Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Nahodha msaidizi wa Simba, Mohamed Hussein "Tshabalala" jana siku ya Ijumaa amefunga ndoa.
Hongera sana kepteni, niwatakie kila la heri kwenye ndoa yenu!
View attachment 1884403
Hayupo pichaniTshabalala ndio yupi hapo kati ya hao?
Siyo make up ni bibi kizee huyoHongera zao.
Ila make up imemzeesha bi harusi, sijui ana umri gani
Na wewe ulioa mzee kama huyo wa Tshabalala??huyu jamaa atakua na stress sana na huyo wife wake maana na mimi yamenitokea mara hoo walikuchagu hoo hamuendani lakini siku ya siku unazoe tabia tuu ndo kila kitu
Huyu Tshabalala kaoa mchepuko wa babake
Kumbe ana mtoto...!Nahodha msaidizi wa Simba, Mohamed Hussein "Tshabalala" jana siku ya Ijumaa amefunga ndoa.
Hongera sana kepteni, niwatakie kila la heri kwenye ndoa yenu!
View attachment 1884438
View attachment 1884484
Alaaniwe aliyempaka hii makeup biharusi
Huyo wa katikati picha ya piliTshabalala ndio yupi hapo kati ya hao?
Nimekuta huko.insta wahuni wamemfananisha huyu mke wake na Snoop Dogg
Bibi kaenda Bagamoyo kwa wataalamu Tshabalala kashindwa kufurukuta sio?Kweli dawa za mapenzi zipo.