Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Usikute basi yeye ni matokeo ya wewe kutokaa na wanawake.. amekuja kukunyoosha!!
Vitu kwenye maisha haviwi coincidence tu
kuna mmoja wapo alikuelewaga ukamzingua akaona akushugulikie , au ni Retribution tu ya matendo yako.
maana unavyozungumza huyo binti anachofanya sio uchawi ni kama Immortal vile
Kwamatendo yangu MKUU sidhanii asee kuna mada moja nili ilose pale juu ya UMUHIMU sana yule bibie kuna day moja katika zile nne alizonijilia Night alinitia stiki balaa asee

Yaani fimbo kabisa [emoji16][emoji16] nacheka kama mazuri

Ila zile stiki zilikua miongoni yasababu yakumtafuta japo nlikuja onana nae bila kutarajia

Ila pia kinachonishangaza nikwamba aliwahi nambia anakaa maeneo flan kwenda muulizia maeneo yale hawamjui kabisaa nahayo maeneo mimi najulikana kwel kwel maana kulikua na washkaji tulikua tunapiga nao soka kitambo nahicho

Pia katika wale watu wapale aliwahi nitajia jamaa mmoja ambae alidai kuwa mwanaume wake kabla yakuwa namimi ila yule jamaa ananambia hakuwahi kuwa namwanamke wanamna hio nahamna mwanamke wabamna hio kwapale

Kuna mambo yananifiirisha sana juu yayule manzi kiukweli yaani mpaka najishangaa yule mwanadada hakua mtu wasocial media yeyote ile ila alikua namuonekano wamambo hayo baada yakuachana na mimi maana katika maisha yakawaida bina adamu tunaweza tusionane ila mpaka kule kweli kwa mitandao ?! Nahuku kwamitandao pia hakuniumizi kichwa sana kama nikifika pale mitaa alowahi nambia anakaa halafu naambiwa hakuna mwanamke wanamna yake hasa wajina lake alowahi kukaa pale nlioneshwa wanawake wanamna namajina yake wapale karibu robo nawajua maana maeneo yale najulikana na napajua vyema.....


Ila immortal how hem nieke wazi hapa.....
Sent using My COVID-19
 
Ni kweli kuna wengine tunawajua kabisa. Ila ukiachana na binaadamu, haya maviumbe ya ajabu yapo sana. Sasa sijui ni uwepo wa misitu minene, miinuko, au haya mabwawa ya maji yaliyopo! Ni shida ila tunaishi nao hivyo hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu kumbuka kule wanakutana watu wengi wa tabia tofauti.mikoa yote tz .sometimes watu mmelala unaskia mtu anapiga kelele mamaaa nimeona wachawi walikua wanamyanyua huyu .wa jirani na alipo lala yeye
 
Asee hili jukwaa sikuwahi kutia neno ila kwakua nimekutana namada hii naomba nitie neno kidogo

mm nimtu ambae kwanza nilikua siamini kabisa ushirikina ama kuwepo kwa uchawi ila nilikuja kuamini kutokana na mfululizo wamatukio mengi sana niliowahi kukumbana nayo nikianza kuyajumlisha yautotoni sana toka nipo chekechea mpaka ukubwani

ila ntashare hii ya ukubwani maana ndio iliokua inanisisimua zaidi japokua mpaka sasa baadhi yamuda hua mauza uza yake yananitokea ila naona sasa kawaida tu ijapokua sio kawaida (stori ndefu kiasi ila nitaifupisha msiichoke)

UCHAWI KWAUPANDE WANGU UPO.

Ilikua kama miaka ya 2010s Hv mkoani dar nlikua namaskani yangu hv sehemu moja mkoani pale nakumbuka kuna siku alipita msichana jina ntalihifadhi alikua na dada ake aliomtambulisha kwetu hivi namimi nlikua na swahina wang tukawafata wale mabinti

mm nikakaa kwamdogo mtu na kwabahati mdogo mtu akatokea kunipenda sana sana sanaaa kiasi kwamba akawa ananilazimisha kwenda kwao sijui ilikua nakwamia wapi sikuwahi kukubali

yule binti alinipenda sana sana sana ila kunasiku tuko maeneo chochoroni mschana akanambia kwajinsi anavyonipenda kama itatokea nimemuacha ataniroga

kweli wakati niponae kunasiku naelekea nyumbani nilihisi kunakitu nyuma kina nifuata ila sikugeuka kukitazama na moja kwamoja nilimuhisi yule mwanamke ila nilipo karibia nyumban nikageuka ila sikumuona ila nilihisi kajificha sehemu wakati mimi nageuka nyuma

haikupita mda sana yule mschana tuka achana ikapita miaka mingi tukawa hatuna stori nawala kuonana haikua sana nakumbuka kwawakati ule nilikutana nae mara mbili ama tatu tu

Nafupisha Yule msichana kunasiku nililala nikamuona yeye nayule dada ake namtu niliemuhisi atakua mama ake wamekuja nlipokua nalala saa nane za usiku walikuja kichawi wakanilisha kitu(kuna siku nilikua sehemu ambayo mtu hawez kutuona ila akanambia mama ake kapita na kaniona sikushangaa sana ila nilishangaa kiasi)


Baada yapale kulishwa kitu niliumwa sana kwausiku ule maana kweli nilihisi kitu nakimeza nakilikua kinaniuma pia wakati wanakuja kunilisha usiku nilikua nawaona (yaani Mungu alinipa uwezo wakuwaona toka wanatoka mbali mpaka kufika nilipo ila nlikua sina uwezo wakuwafanya kitu mpaka walipo nilisha kitu)

Baada yakulishwa kitu nakupata maumivu mpaka kesho yake kwamarayakwanza nikaenda kwa mganga asubuhi yake nanilipata tiba tatizo likaondoka ila likawa linarudi rudi kidogo kitu kile nlichomezeshwa maana kilikua kinanitembea tumboni(pia nlipolishwa kile kitu nilipoteza uwezo wakusimamisha nguvu za kiume kwamda ila zimerejea[emoji3][emoji16][emoji5][emoji4])


Ikapita kama mwaka ama miaka miwili ikawa nime amua kuhama kwetu kuanza kukaa binafsi sasa kuna siku naingia nyumba nlipokua nakaa baada yakuamua kuhama kwetu yule mwanamke sku hio naingia ndani mlango mkubwa wanyumba nlipo panga kwanje nikamuona kaka ila sikuelewa kafikaje skumuuliza kitu nikaingia ndani

baada ya sku ile akawa ananijia usingizini nikawa napenzika nae ndani ya usingizi ila chaajabu ikawa nikiamka yule mdada yupo na amenikumbatia kwel kwel hali yakunikimbatia inatokea kama dakika tatu halafu anasepa yule binti(tukio hili lilinitokea zaidi yamara tatu ama nne mfululizo)

Nikarejelea kwayule mzee wangu akanambia mwanamke yule pengine sio mtu ila sikujali sana nlilojali asinijie tena kunisumbua ili niishi kwa amani

kna siku nikawa nimekaa nikamuwaza yule mwanadada akapita tu ghafla nikaonana nae na nilikua sijui anakaa wapi maana tulishapotezana miaka mingi kiasi nikamwambia kama nna shida nae

Kweli tukabadilishana namba yasimu tukaonana nikamuelezea matatizo nnayokumbana nayo akanambia yakwamba yeye kama akitokea kumpenda Mwanaume kama alivyonipenda mimi halafu mwanaume akaenda kinyume nae ama akamfanzia kama nlivyomfanzia mimi basi lazma atapata tabu kama nlokua naipata mie ila akanihakikishia kama ntakua poa (kuna siku alinifata usiku nakunipiga mpaka nikawa naviashiria vyamtu anaetaka kupata stroke akanambia nahili tatizo pia lita ondoka) nikweli tatizo liliondoka

Ila bado hua ananijia baadhi ya mda usiku namuona tu kikawaida ila hatufanyi kitu mwisho juzi nilionana nae ila usiku(sikuwa usingizini alinitokea tu mara moja)


Mwisho:-Katika kufanya uchunguzi kwayule msichana kwa alipo nambia anakaa awali nimefanya kila jambo lakujitosheleza nimfahamu nimjue alikua anakaa wapi kwakila nnaeuliza maeneo yale alipokua anakaa yule mwanamke msichana wanasema hawamjui nahakuwahi kukaa ama kuishi mwanamke wakariba yake maeneo yale



UCHAWI AMA MAUZA UZA YAPO ILA UKITAKA UYAAAMINI MPAKA YAKUKUMBE AMA UKIMBANE NAYO KWAUPANDE WANGU YAPO KWA 100%

Sent using My COVID-19
Kiongoz naomba uni-PM namb za uyo binti🙏🙏
 
nimewahi ila nakumbana nachangamoto moja tukatika mahusiano yangu eidha hua sikai sana namwanamke ama kama nitajaribu nanikafanikiwa kusex nae basi ndio maisha yetu yamahusiano hua yanaasilimia kubwa sana yakufikia ukingoni

Nb:-katika mahusiano yangu yote nilio wahi kukaa nayo huyo msichana tajwa hapo juu ndie alikua msichana niliekaa nae sana katika mahusiano na haukufika ama kuzidi mwaka mmoja wanyuma nilikaa nao kiasi ila sikudumu nao

Ila baada ya yeye hakuna mwanamke ama msichana nlietimiza nae miezi walau mitatu kama ikibidi sana mmoja ama mmoja nanusu mpaka miwili.....

Sent using My COVID-19
Huyo mwanamke si mtu..na ukiendelea kumchekea..atakufanya...m.s..nge...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2012 nilienda wilaya ya rungwe kukusanya data, sasa katika harakati za kuzunguka nikafika kijiji fulani kinaitwa malalika sijui kama nimeandika sahihi, kipo 15km kutoka kiwila na 7km kutoka hospitali ya igogwe, nyumba niliyofikia ilijengwa mlimani hivi katikati ya shamba la chai, ilikua na vyumba viwili vya kulala nikapewa chumba kimoja kingine alilala mhudumu wa lile shamba, nyumba ilijengwa kwa tofali za tope ila ndani wamebandika magazeti chumba kizima ndio plasta na juu wameweka shuka ndio ceiling board, usiku nilipokua nimelala nilianza kusikia kishindo kikubwa juu ya bati kama mtu anatembea kutoka upande mmoja wa nyumba kwenda mwingine, mwanzoni nilihisi kama ndoto ila niliposhtuka usingizini niloendelea kusikia kama mtu anatembea juu ya bati, ile hali iliendelea kwa muda mrefu, niliinua kichwa kuchungulia dilishani nje sikuona kitu palikua na ukungu mkali ikabidi nirudi kujifubika branket langu huku moyo ukienda mbio sana nikajua leo kazi ninayo, baada ya muda ile sauti iliacha ghafla kikaja kitu kama kimbunga mle chumbani upepo mkali ukabandua yale magazeti yote ukutani mavumbi ya tofali yakawa yananiangukia kitandi mimi nimejifunika hadi kichwa nimekaza miguu shuka lisitoke, ule upepo ulipoisha nikaita alexxxx kwa sauti kubwa ambaye ni yule mwenyej wangu aliyelala chumba kingine alipoitika sikujua nimefikaje chumbani kwake, maana niliruka kitandani nikapiga teke kile kimlango cha chumbani nikavamia na mlango wake hadi chumbani kwake, nikamuuliza kama amesikia ivo vitu licha ya kuwa na baridi ila jasho lilikua linanitoka, jamaa alichonijibu ni tulia acha papara. Nikawa nimekaa kwenye kistuli pembeni ya kitanda chake huku tumewasha kibatali, jamaa akaniambia pametulia rudi ukalale nikakataa nikamwambia silali nakaa hapa hapa wewe lala, nilikaa pale hadi alfajiri nilipoona nje pameanza kupambazuka nikaenda mle chumbani palikua hovyo sana vumbi kila mahali nikachukua kibegi changu nikamwambia yule jamaa mimi nasepa badae njoo kiwira tuongee, nikatoka nikadandia magari yanayobeba ndizi na maparachichi kwenda mnandani, saa nne yule jamaa akikuja kiwira nikampa elfu ishirini nikamwambia ikitokea siku mabosi wangu wakija kijijini kuuliza kama nilifika awambie kuwa nilikuja na nikafanya kazi ila kiukweli nilikimbia huwa sisahau lilie tukio, kuna lingine nililiona wilaya ya mbogwe mkoa wa simiyu, ni vijijini huko ndani kabisa hata barabara hakuna mnapaki gari mnatembea 4km huko tulizinguana na mwenyekiti wa kijiji akatutumia kundi la fisi tukakimbilia kwenye nyumba ya mwanakijiji tukapiga simu kwa mtendaji akaja kutuokoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kijiji hicho kinaitwa MALIKA ...nilisahawahi fika huko mwaka 2005

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishapandishwa mamba na fisi sana kule kwenye utajiri wa ndago Iringa,Sasa hv aaaaah nina mapene mob,baadae ili nisitoe kafara za kumaliza watu wangu wa karibu,nikapata uchawi mwingine balaa ila kila siku moja j2 nakufa kabisa na siku moja sifi ila naoza tu kudadadeki,wale funza ndio mifedha yenyewe,kesho kwenye mishe zangu utashangaa tu unatokea mchongo wa kupita milioni 500,balaa sana inabidi uwe bandidu,balaa zit

Ila mwanangu huyo alikuja kufa kifo cha hatari mnoooo

rip to ze fallen soja tindwago
Naomba location mkuu kwa babu uko
 
Asee hili jukwaa sikuwahi kutia neno ila kwakua nimekutana namada hii naomba nitie neno kidogo

mm nimtu ambae kwanza nilikua siamini kabisa ushirikina ama kuwepo kwa uchawi ila nilikuja kuamini kutokana na mfululizo wamatukio mengi sana niliowahi kukumbana nayo nikianza kuyajumlisha yautotoni sana toka nipo chekechea mpaka ukubwani

ila ntashare hii ya ukubwani maana ndio iliokua inanisisimua zaidi japokua mpaka sasa baadhi yamuda hua mauza uza yake yananitokea ila naona sasa kawaida tu ijapokua sio kawaida (stori ndefu kiasi ila nitaifupisha msiichoke)

UCHAWI KWAUPANDE WANGU UPO.

Ilikua kama miaka ya 2010s Hv mkoani dar nlikua namaskani yangu hv sehemu moja mkoani pale nakumbuka kuna siku alipita msichana jina ntalihifadhi alikua na dada ake aliomtambulisha kwetu hivi namimi nlikua na swahina wang tukawafata wale mabinti

mm nikakaa kwamdogo mtu na kwabahati mdogo mtu akatokea kunipenda sana sana sanaaa kiasi kwamba akawa ananilazimisha kwenda kwao sijui ilikua nakwamia wapi sikuwahi kukubali

yule binti alinipenda sana sana sana ila kunasiku tuko maeneo chochoroni mschana akanambia kwajinsi anavyonipenda kama itatokea nimemuacha ataniroga

kweli wakati niponae kunasiku naelekea nyumbani nilihisi kunakitu nyuma kina nifuata ila sikugeuka kukitazama na moja kwamoja nilimuhisi yule mwanamke ila nilipo karibia nyumban nikageuka ila sikumuona ila nilihisi kajificha sehemu wakati mimi nageuka nyuma

haikupita mda sana yule mschana tuka achana ikapita miaka mingi tukawa hatuna stori nawala kuonana haikua sana nakumbuka kwawakati ule nilikutana nae mara mbili ama tatu tu

Nafupisha Yule msichana kunasiku nililala nikamuona yeye nayule dada ake namtu niliemuhisi atakua mama ake wamekuja nlipokua nalala saa nane za usiku walikuja kichawi wakanilisha kitu(kuna siku nilikua sehemu ambayo mtu hawez kutuona ila akanambia mama ake kapita na kaniona sikushangaa sana ila nilishangaa kiasi)


Baada yapale kulishwa kitu niliumwa sana kwausiku ule maana kweli nilihisi kitu nakimeza nakilikua kinaniuma pia wakati wanakuja kunilisha usiku nilikua nawaona (yaani Mungu alinipa uwezo wakuwaona toka wanatoka mbali mpaka kufika nilipo ila nlikua sina uwezo wakuwafanya kitu mpaka walipo nilisha kitu)

Baada yakulishwa kitu nakupata maumivu mpaka kesho yake kwamarayakwanza nikaenda kwa mganga asubuhi yake nanilipata tiba tatizo likaondoka ila likawa linarudi rudi kidogo kitu kile nlichomezeshwa maana kilikua kinanitembea tumboni(pia nlipolishwa kile kitu nilipoteza uwezo wakusimamisha nguvu za kiume kwamda ila zimerejea[emoji3][emoji16][emoji5][emoji4])


Ikapita kama mwaka ama miaka miwili ikawa nime amua kuhama kwetu kuanza kukaa binafsi sasa kuna siku naingia nyumba nlipokua nakaa baada yakuamua kuhama kwetu yule mwanamke sku hio naingia ndani mlango mkubwa wanyumba nlipo panga kwanje nikamuona kaka ila sikuelewa kafikaje skumuuliza kitu nikaingia ndani

baada ya sku ile akawa ananijia usingizini nikawa napenzika nae ndani ya usingizi ila chaajabu ikawa nikiamka yule mdada yupo na amenikumbatia kwel kwel hali yakunikimbatia inatokea kama dakika tatu halafu anasepa yule binti(tukio hili lilinitokea zaidi yamara tatu ama nne mfululizo)

Nikarejelea kwayule mzee wangu akanambia mwanamke yule pengine sio mtu ila sikujali sana nlilojali asinijie tena kunisumbua ili niishi kwa amani

kna siku nikawa nimekaa nikamuwaza yule mwanadada akapita tu ghafla nikaonana nae na nilikua sijui anakaa wapi maana tulishapotezana miaka mingi kiasi nikamwambia kama nna shida nae

Kweli tukabadilishana namba yasimu tukaonana nikamuelezea matatizo nnayokumbana nayo akanambia yakwamba yeye kama akitokea kumpenda Mwanaume kama alivyonipenda mimi halafu mwanaume akaenda kinyume nae ama akamfanzia kama nlivyomfanzia mimi basi lazma atapata tabu kama nlokua naipata mie ila akanihakikishia kama ntakua poa (kuna siku alinifata usiku nakunipiga mpaka nikawa naviashiria vyamtu anaetaka kupata stroke akanambia nahili tatizo pia lita ondoka) nikweli tatizo liliondoka

Ila bado hua ananijia baadhi ya mda usiku namuona tu kikawaida ila hatufanyi kitu mwisho juzi nilionana nae ila usiku(sikuwa usingizini alinitokea tu mara moja)


Mwisho:-Katika kufanya uchunguzi kwayule msichana kwa alipo nambia anakaa awali nimefanya kila jambo lakujitosheleza nimfahamu nimjue alikua anakaa wapi kwakila nnaeuliza maeneo yale alipokua anakaa yule mwanamke msichana wanasema hawamjui nahakuwahi kukaa ama kuishi mwanamke wakariba yake maeneo yale



UCHAWI AMA MAUZA UZA YAPO ILA UKITAKA UYAAAMINI MPAKA YAKUKUMBE AMA UKIMBANE NAYO KWAUPANDE WANGU YAPO KWA 100%

Sent using My COVID-19
Jini



"Not everything is for everybody"
 
dah nlishaipoteza mda sana mzee ila kama ningelikua nayo wala nisingekufanyia khiyana kijana wangu.....

Sent using My COVID-19
Daaa nacheka kama mazuri![emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu tunajitahidi tuyakimbie haya maviumbe, wengine wanata ukaribu nao.
TANBIHI: Hawa viumbe sio wazuri, hata wakutendee wema kiasi gani, ukipishana nao watakutesa tu. Sio viumbe wa kuomba/kuhitaji kuwa nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu kumbuka kule wanakutana watu wengi wa tabia tofauti.mikoa yote tz .sometimes watu mmelala unaskia mtu anapiga kelele mamaaa nimeona wachawi walikua wanamyanyua huyu .wa jirani na alipo lala yeye
Ni kweli kabisa mkuu. Nakuelewa, kuna vitu nakumbuka najikuta nacheka kama mazuri. Ila kwa kuwa ni mapito, twashukuru tupo salama mpaka leo. Nimekupata sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaa nacheka kama mazuri![emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu tunajitahidi tuyakimbie haya maviumbe, wengine wanata ukaribu nao.
TANBIHI: Hawa viumbe sio wazuri, hata wakutendee wema kiasi gani, ukipishana nao watakutesa tu. Sio viumbe wa kuomba/kuhitaji kuwa nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumdhibiti najua ndo maana nilikuwa namhitaji kuna kitu nilitaka nijue kupitia yeye kisha namfarakanisha na Mimi na asingerudi tena!!
 
Back
Top Bottom