Tarshish ni eneo mbali ya fukwe ya Israel katika bahari ya Mediterranean, Tarshish haipo Lebanon, tusifananishe Tyre/ Tiro na Tarshish. Tarshish ni Jamii ya watu waliotoka katika kizazi cha Japhet mtoto wa Nabii Noah. Walikaa eneo la Magharibi mwa Ugiriki, Kusini ya Italy za leo hadi Kusini Magharibi mwa Ufaransa na Hispania. Kwa Tafsiri isio rasmi naweza sema, Tarshish ni MATAIFA YA MAGHARIBI YA LEO. Ingawa Tarshish alichanganya damu na Makabila 10 ya Israel yaliopotea ili kupata huo Umagharibi. Kumbuka Ezekiel 38, 39 na 40, inapozungumzia Tarshish (Europeans), na Simba Wake ambao ni USA, Australia, Canada, na New Zealand, siku za mwisho katika vita vya Gog, watakavyomsema Gogu (Russia, Iran, Turkey, Kush na wengine) wanapoenda kuivamia Israel. Biblia, Tarshish + Ten lost tribe of Israeli unapata EUROPEANS, alafu Tarshish YOUNG LIONS, ni USA, Canada na Australia, maana hizi 3 zimetoka kwa Tarshish. Soma Ezekiel utaelewa.