Njoo utoe stress zako kistaarabu kwa anaekukera humu JF.

Njoo utoe stress zako kistaarabu kwa anaekukera humu JF.

Unatukera ila tutafanyaje sasa ndio mume wetu[emoji134][emoji134][emoji134]

Ulivyotutaja kwamba ndio tunakukera?
Teh teh..Ingekuwa hivyo ungekuwa unalala na pichu..

Nope..Nimewaita muone mume alivyo msafi..[emoji2]
 
Teh teh..Ingekuwa hivyo ungekuwa unalala na pichu..

Nope..Nimewaita muone mume alivyo msafi..[emoji2]
Teh teh teeeeeh!! Silali na pichu maana sina namna.

Huo usafi vipiiiii[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745]
 
Madaamu sijatajwa,nakuja kuwataja ninao wachukia....!
 
Nakukumbusha: sio kila mwenye uume anasifa za kuwa mwanaume wengne walikosewa tu kuumbwa.
Ni kweli kabisa mfano wanaume wote wasaliti na wanyanyasaji kwa wake zao wana nyume tu lakini hawana sifa za kuwa wanaume
 
Teh teh teeeeeh!! Silali na pichu maana sina namna.

Huo usafi vipiiiii[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745]
[emoji2] [emoji2] ..Safi..Mafunzo ya kitchen party yalikuingia sawa sawa
 
[emoji2] [emoji2] ..Safi..Mafunzo ya kitchen party yalikuingia sawa sawa
Najuuuta kwanini nilikubali hayo mafunzo, sasa hivi ningekuwa nimepigilia track suit[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom