Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmh hiii haumaanishiBinafs nakerwa na tabia ya mtu kujifanya kukosea njia pindi aendeshapo gari.
Simaanishi nini fundi?Mmmmh hiii haumaanishi
Utakoswa kupanda daraja sijui salary mkuu,,Nina misala kwa HR PEPMIS inasoma 0
Leo kaniita ghafla nimevaa raba na jeans.
Case ikaja kwann nimevaa t-shirt raba jeans j5
Hafu mbona kazini uwa sionekani (hanioni)
Kaitwa IT alete log ya attendance (finger print)
Chuma inasoma 20%
Me ata sielewi
Black en whiteLiterally ?
Nimeiscreen shot kabisa hii comment thank u bro...Ukishindwa wasiliana na Network provider wako ili wampige block kwa njia ya Netwok level blocking option.
- Angalia Blocking limitation kwenye simu yako,simu zingine zinakua na limit,huenda ikawa full,
- Nenda kwenye setting kuna addition blocking option
- Kama unatumia Iphone inaweza kua anakutumia msg kupitia i massages,unatakiwa udisable kwenye hiyo contact,
Ukiona hivyo ujue kwingine kote no access...😀 Mblock in real life sio kwenye devices
Mtu kukosea njia anapooendesha gari.. wewe unakua upo humo humo kwenye gari sio ,?Simaanishi nini fundi?
Hapana huwa situmiagi malaya, hapo nimemaanisha hali ya kutoa bila kujali jinsia.Alafu ukute hizo pesa ana kula Malaya wa Uswazi tuu
ha;afu pombe inashusha sana heshima. ila kuacha ngumy sanaKuacha pombe NI ngumu mno