu nikaingia ndani

baada ya sku ile akawa ananijia usingizini nikawa napenzika nae ndani ya usingizi ila chaajabu ikawa nikiamka yule mdada yupo na amenikumbatia kwel kwel hali yakunikimbatia inatokea kama dakika tatu halafu anasepa yule binti(tukio hili lilinitokea zaidi yamara tatu ama nne mfululizo)

Nikarejelea kwayule mzee wangu akanambia mwanamke yule pengine sio mtu ila sikujali sana nlilojali asinijie tena kunisumbua ili niishi kwa amani

kna siku nikawa nimekaa nikamuwaza yule mwanadada akapita tu ghafla nikaonana nae na nilikua sijui anakaa wapi maana tulishapotezana miaka mingi kiasi nikamwambia kama nna shida nae

Kweli tukabadilishana namba yasimu tukaonana nikamuelezea matatizo nnayokumbana nayo akanambia yakwamba yeye kama akitokea kumpenda Mwanaume kama alivyonipenda mimi halafu mwanaume akaenda kinyume nae ama akamfanzia kama nlivyomfanzia mimi basi lazma atapata tabu kama nlokua naipata mie ila akanihakikishia kama ntakua poa (kuna siku alinifata usiku nakunipiga mpaka nikawa naviashiria vyamtu anaetaka kupata stroke akanambia nahili tatizo pia lita ondoka) nikweli tatizo liliondoka

Ila bado hua ananijia baadhi ya mda usiku namuona tu kikawaida ila hatufanyi kitu mwisho juzi nilionana nae ila usiku(sikuwa usingizini alinitokea tu mara moja)


Mwisho:-Katika kufanya uchunguzi kwayule msichana kwa alipo nambia anakaa awali nimefanya kila jambo lakujitosheleza nimfahamu nimjue alikua anakaa wapi kwakila nnaeuliza maeneo yale alipokua anakaa yule mwanamke msichana wanasema hawamjui nahakuwahi kukaa ama kuishi mwanamke wakariba yake maeneo yale



UCHAWI AMA MAUZA UZA YAPO ILA UKITAKA UYAAAMINI MPAKA YAKUKUMBE AMA UKIMBANE NAYO KWAUPANDE WANGU YAPO KWA 100%

Sent using My COVID-19
 
Nilishapandishwa mamba na fisi sana kule kwenye utajiri wa ndago Iringa,Sasa hv aaaaah nina mapene mob,baadae ili nisitoe kafara za kumaliza watu wangu wa karibu,nikapata uchawi mwingine balaa ila kila siku moja j2 nakufa kabisa na siku moja sifi ila naoza tu kudadadeki,wale funza ndio mifedha yenyewe,kesho kwenye mishe zangu utashangaa tu unatokea mchongo wa kupita milioni 500,balaa sana inabidi uwe bandidu,balaa zit

Ila mwanangu huyo alikuja kufa kifo cha hatari mnoooo

rip to ze fallen soja tindwago
Sasa mbna hujamalizia alikufaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilmfata tajiri mmoja ana magari kibao(crane) ya kubebea mizigo kwenye gereji yake aniuzie mbuzi, maana mbuzi wake ni mbegu kubwa na wanazaa mapacha.
Akaniambia huna hela ya kununua hawa mbuzi nkamwambia nitajie bei ngapi maana najua hawa nkiwapeleka shamba watazaliana sana akagoma.
Siku nyingine nkamwambia niuzie hivi vipacha 50 kila kimoja, sasa kwa sababu nina nia ya kununua, mlinzi wake akaniambia hawa mbuzi hawezi kukuuzia kila anunuapo gari huwachinja na damu yake huzungishiwa kwenye hyo gari, nkajua kumbe mbuzi wa dawa.

Tajiri mwingine alikuwa anafuga bata bukini,akikuona unafanya same business kwenye eneo lake anakupa zawadi ya nyama ya bata ila akiwa anakupa lazima akupe hug(kumbato) miezi 6 mingi unakuwa mufilisi.
Sasa kuna jamaa mmoja alikuwa mshirikina sana ( dalali wa vyumba na nyumba) akapita karibu na wale bata, mara bata wakalia mlio wa sauti kuwa wameona mgeni au kitu kipya, kumbe wamelamba hirizi zake zote alizopewa kwa mganga, akajiona mwepesi, akamfata mmiliki wa bata akasema bata wako wamekula vitu vyangu sasa wengine hatujui lugha za kichawi, mmiliki anamuuliza dalali,
Bata wamefungiwa ndani ya fensi nimepga na uzio na ndani hawajatoka wamekulaje vitu vyako, toka siku hyo dalali hapti kwa mfuga bata, anasema wale c bata wa kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee hili jukwaa sikuwahi kutia neno ila kwakua nimekutana namada hii naomba nitie neno kidogo

mm nimtu ambae kwanza nilikua siamini kabisa ushirikina ama kuwepo kwa uchawi ila nilikuja kuamini kutokana na mfululizo wamatukio mengi sana niliowahi kukumbana nayo nikianza kuyajumlisha yautotoni sana toka nipo chekechea mpaka ukubwani

ila ntashare hii ya ukubwani maana ndio iliokua inanisisimua zaidi japokua mpaka sasa baadhi yamuda hua mauza uza yake yananitokea ila naona sasa kawaida tu ijapokua sio kawaida (stori ndefu kiasi ila nitaifupisha msiichoke)

UCHAWI KWAUPANDE WANGU UPO.

Ilikua kama miaka ya 2010s Hv mkoani dar nlikua namaskani yangu hv sehemu moja mkoani pale nakumbuka kuna siku alipita msichana jina ntalihifadhi alikua na dada ake aliomtambulisha kwetu hivi namimi nlikua na swahina wang tukawafata wale mabinti

mm nikakaa kwamdogo mtu na kwabahati mdogo mtu akatokea kunipenda sana sana sanaaa kiasi kwamba akawa ananilazimisha kwenda kwao sijui ilikua nakwamia wapi sikuwahi kukubali

yule binti alinipenda sana sana sana ila kunasiku tuko maeneo chochoroni mschana akanambia kwajinsi anavyonipenda kama itatokea nimemuacha ataniroga

kweli wakati niponae kunasiku naelekea nyumbani nilihisi kunakitu nyuma kina nifuata ila sikugeuka kukitazama na moja kwamoja nilimuhisi yule mwanamke ila nilipo karibia nyumban nikageuka ila sikumuona ila nilihisi kajificha sehemu wakati mimi nageuka nyuma

haikupita mda sana yule mschana tuka achana ikapita miaka mingi tukawa hatuna stori nawala kuonana haikua sana nakumbuka kwawakati ule nilikutana nae mara mbili ama tatu tu

Nafupisha Yule msichana kunasiku nililala nikamuona yeye nayule dada ake namtu niliemuhisi atakua mama ake wamekuja nlipokua nalala saa nane za usiku walikuja kichawi wakanilisha kitu(kuna siku nilikua sehemu ambayo mtu hawez kutuona ila akanambia mama ake kapita na kaniona sikushangaa sana ila nilishangaa kiasi)


Baada yapale kulishwa kitu niliumwa sana kwausiku ule maana kweli nilihisi kitu nakimeza nakilikua kinaniuma pia wakati wanakuja kunilisha usiku nilikua nawaona (yaani Mungu alinipa uwezo wakuwaona toka wanatoka mbali mpaka kufika nilipo ila nlikua sina uwezo wakuwafanya kitu mpaka walipo nilisha kitu)

Baada yakulishwa kitu nakupata maumivu mpaka kesho yake kwamarayakwanza nikaenda kwa mganga asubuhi yake nanilipata tiba tatizo likaondoka ila likawa linarudi rudi kidogo kitu kile nlichomezeshwa maana kilikua kinanitembea tumboni(pia nlipolishwa kile kitu nilipoteza uwezo wakusimamisha nguvu za kiume kwamda ila zimerejea[emoji3][emoji16][emoji5][emoji4])


Ikapita kama mwaka ama miaka miwili ikawa nime amua kuhama kwetu kuanza kukaa binafsi sasa kuna siku naingia nyumba nlipokua nakaa baada yakuamua kuhama kwetu yule mwanamke sku hio naingia ndani mlango mkubwa wanyumba nlipo panga kwanje nikamuona kaka ila sikuelewa kafikaje skumuuliza kitu nikaingia ndani

baada ya sku ile akawa ananijia usingizini nikawa napenzika nae ndani ya usingizi ila chaajabu ikawa nikiamka yule mdada yupo na amenikumbatia kwel kwel hali yakunikimbatia inatokea kama dakika tatu halafu anasepa yule binti(tukio hili lilinitokea zaidi yamara tatu ama nne mfululizo)

Nikarejelea kwayule mzee wangu akanambia mwanamke yule pengine sio mtu ila sikujali sana nlilojali asinijie tena kunisumbua ili niishi kwa amani

kna siku nikawa nimekaa nikamuwaza yule mwanadada akapita tu ghafla nikaonana nae na nilikua sijui anakaa wapi maana tulishapotezana miaka mingi kiasi nikamwambia kama nna shida nae

Kweli tukabadilishana namba yasimu tukaonana nikamuelezea matatizo nnayokumbana nayo akanambia yakwamba yeye kama akitokea kumpenda Mwanaume kama alivyonipenda mimi halafu mwanaume akaenda kinyume nae ama akamfanzia kama nlivyomfanzia mimi basi lazma atapata tabu kama nlokua naipata mie ila akanihakikishia kama ntakua poa (kuna siku alinifata usiku nakunipiga mpaka nikawa naviashiria vyamtu anaetaka kupata stroke akanambia nahili tatizo pia lita ondoka) nikweli tatizo liliondoka

Ila bado hua ananijia baadhi ya mda usiku namuona tu kikawaida ila hatufanyi kitu mwisho juzi nilionana nae ila usiku(sikuwa usingizini alinitokea tu mara moja)


Mwisho:-Katika kufanya uchunguzi kwayule msichana kwa alipo nambia anakaa awali nimefanya kila jambo lakujitosheleza nimfahamu nimjue alikua anakaa wapi kwakila nnaeuliza maeneo yale alipokua anakaa yule mwanamke msichana wanasema hawamjui nahakuwahi kukaa ama kuishi mwanamke wakariba yake maeneo yale



UCHAWI AMA MAUZA UZA YAPO ILA UKITAKA UYAAAMINI MPAKA YAKUKUMBE AMA UKIMBANE NAYO KWAUPANDE WANGU YAPO KWA 100%

Sent using My COVID-19
Tangu ukumbane na haya hujawahi kuwa na mwanamke mwingine?
 
Tangu ukumbane na haya hujawahi kuwa na mwanamke mwingine?
nimewahi ila nakumbana nachangamoto moja tukatika mahusiano yangu eidha hua sikai sana namwanamke ama kama nitajaribu nanikafanikiwa kusex nae basi ndio maisha yetu yamahusiano hua yanaasilimia kubwa sana yakufikia ukingoni

Nb:-katika mahusiano yangu yote nilio wahi kukaa nayo huyo msichana tajwa hapo juu ndie alikua msichana niliekaa nae sana katika mahusiano na haukufika ama kuzidi mwaka mmoja wanyuma nilikaa nao kiasi ila sikudumu nao

Ila baada ya yeye hakuna mwanamke ama msichana nlietimiza nae miezi walau mitatu kama ikibidi sana mmoja ama mmoja nanusu mpaka miwili.....

Sent using My COVID-19
 
nimewahi ila nakumbana nachangamoto moja tukatika mahusiano yangu eidha hua sikai sana namwanamke ama kama nitajaribu nanikafanikiwa kusex nae basi ndio maisha yetu yamahusiano hua yanaasilimia kubwa sana yakufikia ukingoni

Nb:-katika mahusiano yangu yote nilio wahi kukaa nayo huyo msichana tajwa hapo juu ndie alikua msichana niliekaa nae sana katika mahusiano na haukufika ama kuzidi mwaka mmoja wanyuma nilikaa nao kiasi ila sikudumu nao

Ila baada ya yeye hakuna mwanamke ama msichana nlietimiza nae miezi walau mitatu kama ikibidi sana mmoja ama mmoja nanusu mpaka miwili.....

Sent using My COVID-19
Hawa viumbe ili uachane nao unahitaji kuwa na imani/nguvu kubwa kiasi ya kiroho. Nakumbuka nikiwa shule o-level miaka ya katikati mwa 2000, niliwahi kutokewa na kulala mara mbili na hao viumbe. Ila ile hali sikuipenda, nilisali sana na kwa kuwa nilikuwa shule za dini hizi/za kanisa zilinisaidia sana kukuza nguvu zangu za ndani.

Baadaye nilikuwa nagombana naye, tunakinzana kwa nguvu za ndani na anashindwa anaondoka. Anarudi tunapambana hivyo hivyo...matokeo hyo hali ikaisha kabisa. Ila inachosha sana, unaishiwa nguvu sana na maumivu ya kichwa ila utaibuka mshindi.

Ilinitokea tena mwaka 2017 lakini huyu nahisi alikuwa mwengine, na baada ya kumkataa alikasirika, akatoa mimeno akabadilika kama mamba lakini hakuweza, nilimshinda pia. Hiyo hali sijaiona tena.

Hivyo ndungu yangu Bwana Utamu, aidha sali sana, au tumia njia uliyotumia(mizizi) ili kujikomboa kifungoni. Fanya unachoamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
D
Nilishapandishwa mamba na fisi sana kule kwenye utajiri wa ndago Iringa,Sasa hv aaaaah nina mapene mob,baadae ili nisitoe kafara za kumaliza watu wangu wa karibu,nikapata uchawi mwingine balaa ila kila siku moja j2 nakufa kabisa na siku moja sifi ila naoza tu kudadadeki,wale funza ndio mifedha yenyewe,kesho kwenye mishe zangu utashangaa tu unatokea mchongo wa kupita milioni 500,balaa sana inabidi uwe bandidu,balaa zit

Ila mwanangu huyo alikuja kufa kifo cha hatari mnoooo

rip to ze fallen soja tindwago
Duuu ilikuwaje hebu fafanu kidogo
 
Hawa viumbe ili uachane nao unahitaji kuwa na imani/nguvu kubwa kiasi ya kiroho. Nakumbuka nikiwa shule o-level miaka ya katikati mwa 2000, niliwahi kutokewa na kulala mara mbili na hao viumbe. Ila ile hali sikuipenda, nilisali sana na kwa kuwa nilikuwa shule za dini hizi/za kanisa zilinisaidia sana kukuza nguvu zangu za ndani.

Baadaye nilikuwa nagombana naye, tunakinzana kwa nguvu za ndani na anashindwa anaondoka. Anarudi tunapambana hivyo hivyo...matokeo hyo hali ikaisha kabisa. Ila inachosha sana, unaishiwa nguvu sana na maumivu ya kichwa ila utaibuka mshindi.

Ilinitokea tena mwaka 2017 lakini huyu nahisi alikuwa mwengine, na baada ya kumkataa alikasirika, akatoa mimeno akabadilika kama mamba lakini hakuweza, nilimshinda pia. Hiyo hali sijaiona tena.

Hivyo ndungu yangu Bwana Utamu, aidha sali sana, au tumia njia uliyotumia(mizizi) ili kujikomboa kifungoni. Fanya unachoamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah pole sana MKUU ila ahsantepia kwaushauri ntalifanzia kazi.....

Sent using My COVID-19
 
nimewahi ila nakumbana nachangamoto moja tukatika mahusiano yangu eidha hua sikai sana namwanamke ama kama nitajaribu nanikafanikiwa kusex nae basi ndio maisha yetu yamahusiano hua yanaasilimia kubwa sana yakufikia ukingoni

Nb:-katika mahusiano yangu yote nilio wahi kukaa nayo huyo msichana tajwa hapo juu ndie alikua msichana niliekaa nae sana katika mahusiano na haukufika ama kuzidi mwaka mmoja wanyuma nilikaa nao kiasi ila sikudumu nao

Ila baada ya yeye hakuna mwanamke ama msichana nlietimiza nae miezi walau mitatu kama ikibidi sana mmoja ama mmoja nanusu mpaka miwili.....

Sent using My COVID-19
Usikute basi yeye ni matokeo ya wewe kutokaa na wanawake.. amekuja kukunyoosha!!
Vitu kwenye maisha haviwi coincidence tu
kuna mmoja wapo alikuelewaga ukamzingua akaona akushugulikie , au ni Retribution tu ya matendo yako.

maana unavyozungumza huyo binti anachofanya sio uchawi ni kama Immortal vile
 
Back
Top Bottom