Njooni tumpongeze Mohammed Hussein Zimbwe 'Tshabalala' kwa kufunga ndoa

Njooni tumpongeze Mohammed Hussein Zimbwe 'Tshabalala' kwa kufunga ndoa

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Nahodha msaidizi wa Simba, Mohamed Hussein "Tshabalala" jana siku ya Ijumaa amefunga ndoa.

Hongera sana kepteni, niwatakie kila la heri kwenye ndoa yenu!

Screenshot_20210807-201444~2.png

2873930_IMG_20210807_201944.jpg
 
234887069_4200822176703128_5371936799741276924_n.jpg

Baada ya Mohamed Hussein kuingia kwenye maisha ya ndoa, basi amemtoa mchezaji mwenzake Meddy Kagere kutoka nafasi ya kwanza ya kuwa na mke mzuri ligi kuu yote ambayo aliishikilia kwa muda mrefu. Shabalala alivuta mke wake mwenye asili ya Uarabuni mwisho wa wiki hii.
Msimamo mpaka sasa hivi ni kama ifuatavyo.
1. Shabalala
2. Kagere
3. Yondani
4. Chirwa
5. Nyosso
 
Back
Top Bottom