Njooni tuambizane ukweli, Hivi wanawake wa kaskazini ni wife material kweli wa kuweka ndani kama mke au nataka kuingia choo cha kike?

Dakika za jioooni hawachelewi kukupiga chasambi hawafai wale hata robo
 
Umepita mulemule mkuu, huyu mchumba ananicost sana ingawa namudu izo gharama ila kuna muda huwa nafikiria what if mambo yangu ya uchumi yakaenda mrama huko kwenye ndoa maana kesho zetu hazitabiriki, atakuepo kwa ajili yangu kweli?
Roho wa Mungu amekutoa hapo. Ungekufa mkuu
 
Mkuu hakuna ulichobakisha.
 
nilshaghairi ilo suala mkuu saiv wadada wa iyo kanda wapo kwenye list yangu ya mabinti naowapotezea tu muda ikiwa nipo/ntaingia nao kwenye mahusiano. yaani ni red flags hadi kwenye mshusiano

shukran
Ok sawa.. ila epuka sanaa iyo tabia ya kupotezea muda wanawake, itakujageuka kwako kuwa makini, kama una mface mwanamke kuwa straight, kama unataka kumuoa au la?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…