Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,171
- 15,760
Kwa kukadiria anaweza kuwa na umri gani mkuu?Huyo dada ni mzuri aliyemfanyia makeup kamnanga .
Nimem-zoom gauge imesoma ni kama yupo 36/38 hivi mume 25/28,ila nadhani waachwe kama wamependana kwa dhati ila kama huyo dogo amekokotana nae akidhani ni mwarabu basi atakuwa amepuyanga vibaya sana.