Njoo uifahamu Taxi Mtandao BOLT/UBER

Unaweza...wanachotaka ni leseni hai tu
 
Kama leseni ya veta haina madaraja ina maana unaeza endesha chombo chochote sio
Hapana VETA hawatoi Leseni, wanatoa cheti tu, wanaotoa Leseni ni TRA (MAMLAKA YA MAPATO)
Na hiyo leseni lazima ioneshe daraja na gari unazopaswa kuendesha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…