Njoo utupongeze!

Njoo utupongeze!

Nami nawapenda sana,

Salamu zimefika, mama anawasalimia pia.

Sikutaka mama akumbuke! Mwambie tunamsalimu na tunamkumbuka sana!!
Hizo za Mwalimu utaniambia chemba!
 
Hongereni sana sana sanaaaaa mana ndoa si lelemama. Mwaka mmoja waweza onekana mfupi lakin ni mrefu kutokana na milima na mabonde yaliyopo katika hii sayari. Niendelee kuwatakia heri katika ndoa yenu.
 
Laaziz wangu Filipo nakupenda sana, na sijutii kuwa na wewe... Tulishauriana kujiunga JF na leo tumetimiza miaka kadhaa, HATUJUTII maamuzi yetu.... Tumepata marafiki wengi sana wa ki couple na wa kibinafsi (You know what I mean). Changamoto hazikukosekana miaka iliyopita ila nashukuru tumekomaa nazo, na tuna kila sababu ya kujisifu kwamba sisi ni washindi.... Kuna muda mambo ya kifamilia yalitutinga tukashindwa kuingia JF ila napenda kuwahakikishia kwamba bado tupo na tutaendelea kuwepo....

Eimeeeen. Hua nabarikiwa kuona wanandoa wanaojitambua kama nyie....
 
Last edited by a moderator:
Hongereni sana sana sanaaaaa mana ndoa si lelemama. Mwaka mmoja waweza onekana mfupi lakin ni mrefu kutokana na milima na mabonde yaliyopo katika hii sayari. Niendelee kuwatakia heri katika ndoa yenu.

Asante sana Mpendwa! Sio mwaka, ni miaka sasa!
 
Bila kumsahau 'Valentina'!
Pongezi mingi sana Filipo kwa kukumbuka suala nyeti kama hili.
Hakika tunahitaji kupongezana sana wote kwa kuuona huu mwaka ambao tuna malengo mengi sana nao!
Ila napenda kujua kama Tonykp yupo, maana anatafutwa sana na 'Valentina', na inasemekana amezima simu zote tokea mwaka jana!


Mi namwangalia tu na hizo safar zake za kushtukiza,akichelewa atakuta shamba limepata mkulima....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom