Njoo uufahamu mji wa Ninawi alipotumwa nabii YONA

Njoo uufahamu mji wa Ninawi alipotumwa nabii YONA

Tarshish ni eneo mbali ya fukwe ya Israel katika bahari ya Mediterranean, Tarshish haipo Lebanon, tusifananishe Tyre/ Tiro na Tarshish. Tarshish ni Jamii ya watu waliotoka katika kizazi cha Japhet mtoto wa Nabii Noah. Walikaa eneo la Magharibi mwa Ugiriki, Kusini ya Italy za leo hadi Kusini Magharibi mwa Ufaransa na Hispania. Kwa Tafsiri isio rasmi naweza sema, Tarshish ni MATAIFA YA MAGHARIBI YA LEO. Ingawa Tarshish alichanganya damu na Makabila 10 ya Israel yaliopotea ili kupata huo Umagharibi. Kumbuka Ezekiel 38, 39 na 40, inapozungumzia Tarshish (Europeans), na Simba Wake ambao ni USA, Australia, Canada, na New Zealand, siku za mwisho katika vita vya Gog, watakavyomsema Gogu (Russia, Iran, Turkey, Kush na wengine) wanapoenda kuivamia Israel. Biblia, Tarshish + Ten lost tribe of Israeli unapata EUROPEANS, alafu Tarshish YOUNG LIONS, ni USA, Canada na Australia, maana hizi 3 zimetoka kwa Tarshish. Soma Ezekiel utaelewa.
sasa mbona umeongea nilichosema
 
Ninawi mji wa Ashuru (Siria kwa Sasa). Waashuru ndiyo waliteka na kuwachukuwa utumwa Isirael ya kasikazini ambayo makao makuu yalikuwa Samaria. Bablion (Iraqi kwa Sasa) ndiyo waliwapolomosha waashuru pia bablion ndiyo waliteka Isirael ya kusini (Yudea) ambayo makao makuu yalikuwa Yerusalem. Umedi na uajemi (Irani kwa Sasa) ndiyo walimpolomosha Mbabeloni. Kitabu Cha Ester Kama wimbo wa bahati bukuku unasimlia story ya mfalme na malkia. Baada ya hapa wagiriki walichukua ukanda wa mashariki ya Kati na Asia ndogo na badae waroma wakaja. Waroma ndiyo walifunga kazi mwaka 70 baada ya Yesu kuisambalatisa Yerusalem chini ya Mpompei. Lakini mwaka 79 waroma katika makao makuu yao huko Mpompei palipigwa na volcano na mji huo wote kufunikwa. Nikitazama Vita vya Urusi na Ukrein naiona sawa sawa na Vita ya Bablion na Isirael.
Samahani,hii 70 na 79 AD or BC?ni 1800 au 1700au 1900....kukatisha miaka kwenye habari ya history kunaleta mkanganyiko kidogo
 
Tarshish ni eneo mbali ya fukwe ya Israel katika bahari ya Mediterranean, Tarshish haipo Lebanon, tusifananishe Tyre/ Tiro na Tarshish. Tarshish ni Jamii ya watu waliotoka katika kizazi cha Japhet mtoto wa Nabii Noah. Walikaa eneo la Magharibi mwa Ugiriki, Kusini ya Italy za leo hadi Kusini Magharibi mwa Ufaransa na Hispania. Kwa Tafsiri isio rasmi naweza sema, Tarshish ni MATAIFA YA MAGHARIBI YA LEO. Ingawa Tarshish alichanganya damu na Makabila 10 ya Israel yaliopotea ili kupata huo Umagharibi. Kumbuka Ezekiel 38, 39 na 40, inapozungumzia Tarshish (Europeans), na Simba Wake ambao ni USA, Australia, Canada, na New Zealand, siku za mwisho katika vita vya Gog, watakavyomsema Gogu (Russia, Iran, Turkey, Kush na wengine) wanapoenda kuivamia Israel. Biblia, Tarshish + Ten lost tribe of Israeli unapata EUROPEANS, alafu Tarshish YOUNG LIONS, ni USA, Canada na Australia, maana hizi 3 zimetoka kwa Tarshish. Soma Ezekiel utaelewa.
Tatizo Nyie mnaosema Tarshish ilikuwa huko hamuweki fact, Ezekiel Ni kubwa... Ezekiel ngapi?angalau mleta mada Kuna mistari anakazia inaleta mwanga
 
Andiko zuri.

Kuhusu kuwaombea hao jamaa naona kama itakuwa ni kwenda kinyume na maandiko, huo mji ulishatabiriwa utapotea na hautarudi tena, na kilichokuja kutokea ndio hicho.

Hata hivyo vizazi vichache vilivyobaki navyo vinaendelea kuishi kwa mahangaiko (kufukuzwa) hii yote ni sababu ya muendelezo wa utabiri uliotolewa na Nahum, ni kama wanaadhibiwa kwa kuachiwa shetani awafundishe adabu.
 
Andiko zuri.

Kuhusu kuwaombea hao jamaa naona kama itakuwa ni kwenda kinyume na maandiko, huo mji ulishatabiriwa utapotea na hautarudi tena, na kilichokuja kutokea ndio hicho.

Hata hivyo vizazi vichache vilivyobaki navyo vinaendelea kuishi kwa mahangaiko (kufukuzwa) hii yote ni sababu ya muendelezo wa utabiri uliotolewa na Nahum, ni kama wanaadhibiwa kwa kuachiwa shetani awafundishe adabu.
umenena kweli huo mji haukaliki sawasawa na neno la BWANA
 
Achaneni na Ngano za Mashariki ya Kati katika kuua Utamaduni na Historia ya Mkush.
Abraham alikimbilia Misiri kujificha na njaaa, pia Ukoo wa yakobo ulikimbilia misiri kwa ajiri ya njaaa, Yesu alikimbilia Misiri kwa ajiri ya usalama wake. Mkushi hakwepeki kwa Kuepusha njaaa na Amani kwa ngano za zamani. Lakini Sasa mkushi ndiyo bara la njaaa na uvunjifu wa Amani.
 
Ninawi mji wa Ashuru (Siria kwa Sasa). Waashuru ndiyo waliteka na kuwachukuwa utumwa Isirael ya kasikazini ambayo makao makuu yalikuwa Samaria. Bablion (Iraqi kwa Sasa) ndiyo waliwapolomosha waashuru pia bablion ndiyo waliteka Isirael ya kusini (Yudea) ambayo makao makuu yalikuwa Yerusalem. Umedi na uajemi (Irani kwa Sasa) ndiyo walimpolomosha Mbabeloni. Kitabu Cha Ester Kama wimbo wa bahati bukuku unasimlia story ya mfalme na malkia. Baada ya hapa wagiriki walichukua ukanda wa mashariki ya Kati na Asia ndogo na badae waroma wakaja. Waroma ndiyo walifunga kazi mwaka 70 baada ya Yesu kuisambalatisa Yerusalem chini ya Mpompei. Lakini mwaka 79 waroma katika makao makuu yao huko Mpompei palipigwa na volcano na mji huo wote kufunikwa. Nikitazama Vita vya Urusi na Ukrein naiona sawa sawa na Vita ya Bablion na Isirael.
story hizo... volcano mji wote kufunikwa...

ashura mara iraq mara syria... historia za kubahatisha hizi...

leo ukiambiwa historia halisi ya UK au Misri una weza tahamaki...

kuna siri kubwa sana imefichwa na wachache wakitumia umbumbu wa wengi kunufaika...
 
story hizo... volcano mji wote kufunikwa...

ashura mara iraq mara syria... historia za kubahatisha hizi...

leo ukiambiwa historia halisi ya UK au Misri una weza tahamaki...

kuna siri kubwa sana imefichwa na wachache wakitumia umbumbu wa wengi kunufaika...
History ya dunia inajurikana toka 4.5billion year ago. Leo hii unashangaa story za miaka 4000-2000 years ago???.
Ninakushangaa kushangaaa.
Screenshot_20220326-214327.jpg
Screenshot_20220326-214435.jpg
Screenshot_20220326-214609.jpg
Screenshot_20220221-121445.jpg
 
nina kushangaa hakuna unacho kijua.... pole mkuu... nyie ndio mmetokana na adam na hawa ambao ni wazungu walio semekana kuishi huko eden? ndio wewe uzao wa adam una shangaa?
Umetoa wapi maneno ya kwamba Adamu ni mzungu???. Ndiyo shida yako inaanzia hapo. Ujuaji wa kwenye vijiwe vya kahawa.
Isome vizuri geological history.
 
Tarshish ni eneo mbali ya fukwe ya Israel katika bahari ya Mediterranean, Tarshish haipo Lebanon, tusifananishe Tyre/ Tiro na Tarshish. Tarshish ni Jamii ya watu waliotoka katika kizazi cha Japhet mtoto wa Nabii Noah. Walikaa eneo la Magharibi mwa Ugiriki, Kusini ya Italy za leo hadi Kusini Magharibi mwa Ufaransa na Hispania. Kwa Tafsiri isio rasmi naweza sema, Tarshish ni MATAIFA YA MAGHARIBI YA LEO. Ingawa Tarshish alichanganya damu na Makabila 10 ya Israel yaliopotea ili kupata huo Umagharibi. Kumbuka Ezekiel 38, 39 na 40, inapozungumzia Tarshish (Europeans), na Simba Wake ambao ni USA, Australia, Canada, na New Zealand, siku za mwisho katika vita vya Gog, watakavyomsema Gogu (Russia, Iran, Turkey, Kush na wengine) wanapoenda kuivamia Israel. Biblia, Tarshish + Ten lost tribe of Israeli unapata EUROPEANS, alafu Tarshish YOUNG LIONS, ni USA, Canada na Australia, maana hizi 3 zimetoka kwa Tarshish. Soma Ezekiel utaelewa.
Safi sana naona tunaenda Hoja kwa Hoja.
Lets Goo
 
nina kushangaa hakuna unacho kijua.... pole mkuu... nyie ndio mmetokana na adam na hawa ambao ni wazungu walio semekana kuishi huko eden? ndio wewe uzao wa adam una shangaa?
Ukiwa CCM unakuwa m'bishi wa kipuuzi sana!!
 
Back
Top Bottom