Njoo utupongeze!

Njoo utupongeze!

Hongereni sana mkuu...ingawa mwanzoni uliendekeza sana vidumu mara amu mara Arabela mara vivian

Asante Mkuu, heshima mbele!
Huyu amu ilikuwa ni hamu ila sina tena hamu nae! Arabela nimpango mkakati wa muda mrefu tuliouweka tukiwa TA na tuko kwenye utekelezaji wa muda mrefu na mfupi! Hili hata wife anajua! Ila huyu vivian huyu.....!?
 
Last edited by a moderator:
Hongera zenu shemeji yangu bi marejesho na mkandarasi mwenyewe Filipo

Nawaombea muendelee kuyadumisha mapenzi yenu ili muwe mfano wa kuigwa hasa kwa wenzenu huko Arusha ambako nasikia hakuna subira ambako mnakata mti na kupanda miti.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hongera zenu shemeji yangu bi marejesho na mkandarasi mwenyewe Filipo

Nawaombea muendelee kuyadumisha mapenzi yenu ili muwe mfano wa kuigwa hasa kwa wenzenu huko Arusha ambako nasikia hakuna subira ambako mnakata mti na kupanda miti.

Asante sana shemeji... Hizi salam zako ningependa zimwendee King Mswati Arushaone
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom