Njoo ujifunze kitu kuhusu Sayari ya Jutiter (Jupita)

Njoo ujifunze kitu kuhusu Sayari ya Jutiter (Jupita)

Kingine umesahau kuhusu Jupiter huwa kunanyesha mvua ya almasi...
Mkuu Acha kupotosha tunataka tujifunze ukweli siyo siasa na dini ndio maana hii intelligence uongo nenda kwe siasa za Mturia wa kinondoni
 
Mvua ya dhahabu Saturn na Jupiter
cc33aba7d3d31136db99e46941917b8f.jpg
 
Safi sana mkubwa we inaonekana pake geografia ulikaa miaka mingi sana au hukupapenda ? Ndo ukahamia sayansi?
 
Ni kwa vyombo ambavyo vinaenda ktk sayari huwa havirudi kwa sababu umbali vilivyo tumia kwenda mfano chombo labda kimetumia miaka 10 kwenda nakulud kitatumia mda gani?..... 2.. Je hicho chombo kikiludi kitakuwa na kazi gani apa duniani ?...... 3..kikimaliza mission yake ndo unakuwa mwisho wa hicho chombo ko huwa wana vialibu huko huko may be kwa kuvitupia ktk hizo sayari hasa za gases mfn surtun ,Jupiter.. that's why huwa hizi mission huandaliwa bajeti kabsa ....hizo ni baadhi ya sababu zingine wataongezea....note: ni kwa vyombo vinavyo enda ktk sayari zingine ndo huwa haviludi......
 
  • Thanks
Reactions: bkk
Duu nimepata somo hapa, ahsante mkuu
 
yan taarifa za hivi huwaga zina utata umesema chombo kilitumia miaka saba kwenda jupita ?? unajua umbal wa kutoka dunian tu jupiter maana kama ilikuwa inaenda km laki 2.5 kwa saa maana yake kwa siku ilikuwa inaenda km milion 6 kwa mwaka ni km 2,190,000,000 ...kwa miaka saba zidisha kwa saba hapo ni
 
uache uongo mr ....distance from earth to jupiter ni km 588milion tu kama hcho chombo kilikuwa kinaenda km lak 2.5 kwa saa basi kwa mwaka ni km bilion mbil this mean that kwwnda jupita ingetumia less than 4 month
 
uache uongo mr ....distance from earth to jupiter ni km 588milion tu kama hcho chombo kilikuwa kinaenda km lak 2.5 kwa saa basi kwa mwaka ni km bilion mbil this mean that kwwnda jupita ingetumia less than 4 month
Acha ushamba ww nan kakwambia kutoka dunian hadi Jupiter ni km 500's million ....mim nimeandika kutoka jua hadi Jupiter.....pia umbali kutoka Jupiter hadi dunia sio constant una badilika....usisome kwa mihemko...
 
yan taarifa za hivi huwaga zina utata umesema chombo kilitumia miaka saba kwenda jupita ?? unajua umbal wa kutoka dunian tu jupiter maana kama ilikuwa inaenda km laki 2.5 kwa saa maana yake kwa siku ilikuwa inaenda km milion 6 kwa mwaka ni km 2,190,000,000 ...kwa miaka saba zidisha kwa saba hapo ni
Bado haujaeleweka .........
 
rotten cunt
Juno iliondoka mwez August 2011 kutoka Florida USA na kuelekea Jupiter ...2016 Juno ilikuwa imekalibia mzingo wa Jupiter ... April 2017 Juno ilisha anza kuu kalbia mwez wa Callisto ...Juno ndicho chombo chenye speed kuliko chombo chochote kilicho tengenezwa na mwanadamu kikienda km laki 2.5 kwa saa
c26a978c927cbb3f63a65b20a268ed5a.jpg
 
sina muda wa kubishana na ww umeandika from duniani to jupita afu unakana ?? jifunze kwanza unaonekana unataka kufahamu vitu vingi na umebase huko ila bado hujajua jifunze ufaham each and everything ndo uanzishe uzi .....ndo mana uzi wako wa uliposema wakuulize maswali yoyote kuhusu haya mambo haujapata hata comment moja cz no one to ask yu those qn yu are stil young nadhan MMU kwa sasa ndo panakufaa
 
Back
Top Bottom