stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,990
- 4,241
Hivi saturn huwa inaonekana kwa naked eyes?Pmj mkuu hamna shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi saturn huwa inaonekana kwa naked eyes?Pmj mkuu hamna shida
Ila zile rings zake kuziona ni mpaka utumie telescope sio?Yaa huwa inaonekana
Achs kuongea ujinga unafikiri iyo formula inawez kuaply apa shirikisha ubongo usikariri mleta mada mwenyewe kakwmbia hajuiKatikati Jupiter imeumdwa kwa core...( hard material) ila kwa nje ime be covered na gases
Sor hiii sms siyo yko kun mdau mmoja ndo ulikuwa ujumbe wake sema nimekosea kuquote nka kuquote wewe am sorAchs kuongea ujinga unafikiri iyo formula inawez kuaply apa shirikisha ubongo usikariri mleta mada mwenyewe kakwmbia hajui
Naomba unipe process zilizotumika mpaka uzito ukapatikana kupitia iyo formula yako vitu vingine waafrika tushirikishe bongo yetu
Mkuu nikupongeze kwa elimu unayotoa. Huu ni mfano wa kuigwa kwa wengine kushirikisha wanachokifahamu kwa maslahi ya wengine na taifa kwa ujumla wake. Bravo!Zile kuzion mpaka telescope ...ata miez yake inaweza onekana mpaka telescope
Source ya energy ni jua na chombo kimeundwa kukabiliana na misukosukohuu ni uongo sasa chombo kitembee miaka saba tena kwa speed sorce ya energy inatoka wapi ,humo niani hakuna vikwazo
Wazungu ni watu wazuri sana kuandika great stories za kusadikika....ukiwa mtu wa kujiuliza maswali...utaona mwingi ni uongo mkavu tuuShukran kwa darasa ila mkuu huo uzito wa jupiter waliupimaj, na hiyo JUNO ilikua pekeyake au ndani mlikua na watu? Miaka 7 kinasafirije bila kuishiwa fuel? Naomba elimu zaidi mkuu
Inakalogic umbali ni 778 milion miles gawa kwa miaka saba*365*24=61320 hivyo 778 mil/61320 hrs =12680 yaaani kuna chombo kinaweza kukimbia mile 12,680 kwa saa kikigongana hata na sindano kwa kasi hiyo kitalipokaSource ya energy ni jua na chombo kimeundwa kukabiliana na misukosuko
Ndio hivi vyombo vimetengenezwa ni kama kombora ndio maana hutoka kama mlipuko na huwa kuna mlipuko wa kuchochea nguvu isipungue kila mara.Inakalogic umbali ni 778 milion miles gawa kwa miaka saba*365*24=61320 hivyo 778 mil/61320 hrs =12680 yaaani kuna chombo kinaweza kukimbia mile 12,680 kwa saa kikigongana hata na sindano kwa kasi hiyo kitalipoka
CONSTANT NA KWA MIAKA SABA HAIWEZEKANINdio hivi vyombo vimetengenezwa ni kama kombora ndio maana hutoka kama mlipuko na huwa kuna mlipuko wa kuchochea nguvu isipungue kila mara.
Kombora la Korea miscell66 lina kwenda mail 203.6 kwa dakika1 je kama chombo kingetumia speed hii kitasafiri mail 12216 kwa saa Lakini haiwezekani katika chombo hicho kuwemo na kiumbe hai.
Kwa speed hii kiumbe hai kitakufa kwa sekunde 2
ii image umeitoa sehemu gan mkuu
Mkuu inawezekana mbona ni rahisi ni mfumoCONSTANT NA KWA MIAKA SABA HAIWEZEKANI
mwaka 2016 kilikuwa kimefika katika sayari ya Jupiter lakin ilipo fika mwez wa 4 .2017 kilikuwa kimeifikia sayari ya Jupiter hasa ktk mwezi unaoitwa kalisto. ....ko unaweza ona ata kama akijafika kabsa wanaidai kimefika bcoz kilikuwa kimeikalibia hiyo sayariCONSTANT NA KWA MIAKA SABA HAIWEZEKANI
Na betri za nuclear piaSource ya energy ni jua na chombo kimeundwa kukabiliana na misukosuko