Njoo ujifunze kitu kuhusu Sayari ya Jutiter (Jupita)

Njoo ujifunze kitu kuhusu Sayari ya Jutiter (Jupita)

sina muda wa kubishana na ww umeandika from duniani to jupita afu unakana ?? jifunze kwanza unaonekana unataka kufahamu vitu vingi na umebase huko ila bado hujajua jifunze ufaham each and everything ndo uanzishe uzi .....ndo mana uzi wako wa uliposema wakuulize maswali yoyote kuhusu haya mambo haujapata hata comment moja cz no one to ask yu those qn yu are stil young nadhan MMU kwa sasa ndo panakufaa
Ebu pitia sehemu ya mwisho nmeandika unaweza changia au kuongezea lolote ....wap umeona mim nataka kuulizwa maswali ata mim napenda kujifunza km wew that's why umekuja ktk Uzi huu ....sisomei astronomy wala sisomi jog ... Pia huwa tunapata taarifa kutoka vyanzo mbalimbali hasa website ya NASA nk ....km unaona kuna sehemu wrong leta evidences, una views gani kuhusu kilicho andikwa ..sio unakuja kupinga 2 ata mim nitakuona chizi pia mtu ambaye hujui lolote ............je wewe ambaye umesoma solar system na unajua mambo mengi una maoni gani kuhusu Juno hasa kuhusu mwendo wake unaweza kuelezea vizur ...ata mim napenda kupata kitu kutoka kwako ..
 
Video hii inasisimua sana, ni ugunduzi zaidi wa wanasayansi wa NASA juu hii ya hii sayari iliyoundwa kwa gasi % kubwa - Jupiter

May 17, 2018





Hiyo unayoiona hapo ni Juno Solar-Powered Spacecraft iliyokuwa imewekwa na wanasayansi hawa kuizunguka Jupiter na kuifanyia uchunguzi tangu July 4, 2016; haya ndiyo majibu yake yakitolewa na Dr. Steve Levin

Hawa ndiyo wanatakiwa kuitwa Ma -DR wa Physics; Kitengo cha Physics UDSM mpo???
 
Back
Top Bottom