Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Unatukera ila tutafanyaje sasa ndio mume wetu๐๐๐
Ulivyotutaja kwamba ndio tunakukera?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatukera ila tutafanyaje sasa ndio mume wetu๐๐๐
Teh teh..Ingekuwa hivyo ungekuwa unalala na pichu..Unatukera ila tutafanyaje sasa ndio mume wetu[emoji134][emoji134][emoji134]
Ulivyotutaja kwamba ndio tunakukera?
I love u a lot Shem jambazi..kuna mmoja "mnamshobokeaga" sana humu..i hate him a lot..!..yaan sijui ni nn..utadhan wanadaiwa nao
Teh teh teeeeeh!! Silali na pichu maana sina namna.Teh teh..Ingekuwa hivyo ungekuwa unalala na pichu..
Nope..Nimewaita muone mume alivyo msafi..[emoji2]
Kivipi?Kwanini?
Ni kweli kabisa mfano wanaume wote wasaliti na wanyanyasaji kwa wake zao wana nyume tu lakini hawana sifa za kuwa wanaumeNakukumbusha: sio kila mwenye uume anasifa za kuwa mwanaume wengne walikosewa tu kuumbwa.
Kweli kabisa mfano wanaume wasaliti na wanyanyasaji kwa wake zao wana nyume tu lakini hawana sifa za kuwa wanaumeNi kweli kabisa mkuu wanakua hawana tofauti na kina dada
[emoji2] [emoji2] ..Safi..Mafunzo ya kitchen party yalikuingia sawa sawaTeh teh teeeeeh!! Silali na pichu maana sina namna.
Huo usafi vipiiiii[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745]
Hayo ni maneno yako weweKweli kabisa mfano wanaume wasaliti na wanyanyasaji kwa wake zao wana nyume tu lakini hawana sifa za kuwa wanaume
Siyo maneno yangu bali ndo uhalisia huoHayo ni maneno yako wewe
Najuuuta kwanini nilikubali hayo mafunzo, sasa hivi ningekuwa nimepigilia track suit[emoji24][emoji24][emoji24][emoji2] [emoji2] ..Safi..Mafunzo ya kitchen party yalikuingia sawa sawa
I love u a lot Shem jambazi..
@manengelo ulimjambazia nini mume wangu?Asante shem ben 5
@manengelo ulimjambazia nini mume wangu?
Na haujakataa, hebu sema vizuri kwanza.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..nashangaa kaniita jambazi..labda aseme yy
Na haujakataa, hebu sema vizuri kwanza.