Kumbe ulishuhudia mwenyewe, jiandae kiakiliAsante mkuu π
Nimewahi kupractice mahakamani kidogo, kuna pedeshee mmoja alioa huko baada ya miezi 6 mke akaja kudai talaka na mgawanyo wa pesa ndo maana napatwa na kigugumizi kiasi cha kuja kufungua uzi kabla sijajiingiza mwenyewe kwenye ilo gereza huru
myiembambaaaaInasemekana ni mwembamba
Wana shida gani? Mbona warembo tena weupe? ππUzuri wa ngoma uingie ucheze.
Kuna nyuzi nyingi sana kuhusu changamoto za kuoa "Mpare" shida hiko wapi?
Kazia kazia hapo Pa mnyakyusa wa Mwakaleliπ πUkikosa kuoa kabila lako Basi jitahidi uoe msukuma aliyesoma, mbena au mmarangu, ukikosa katika hayo usinilaumu.
Lakini eti umeoa mluguru, mndamba, mnyakyusa , mkwere au muha unategemea nini
Hivi kwanini usioe kwenu kabila unalotoka?Ughonile..
Nikiri tu kuwa mchakato wa kupata mwanamke sahihi wa kuoa ni mgumu sana na unaelekea kunishinda.
Mpaka sasa nmetokea kuwa na nyota ya kuwa na wadada wengi kwenye mahusiano wa iyo kanda pendwa kwa wanaume na nmetokea kudata kwa binti mmoja wa Marangu na tunapoelekea ni kwenye ndoa maana tushatambulishana kilichobaki ni mahari na tumepanga kufunga ndoa mwakani mwezi wa 6 panapo majaliwa ya mwenyezi Mungu.
Before niingie kwenye hii jela ya kuridhia naomba kwa wale waliooa kwenye iyo kanda watupe uzoefu tafadhali maana wanaongoza kwa kusemwa vibaya kila siku ila ndo wanaongoza kuolewa hapa Daslam
Nawasilisha.
Upo sahihi kabisa 100%Mimi niliwashindwa hao viburi wanapenda Wanaume mabaunsa wababe wababe km wakina Umaga na Undertaker muda wowote zinapigwa miereka za kina ray maustrio
mke. sio kabila,dini,rangi,elimu,au wapi anakotoka mke ni tabiaUghonile..
Nikiri tu kuwa mchakato wa kupata mwanamke sahihi wa kuoa ni mgumu sana na unaelekea kunishinda.
Mpaka sasa nmetokea kuwa na nyota ya kuwa na wadada wengi kwenye mahusiano wa iyo kanda pendwa kwa wanaume na nmetokea kudata kwa binti mmoja wa Marangu na tunapoelekea ni kwenye ndoa maana tushatambulishana kilichobaki ni mahari na tumepanga kufunga ndoa mwakani mwezi wa 6 panapo majaliwa ya mwenyezi Mungu.
Before niingie kwenye hii jela ya kuridhia naomba kwa wale waliooa kwenye iyo kanda watupe uzoefu tafadhali maana wanaongoza kwa kusemwa vibaya kila siku ila ndo wanaongoza kuolewa hapa Daslam
Nawasilisha.
Ni Bora wao wape ukoo wenu kuliko nyie mule ukoo waoUghonile..
Nikiri tu kuwa mchakato wa kupata mwanamke sahihi wa kuoa ni mgumu sana na unaelekea kunishinda.
Mpaka sasa nmetokea kuwa na nyota ya kuwa na wadada wengi kwenye mahusiano wa iyo kanda pendwa kwa wanaume na nmetokea kudata kwa binti mmoja wa Marangu na tunapoelekea ni kwenye ndoa maana tushatambulishana kilichobaki ni mahari na tumepanga kufunga ndoa mwakani mwezi wa 6 panapo majaliwa ya mwenyezi Mungu.
Before niingie kwenye hii jela ya kuridhia naomba kwa wale waliooa kwenye iyo kanda watupe uzoefu tafadhali maana wanaongoza kwa kusemwa vibaya kila siku ila ndo wanaongoza kuolewa hapa Daslam
Nawasilisha.
Wengi mnajidanganya swala la kuoa ni zito kuliko unavyodhani kwamba hauoi kabila, n.k, kabila ndo tabia na wengi waliojipusha na tabia za kikabila ni wachache wanawake wa kichaga waliozaliwa miaka ya 80 kuja juuu ni simu kaliHivi huko Marangu si ndiyo wanakotoka Waparestina?, kijana huoi kabila lake unamuoa yeye kama mwanamke....
mwanzoni utajua umepata jiko ila siku zinaposonga utajua hujui weka mbali na watoto kuna siku utakuja kunishukuru mimi sitaki hata kuwasikia kuna mtu wangu wa karibu juzi kati aliniambia anatamani afe kulikokuendelea na ndoaUghonile..
Nikiri tu kuwa mchakato wa kupata mwanamke sahihi wa kuoa ni mgumu sana na unaelekea kunishinda.
Mpaka sasa nmetokea kuwa na nyota ya kuwa na wadada wengi kwenye mahusiano wa iyo kanda pendwa kwa wanaume na nmetokea kudata kwa binti mmoja wa Marangu na tunapoelekea ni kwenye ndoa maana tushatambulishana kilichobaki ni mahari na tumepanga kufunga ndoa mwakani mwezi wa 6 panapo majaliwa ya mwenyezi Mungu.
Before niingie kwenye hii jela ya kuridhia naomba kwa wale waliooa kwenye iyo kanda watupe uzoefu tafadhali maana wanaongoza kwa kusemwa vibaya kila siku ila ndo wanaongoza kuolewa hapa Daslam
Nawasilisha.
We ukajifanya ndo unajua kupenda sio?Kuna kaka yangu mmoja alioa mpare ila alichokutana nacho kilipelekea sisi vijana wengine kupigwa stop kuoa tena kwenye ilo kabila.
Asante
Thubutuuu.Kama ni mpare weka ndani faster huyo ni mke
Marangu hawana shida Kama unakipato halali. Ni wacha Mungu wazuri, Wana maumbo mazuri Ni wasafi na elimu wanayo. Tatizo lao miguu tu.