Njoo uufahamu mji wa Ninawi alipotumwa nabii YONA

Njoo uufahamu mji wa Ninawi alipotumwa nabii YONA

Abraham alikimbilia Misiri kujificha na njaaa, pia Ukoo wa yakobo ulikimbilia misiri kwa ajiri ya njaaa, Yesu alikimbilia Misiri kwa ajiri ya usalama wake. Mkushi hakwepeki kwa Kuepusha njaaa na Amani kwa ngano za zamani. Lakini Sasa mkushi ndiyo bara la njaaa na uvunjifu wa Amani.

Musa alisoma na kupata elimu yake yote kwa miaka 40 ndani ya ikulu ya Misri (Kemet) hapa Afrika.

Wasomi karibu wote maarufu enzi hizo Wakigiriki walikuwa wanaenda Afrika kusoma.

Historia ni pana na sehemu kubwa imefichwa.
 
Musa alisoma na kupata elimu yake yote kwa miaka 40 ndani ya ikulu ya Misri (Kemet) hapa Afrika.

Wasomi karibu wote maarufu enzi hizo Wakigiriki walikuwa wanaenda Afrika kusoma.

Historia ni pana na sehemu kubwa imefichwa.
Imefichwa sana. Hata ile inaitwa Greek architecture ambayo ilienea Ulaya imetoka Misri. Wanafalsafa wengi wa kigiriki, hadi Pythogras kasoma Misri. Kiufupi sehemu kubwa ya elimu ya sasa chanzo chake ni Misri. Wagiriki walicopy na kupaste tu. Sema kwa kuwa wamisri walikuwa weusi hakuna anayetaka kuwapa credit.
 
Tripoli hii ya Libya au nyingine?
Tripoli ya Lebanon. Hawa walebanoni ambao zamani waliitwa wafoenike kuna kipindi walitoka kwao na kwenda na kuanzisha miji. Mji wao mkuu ulikuwa Carthage ambao leo ndiyo Tunis. Wakaanzisha na miji mingine, ukiwemo Tripoli wa Libya. Wakichukua jina la mji wa kwao.
 
Sidhani kama Tarshishi ilikuwa Lebanon. Miji ya kibiashara ya Lebanon ilikuwa Tiro(Tyre) na Sidon. Na mwingine uliitwa Tripoli.
Tarshish ilikuwa Sofala huko Msumbiji mkuu wazungu wanatuzuga ilikuwa Lebanon😅😅😅

IMG_20220327_155808.jpg


 

Ninawi ni wapi?


Ninawi ni mji uliokuwepo kaskazini mwa Taifa la Iraq kwasasa. Mji huu kwasasa haupo, ila mahali pale ulipokuwepo mpaka leo pako!. Na mji huu ndio uliokuwa mji mkuu wa Taifa la Ashuru.

Ashuru ilikuwa ni nchi iliyokuwepo maeneo ya Iraq, Uturuki, na Syria..Mataifa haya matatu yamechangia sehemu ya nchi hiyo ya Ashuru, kama vile mataifa matatu (Kenya, Uganda na Tanzania), yalivyo na sehemu katika ziwa Victoria, kadhalika na Iraq, Uturuki na Syria ni sehemu ya Taifa hilo liliokuwa linaitwa Ashuru.

Lakini kwasasa duniani hakuna Taifa linaloitwa Ashuru. Kwani baada ya mataifa hayo matatu kuzaliwa hilo la Ashuru likafa.

Na Uliokuwa mji mkuu wa Taifa la Ashuru, uliitwa NINAWI. Ninawi ndio mji Nabii Yona alioambiwa akahubiri Injili, lakini kinyume chake akakimbilia Tarshishi.

Tarshishi ni mji uliokuwepo nchi ijulikanayo kwasasa kama Lebanoni. Taifa la Lebanoni katika nyakati za kale ndio Taifa lililokuwa linaongoza kwa uzalishaji wa miti aina ya MIEREZI
Mji mkuu wa Taifa la Lebanoni, ndio ulikuwa Tarshishi. Mji huu wa Tarshishi ndio uliokuwa unaongoza kwa wafanya biashara, na ndio uliokuwa kitovu cha biashara ulimwenguni. Nabii Yona alikimbilia mji huu kwasababu ulikuwa na fursa nyingi

Mji wa Ninawi haukuwa mji wenye watu wengi sana lakini ulikuwa umeendelea sana. Kipindi Nabii Yona anatumwa kwenda kuhubiri huko, biblia inarekodi mji ule kuwa na watu 120,000 tu!.


Ijapokuwa Mungu alikusudia kuuadhibu mji huu lakini wenyeji wake walitubu kwa mahubiri ya Yona. Na Bwana Yesu alikuja kutoa unabii kwa vizazi hivi vya siku za mwisho kuwa..


Na sisi tunapaswa tutubu kwa mahubiri ya Bwana Yesu, ili tusije kuangukia hukumu siku ya Mwisho.

Ninawi walikuwa wameitikia wito wa mahubiri ya Yona na wakageuka kutoka kwa njia zao mbaya kumtumikia Bwana Mungu Yehova. Lakini miaka 150 baadaye, Ninawi ikarudi kuabudu sanamu, vurugu na kiburi (Nahumu 3: 1-4). Kwa mara nyingine tena Mungu akatuma mmoja wa manabii wake Ninawi kuhubiri hukumu katika uharibifu wa mji na kuwaonya watubu. Cha kusikitisha, watu wa Ninawi hawakutilia maanani onyo za Nahumu na mji ukawekwa chini ya utawala wa Babeli.

Habari za kuangamizwa kwa mji wa Ninawi ni miongoni mwa nabii za kushangaza ambazo maelezo yake yanapatikana katika Biblia. Habari hizi zilitabiriwa na Nabii Nahumu mwaka 700 K.K. Katika utabiri wake alitabiri kuwa mji mkubwa huu, utaangamizwa kabisa na hautajengwa tena. Unabii huu ulitimizwa mwaka 606 K.K, wakati Wamedi walipouharibu na kuuteketeza. Sawasawa na maneno ya Nabii Nahumu, mji huu haujawahi kujengwa

View attachment 2164512
View attachment 2164513
kwa mujibu wa shirika la utangazaji la Uingereza (BBC) katika taarifa yake ya habari hivi karibuni lilitangaza kwamba namba ya wakristo imeshuka kutoka milioni 1 na laki tano mwaka 2003 mpaka 350,000 - 450,000, ambapo wengi wao waliobakia wanaishi vijijini kama kijiji cha Qaraqosh ambacho pia kinafahamika kwa jina lingine kama Baghidada, Bartella, -Hamdaniya pamoja na Tel Kef ambavyo vipo ndani ya Ninawi. mwishoni mwa mwaka juzi wakristo waliamliwa kuondoka katika mji wa Mosul, tamko lililotolewa na wanajeshi wa Sunni (moja ya majeshi makubwa ya kiislamu) na mpaka kufikia jumamosi iliyopita wakristo wengi waliamua kuhama mji huo na kukimbilia miji ya karibu inayokaliwa na wakristo, kwa mujibu wa ripoti kutoka vyombo vya habari vya kimataifa vinasema wakristo waliamua kuondoka Mosul wakiacha samani zao nyuma na kuondoka na nguo walizovaa tu na kukimbilia kijiji cha Al Qosh mji mkubwa wa wakristo ambao unadaiwa kabla majeshi hayo ya kiislamu kuchukua mji ulikuwa na wakristo wafikao 30,000 lakini toka june mwaka jana wakristo waliosalia waliamua kuukimbia mji.

(Popote ulipo maombi yako ni muhimu sana kwa ndugu zetu hawa).
Tatizo umechanganyachanganya
 
Musa alisoma na kupata elimu yake yote kwa miaka 40 ndani ya ikulu ya Misri (Kemet) hapa Afrika.

Wasomi karibu wote maarufu enzi hizo Wakigiriki walikuwa wanaenda Afrika kusoma.

Historia ni pana na sehemu kubwa imefichwa.
History haijafichwa. Bali watu hatufatilii tu. Inajurikana Misiri ndipo civilization ilianzia. Hata wazungu wanajua. Africa ilikuwa juu, Kisha ikapolomoka, Asia ndogo ( mashariki ya Kati ikapanda, baadae Ulaya, Sasa America na Sasa mashariki ya mbali inainukia kuipolomosha America
 
Imefichwa sana. Hata ile inaitwa Greek architecture ambayo ilienea Ulaya imetoka Misri. Wanafalsafa wengi wa kigiriki, hadi Pythogras kasoma Misri. Kiufupi sehemu kubwa ya elimu ya sasa chanzo chake ni Misri. Wagiriki walicopy na kupaste tu. Sema kwa kuwa wamisri walikuwa weusi hakuna anayetaka kuwapa credit.
Haijafichwa sema ilipolomoka tu. Hata Sasa inaonesha gunduzi na maendeleo yanatokea USA lakini siyo kweri ilianzia hapo watata wanahamia tu kwenda kufanyia hapo Mambo yao kwa sababu ndiyo dunia ilipo kwa sasa
 

Ninawi ni wapi?


Ninawi ni mji uliokuwepo kaskazini mwa Taifa la Iraq kwasasa. Mji huu kwasasa haupo, ila mahali pale ulipokuwepo mpaka leo pako!. Na mji huu ndio uliokuwa mji mkuu wa Taifa la Ashuru.

Ashuru ilikuwa ni nchi iliyokuwepo maeneo ya Iraq, Uturuki, na Syria..Mataifa haya matatu yamechangia sehemu ya nchi hiyo ya Ashuru, kama vile mataifa matatu (Kenya, Uganda na Tanzania), yalivyo na sehemu katika ziwa Victoria, kadhalika na Iraq, Uturuki na Syria ni sehemu ya Taifa hilo liliokuwa linaitwa Ashuru.

Lakini kwasasa duniani hakuna Taifa linaloitwa Ashuru. Kwani baada ya mataifa hayo matatu kuzaliwa hilo la Ashuru likafa.

Na Uliokuwa mji mkuu wa Taifa la Ashuru, uliitwa NINAWI. Ninawi ndio mji Nabii Yona alioambiwa akahubiri Injili, lakini kinyume chake akakimbilia Tarshishi.

Tarshishi ni mji uliokuwepo nchi ijulikanayo kwasasa kama Lebanoni. Taifa la Lebanoni katika nyakati za kale ndio Taifa lililokuwa linaongoza kwa uzalishaji wa miti aina ya MIEREZI
Mji mkuu wa Taifa la Lebanoni, ndio ulikuwa Tarshishi. Mji huu wa Tarshishi ndio uliokuwa unaongoza kwa wafanya biashara, na ndio uliokuwa kitovu cha biashara ulimwenguni. Nabii Yona alikimbilia mji huu kwasababu ulikuwa na fursa nyingi

Mji wa Ninawi haukuwa mji wenye watu wengi sana lakini ulikuwa umeendelea sana. Kipindi Nabii Yona anatumwa kwenda kuhubiri huko, biblia inarekodi mji ule kuwa na watu 120,000 tu!.


Ijapokuwa Mungu alikusudia kuuadhibu mji huu lakini wenyeji wake walitubu kwa mahubiri ya Yona. Na Bwana Yesu alikuja kutoa unabii kwa vizazi hivi vya siku za mwisho kuwa..


Na sisi tunapaswa tutubu kwa mahubiri ya Bwana Yesu, ili tusije kuangukia hukumu siku ya Mwisho.

Ninawi walikuwa wameitikia wito wa mahubiri ya Yona na wakageuka kutoka kwa njia zao mbaya kumtumikia Bwana Mungu Yehova. Lakini miaka 150 baadaye, Ninawi ikarudi kuabudu sanamu, vurugu na kiburi (Nahumu 3: 1-4). Kwa mara nyingine tena Mungu akatuma mmoja wa manabii wake Ninawi kuhubiri hukumu katika uharibifu wa mji na kuwaonya watubu. Cha kusikitisha, watu wa Ninawi hawakutilia maanani onyo za Nahumu na mji ukawekwa chini ya utawala wa Babeli.

Habari za kuangamizwa kwa mji wa Ninawi ni miongoni mwa nabii za kushangaza ambazo maelezo yake yanapatikana katika Biblia. Habari hizi zilitabiriwa na Nabii Nahumu mwaka 700 K.K. Katika utabiri wake alitabiri kuwa mji mkubwa huu, utaangamizwa kabisa na hautajengwa tena. Unabii huu ulitimizwa mwaka 606 K.K, wakati Wamedi walipouharibu na kuuteketeza. Sawasawa na maneno ya Nabii Nahumu, mji huu haujawahi kujengwa

View attachment 2164512
View attachment 2164513
kwa mujibu wa shirika la utangazaji la Uingereza (BBC) katika taarifa yake ya habari hivi karibuni lilitangaza kwamba namba ya wakristo imeshuka kutoka milioni 1 na laki tano mwaka 2003 mpaka 350,000 - 450,000, ambapo wengi wao waliobakia wanaishi vijijini kama kijiji cha Qaraqosh ambacho pia kinafahamika kwa jina lingine kama Baghidada, Bartella, -Hamdaniya pamoja na Tel Kef ambavyo vipo ndani ya Ninawi. mwishoni mwa mwaka juzi wakristo waliamliwa kuondoka katika mji wa Mosul, tamko lililotolewa na wanajeshi wa Sunni (moja ya majeshi makubwa ya kiislamu) na mpaka kufikia jumamosi iliyopita wakristo wengi waliamua kuhama mji huo na kukimbilia miji ya karibu inayokaliwa na wakristo, kwa mujibu wa ripoti kutoka vyombo vya habari vya kimataifa vinasema wakristo waliamua kuondoka Mosul wakiacha samani zao nyuma na kuondoka na nguo walizovaa tu na kukimbilia kijiji cha Al Qosh mji mkubwa wa wakristo ambao unadaiwa kabla majeshi hayo ya kiislamu kuchukua mji ulikuwa na wakristo wafikao 30,000 lakini toka june mwaka jana wakristo waliosalia waliamua kuukimbia mji.

(Popote ulipo maombi yako ni muhimu sana kwa ndugu zetu hawa).
Mbona hujaeleza ninawi ya zamani ndio Mji gani Kwa Sasa?
 
Miji mingi iliyotajwa kwenye biblia ndo inayokaliwa na waarabu.
 
Back
Top Bottom