Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Wewe nae unanikeraga kila demu mkali JF unataka awe wako.
We nae huna hata week mbili tangu ujoin JF unajua in&out za humu ndani
Hebu acha kuchochea chuki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nae unanikeraga kila demu mkali JF unataka awe wako.
manengelo mi nakuchukia weweIla hate za mamen kwa mamen kweli hazipendiz..ni hayo tu
Bas mie nakupenda!manengelo mi nakuchukia wewe
Anakuja kukujibuID yake nyingine ni nani?
Alafu sijawahi kuona ume panick humu jukwaani....natamani nikuone siku ukivurugwa unavyokuwaBas mie nakupenda!
Alafu sijawahi kuona ume panick humu jukwaani....natamani nikuone siku ukivurugwa unavyokuwa
Soma kingereza chake utamjua vizuri tuID yake nyingine ni nani?
Inaleta maana.Nampenda kila MTU kasoro MTU anayependwa na wengi, Because..
Wiseman Once said..
Nzi hukimbilia takataka
Akija hapa kwa ile ID yake nyingine ya JICHO LA TAI atakwambia sijui ntakupiga Mkuyenga popoma wewe sijui nini hahah.Namchukia popoma mkuu ( gentamcine ) .Huyo ndezi Ana penda sana ubishi hata kwa kitu asichojua .
Mm wanikera toka 2017 hujib pm zanguWe nae huna hata week mbili tangu ujoin JF unajua in&out za humu ndani
Hebu acha kuchochea chuki
Daah easy easy bro.Simpend yule mchawi na mlogaji mwenye kujitanabaisha na kujitukuza kwa kujitutumua ilihali kichwani ni mwehu mwenye gonorea isiyotibika akisubiri kufa mda wowote.
Mxxxxxuuuuuu, ptuuuuuuu
mng'ato bachelor sugu Magonjwa Mtambuka Daby and the list goes on...this is life..we don't expect everyone here to be the same...tunakwaruzana,tunafundishana,tunafurahishana....siku zinasonga!
Kuna kichaa mmoja anaitwa Elitwege.. hii takataka sijui inafanya nini jf yaan..
Mkuu kwani hapo anaeongelewa ametajwa?