Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kwamatendo yangu MKUU sidhanii asee kuna mada moja nili ilose pale juu ya UMUHIMU sana yule bibie kuna day moja katika zile nne alizonijilia Night alinitia stiki balaa aseeUsikute basi yeye ni matokeo ya wewe kutokaa na wanawake.. amekuja kukunyoosha!!
Vitu kwenye maisha haviwi coincidence tu
kuna mmoja wapo alikuelewaga ukamzingua akaona akushugulikie , au ni Retribution tu ya matendo yako.
maana unavyozungumza huyo binti anachofanya sio uchawi ni kama Immortal vile
Yaani fimbo kabisa [emoji16][emoji16] nacheka kama mazuri
Ila zile stiki zilikua miongoni yasababu yakumtafuta japo nlikuja onana nae bila kutarajia
Ila pia kinachonishangaza nikwamba aliwahi nambia anakaa maeneo flan kwenda muulizia maeneo yale hawamjui kabisaa nahayo maeneo mimi najulikana kwel kwel maana kulikua na washkaji tulikua tunapiga nao soka kitambo nahicho
Pia katika wale watu wapale aliwahi nitajia jamaa mmoja ambae alidai kuwa mwanaume wake kabla yakuwa namimi ila yule jamaa ananambia hakuwahi kuwa namwanamke wanamna hio nahamna mwanamke wabamna hio kwapale
Kuna mambo yananifiirisha sana juu yayule manzi kiukweli yaani mpaka najishangaa yule mwanadada hakua mtu wasocial media yeyote ile ila alikua namuonekano wamambo hayo baada yakuachana na mimi maana katika maisha yakawaida bina adamu tunaweza tusionane ila mpaka kule kweli kwa mitandao ?! Nahuku kwamitandao pia hakuniumizi kichwa sana kama nikifika pale mitaa alowahi nambia anakaa halafu naambiwa hakuna mwanamke wanamna yake hasa wajina lake alowahi kukaa pale nlioneshwa wanawake wanamna namajina yake wapale karibu robo nawajua maana maeneo yale najulikana na napajua vyema.....
Ila immortal how hem nieke wazi hapa.....
Sent using My COVID-19