Njoo ufunguke kitu kinachokupa wakati mgumu

Njoo ufunguke kitu kinachokupa wakati mgumu

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Habari za mchana marafiki zangu wa Faida njoo UFUNGUKE Ka Kero kanakokupa WAKATI MGUMU katika harakati zako za kila siku

Mimi kwakweli Nina KINYAA SANA mwepesi mno kutapika sasa kitu kinachonipa WAKATI MGUMU nikawa harakati njaa ikauma nikaona nitafute genge au mgahawa nikikuta wahudumu na mazingira machafu kwakweli siwezi kula Bora nishinde njaa wewe je?
 
Habari za mchana marafiki zangu wa Faida njoo UFUNGUKE Ka Kero kanakokupa WAKATI MGUMU katika harakati zako za kila siku.

Mimi kwakweli nina KINYAA SANA mwepesi mno kutapika sasa kitu kinachonipa WAKATI MGUMU nikawa harakati njaa ikauma nikaona nitafute genge au mgahawa nikikuta wahudumu na mazingira machafu kwakweli siwezi kula bora nishinde njaa wewe je?
 
1. Kutoa michango ya harusi ni kitu kinaniwazisha sana, maana siamini kwamba harusi ni tukio la ghafla na mtu anaweza akajipanga kwa namna anavyo tamani harusi yake iwe kama nilivyo jioanga mimi.

2. Kuacha pombe inanipa wakati mgumu sana, maana kuna time najikuta napata kakiu kabisa alafu inanilazimu nikachambekoo kwakweli..😋
 
Habari za mchana marafiki zangu wa Faida njoo UFUNGUKE Ka Kero kanakokupa WAKATI MGUMU katika harakati zako za kila siku

Mimi kwakweli Nina KINYAA SANA mwepesi mno kutapika sasa kitu kinachonipa WAKATI MGUMU nikawa harakati njaa ikauma nikaona nitafute genge au mgahawa nikikuta wahudumu na mazingira machafu kwakweli siwezi kula Bora nishinde njaa wewe je?
CCM NCHI HII NDIO TATIZO KWANGU
 
1. Kutoa michango ya harusi ni kitu kinaniwazisha sana, maana siamini kwamba harusi ni tukio la ghafla na mtu anaweza akajipanga kwa namna anavyo tamani harusi yake iwe kama nilivyo jioanga mimi.

2. Kuacha pombe inanipa wakati mgumu sana, maana kuna time najikuta napata kakiu kabisa alafu inanilazimu nikachambekoo kwakweli..😋
Kuacha pombe NI ngumu mno
 
Kumfanyia kazi mtu kama ambavyo ungefanya kazi yako (na pengine kwake unafanya zaidi) halafu mwisho wa siku azingue kwenye malipo au hata kukupa barua ya kwenda kuchukua mafao yako NSSF punde baada ya kutokuwa na uhitaji na huduma yako, inakatisha tamaa sana.
 
Amani ya ndani.
Amani ya nafsi.
Screenshot_20240605-134347_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom