Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui kwakweli...Prince Mhando kwa mmiliki wa gari/tax aliyeigeuza kuwa uber huwa wanademand sh ngapi kwa siku kutoka kwa dereva
ndio...!Hivi Bolt na Uber wanapatikana Kwa visiwa vya Zanzibar?(unguja na pemba)
shukrani sanaUmechambua vzr sabay
sorry nilichelewa kuiona text yako... ulipata msaada...?Habari, Mr kwema? nimevutiwa na haya madini na hii kitu nilikuwa nayo sana kwa ajili ya kuifanya naomba nisaidie No yako Kama hutojali Mr
zipo mikocheni industrial areal... mtaa unaitwa MAJI MAJI... ukifika mitaa hiyo ukiuliza wanakupeleka hadi mlangoni...!Ofisi za bolt zipo wapiii kwa hapa dar
unatakiwa uwe na smart phone kisha una download mtandao wao wa BOLT DRIVER... maelekezo yote utayakuta humoNaanzaje kujiunga
naomba kuuliza kujiunga lazma uend ofisini kwao au unaweza maliza mtandaoni? pia umesema unaweza tumia plate no ya njano utapata vipi kibali cha latra ambachontax mtandao watahitaji? mwisho kwa mkoani naweza ifanya? hukusu wateja mm nitawapata wengi tu
mikocheni AOfisi za bolt zipo wapiii kwa hapa dar
[emoji3581]wateja hutafuti mwenyewe yenyewe ndio inakuletea wateja...! unayakiwa uwe na smart phone yenye data tu...! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]