Kwa kukadiria anaweza kuwa na umri gani mkuu?Huyo dada ni mzuri aliyemfanyia makeup kamnanga .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Snoop dog aje kumfwata dada yake tafadhali
[emoji28][emoji28]Sawa mshkaji wanguNishajisemea ikitokea bahati mbaya nikao mwanamke akaja kapaka tope "Mekapu" usoni lazima nimkatae.
Kuna radha yake mtu ukiwa natural..no wig,no rasta za kusuka, no make up..
Mkuu unamanisha 2019 au 2009?Huyo mkewe ni mzuri bila make up.Kamaliza IFM 2009.Tunamfahamu vizuri.kundi lake la discusion alikuwa na mtoto wa bakhresa.vyovyote iwavyo atakuwa na pesa ndefu ya kumfanya asiangaike na mpira wa kurogana kibongo bongo.
Bongo wachezaji wanapigana misumari mpaka kipaji kinakufa.
Unamaanisha [emoji848][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Safi sana kijana. Kipendacho roho hula nyama mbichi
Hicho ni kaa kijini maimuna cha Songomnara kisiwani, khaa yaani hicho kibibi sijui kitoto cha mpili na hio saloon huyo alombibisha atakuwa wautopolo sio kwa ubibi huo. "Bibi the Bibiz"View attachment 1884651
Baada ya Mohamed Hussein kuingia kwenye maisha ya ndoa, basi amemtoa mchezaji mwenzake Meddy Kagere kutoka nafasi ya kwanza ya kuwa na mke mzuri ligi kuu yote ambayo aliishikilia kwa muda mrefu. Shabalala alivuta mke wake mwenye asili ya Uarabuni mwisho wa wiki hii.
Msimamo mpaka sasa hivi ni kama ifuatavyo.
1. Shabalala
2. Kagere
3. Yondani
4. Chirwa
5. Nyosso
Make up wamefanya utopolo kusudi hioHuyo dada ni mzuri aliyemfanyia makeup kamnanga .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo ndio nimepata maana halisi ya BIBI harusi, vipi na hako kachanga ndio ndoa ishajibu tayari?
Kwa picha hio ya bibiz bila shaka ni 2009Mkuu unamanisha 2019 au 2009?
Nimekuta Instagram wahuni wamemfananisha na snoop DoggDemu Kama Michael Jackson? Zimbwe usitufanyie hivyo bhanaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo mkewe ni mzuri bila make up.Kamaliza IFM 2009.Tunamfahamu vizuri.kundi lake la discusion alikuwa na mtoto wa bakhresa.vyovyote iwavyo atakuwa na pesa ndefu ya kumfanya asiangaike na mpira wa kurogana kibongo bongo.
Bongo wachezaji wanapigana misumari mpaka kipaji kinakufa.