Mkuu kwani bei unataja wewe au wanakupangia watu wa Uber?Inafaa ndio unachotakiwa kufanya ni kujisajili Kisha unawafundisha watu wa huko wajiunge...mkiwa wengi mambo yanafunguka huko huko mkoani....ila bei za hii mitandao ni za chini kama umezoea kutaja bei kubwa huu mtandao utauchukia 🙆