Njooni tumpongeze Mohammed Hussein Zimbwe 'Tshabalala' kwa kufunga ndoa

Njooni tumpongeze Mohammed Hussein Zimbwe 'Tshabalala' kwa kufunga ndoa

Huyo dada ni mzuri aliyemfanyia makeup kamnanga .
Kwa kukadiria anaweza kuwa na umri gani mkuu?

Nimem-zoom gauge imesoma ni kama yupo 36/38 hivi mume 25/28,ila nadhani waachwe kama wamependana kwa dhati ila kama huyo dogo amekokotana nae akidhani ni mwarabu basi atakuwa amepuyanga vibaya sana.
 
Nishajisemea ikitokea bahati mbaya nikao mwanamke akaja kapaka tope "Mekapu" usoni lazima nimkatae.
Kuna radha yake mtu ukiwa natural..no wig,no rasta za kusuka, no make up..
[emoji28][emoji28]Sawa mshkaji wangu
 
Huyo mkewe ni mzuri bila make up.Kamaliza IFM 2009.Tunamfahamu vizuri.kundi lake la discusion alikuwa na mtoto wa bakhresa.vyovyote iwavyo atakuwa na pesa ndefu ya kumfanya asiangaike na mpira wa kurogana kibongo bongo.
Bongo wachezaji wanapigana misumari mpaka kipaji kinakufa.
Mkuu unamanisha 2019 au 2009?
 
View attachment 1884651
Baada ya Mohamed Hussein kuingia kwenye maisha ya ndoa, basi amemtoa mchezaji mwenzake Meddy Kagere kutoka nafasi ya kwanza ya kuwa na mke mzuri ligi kuu yote ambayo aliishikilia kwa muda mrefu. Shabalala alivuta mke wake mwenye asili ya Uarabuni mwisho wa wiki hii.
Msimamo mpaka sasa hivi ni kama ifuatavyo.
1. Shabalala
2. Kagere
3. Yondani
4. Chirwa
5. Nyosso
Hicho ni kaa kijini maimuna cha Songomnara kisiwani, khaa yaani hicho kibibi sijui kitoto cha mpili na hio saloon huyo alombibisha atakuwa wautopolo sio kwa ubibi huo. "Bibi the Bibiz"
 
Demu Kama Michael Jackson? Zimbwe usitufanyie hivyo bhanaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo mkewe ni mzuri bila make up.Kamaliza IFM 2009.Tunamfahamu vizuri.kundi lake la discusion alikuwa na mtoto wa bakhresa.vyovyote iwavyo atakuwa na pesa ndefu ya kumfanya asiangaike na mpira wa kurogana kibongo bongo.
Bongo wachezaji wanapigana misumari mpaka kipaji kinakufa.

Haya mambo ya Bakhresa si ndio Dewji hayataki haya? Kijana awe makaini kidogo na anayemlipa mshahara
 
Back
Top Bottom