le madame
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 476
- 264
OK Ahsante, na ndivyo nilivyofanyaSiku za mwanzo lazma uhis hivo,asali vijiko vitatu ,mdalasini kijiko kimoja,usizidishe wala usipunguze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK Ahsante, na ndivyo nilivyofanyaSiku za mwanzo lazma uhis hivo,asali vijiko vitatu ,mdalasini kijiko kimoja,usizidishe wala usipunguze
WlcomeOK Ahsante, na ndivyo nilivyofanya
Vp umezunguka jukwaani ukaandika,ungeenda jukwaa la mahusiano pale alaf waarab wote watakuja pale mkuuMi namtafuta mchumba wa kiarabu nioe
Hahaa, kwani wewe umeolewa?Vp umezunguka jukwaani ukaandika,ungeenda jukwaa la mahusiano pale alaf waarab wote watakuja pale mkuu
Hhmm!!kwanza nenda katangaze ktk lile jukwaa alaf tutakusanyika tutakuja kukupa company kule au unaonaje mkuuHahaa, kwani wewe umeolewa?
Ndo naanza mdogo mdogo, nikikosa kabisa ndo nitaanza matangazoHhmm!!kwanza nenda katangaze ktk lile jukwaa alaf tutakusanyika tutakuja kukupa company kule au unaonaje mkuu
Hahaha unapita vichochoron kama nakuona vileNdo naanza mdogo mdogo, nikikosa kabisa ndo nitaanza matangazo
Full kusimamisha, kusalimia kwa ukarimu. Ila wanaringa sanaHahaha unapita vichochoron kama nakuona vile
Wakiringa jikaze,unafikir wote waliowapata walipata kirahisrahis...ukitoswa move on,mwisho utapata tu,kuliko kummezea mateFull kusimamisha, kusalimia kwa ukarimu. Ila wanaringa sana
Nimeweka limit, siwezi bembeleza zaidi ya limit yangu au sitatafuta zaidi ya mda nilojiwekeaWakiringa jikaze,unafikir wote waliowapata walipata kirahisrahis...ukitoswa move on,mwisho utapata tu,kuliko kummezea mate
WelcomeAaante kwa ujuzi
Hahaha mwanaume aliekua hajui kubembeleza kamwe hapati msichana sahihiNimeweka limit, siwezi bembeleza zaidi ya limit yangu au sitatafuta zaidi ya mda nilojiwekea
Ila isizidi kipimo changu, eti mtu ubembeleze miaka miwili!Hahaha mwanaume aliekua hajui kubembeleza kamwe hapati msichana sahihi
Kila mwanamke ataka bembelezwa
SawaIla isizidi kipimo changu, eti mtu ubembeleze miaka miwili!
Afu mara nyingi mwenza sahihi hutumii nguvu nyingi kumpata, mara chache tu mtu alosumbua sana huja kuwa na upendo wa dhati.
Inafaa lkn sidhan kama itaondoa mapele yale baada ya kunyoa ndevu,Arabic Queen huo mchanganyiko wa asali, mdalasini na ukwaju unafaa hata kwa mwanaume mwenye sura ngumu angalau kuwa na kijimvuto? au wenywe mapele ya ndevu?