KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Bibi kazama huko Kigoma ndani ndani mzee hahahaBibi kaenda Bagamoyo kwa wataalamu Tshabalala kashindwa kufurukuta sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bibi kazama huko Kigoma ndani ndani mzee hahahaBibi kaenda Bagamoyo kwa wataalamu Tshabalala kashindwa kufurukuta sio?
Kwa mtazamo wangu kama ex ftbol player.Nahodha msaidizi wa Simba, Mohamed Hussein "Tshabalala" jana siku ya Ijumaa amefunga ndoa.
Hongera sana kepteni, niwatakie kila la heri kwenye ndoa yenu!
View attachment 1884438
View attachment 1884484
Bila Shaka ni ndugu yake snoop doggy huyo Mwanadada , vyovyote itakavyokuwa huyo dada ni wrong movePicha imezua taharuki,wengine wakisema mzee mara pua kama karoti mambo ni mengi ila nimegundua aliempaka make up si mtu mzuri na camera man.
Yalaah..Si Dada yake Mcihael Jackson huyu!View attachment 1884651
Baada ya Mohamed Hussein kuingia kwenye maisha ya ndoa, basi amemtoa mchezaji mwenzake Meddy Kagere kutoka nafasi ya kwanza ya kuwa na mke mzuri ligi kuu yote ambayo aliishikilia kwa muda mrefu. Shabalala alivuta mke wake mwenye asili ya Uarabuni mwisho wa wiki hii.
Msimamo mpaka sasa hivi ni kama ifuatavyo.
1. Shabalala
2. Kagere
3. Yondani
4. Chirwa
5. Nyosso
Dah jf bhana haahahaHuyo Dada anataka kufanana na snoop dog.
Huyu mwingine au 😳😳😳