fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Ni kweli,ila huyo ndiye aliyemlea tshabalalaKafunga ndoa na Bibi Harusi.
Maisha ya mapenzi ni fumbo.
Ni kweli kaoa Bibi yake, yaani mama mzaa mama.
Ni kama Raisi wa Ufaransa, kamwoa Bibi yake, yaani kikongwe.
Maisha pia ni fumbo pia.
Tumsamehe tu Shabalala
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwahyo mo kamfanyia hujuma Zimbwe jrMo dewji kamchagulia jamaa mke. Tukiwaambia Mo mbabaishaji muwe mnaelewa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nimecheka mpaka watoto wangu wamenishangaa Sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kafunga ndoa na Bibi Harusi.
Maisha ya mapenzi ni fumbo.
Ni kweli kaoa Bibi yake, yaani mama mzaa mama.
Ni kama Raisi wa Ufaransa, kamwoa Bibi yake, yaani kikongwe.
Maisha pia ni fumbo pia.
Tumsamehe tu Shabalala
Weeeee ni mwiko kuwa na mke mzuri kuliko boss wako.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwahyo mo kamfanyia hujuma Zimbwe jr
[emoji23][emoji23][emoji23]nchi ngumu Sana hiiWeeeee ni mwiko kuwa na mke mzuri kuliko boss wako.
Oya mbona kaoa mzee π³π³π³π³π³
Nadhani huyo mwenye miwani anaebusu mtotoTshabalala ndio yupi hapo kati ya hao?
Aisee kweli bwana.....Oya mbona kaoa mzee π³π³π³π³π³
Acha urongoo huyo ni dada yake Snupi dogiYalaah..Si Dada yake Mcihael Jackson huyu!
Duh asee 2009 mimi na uzee wangu bado nilikuwa sekondari o'level sasa huyu kama ndio alikuwa anamaliza chuo si bibi kabisa.Huyo mkewe ni mzuri bila make up.Kamaliza IFM 2009.Tunamfahamu vizuri.kundi lake la discusion alikuwa na mtoto wa bakhresa.vyovyote iwavyo atakuwa na pesa ndefu ya kumfanya asiangaike na mpira wa kurogana kibongo bongo.
Bongo wachezaji wanapigana misumari mpaka kipaji kinakufa.
Mtu amalize ifm 2009 lazima awe na umri zaidi ya miaka 32Huyo mkewe ni mzuri bila make up.Kamaliza IFM 2009.Tunamfahamu vizuri.kundi lake la discusion alikuwa na mtoto wa bakhresa.vyovyote iwavyo atakuwa na pesa ndefu ya kumfanya asiangaike na mpira wa kurogana kibongo bongo.
Bongo wachezaji wanapigana misumari mpaka kipaji kinakufa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila wabongo wakiamua kukusema unaweza ukazimia ama kufa kabisa.Ana sura ya ladies and gentlemen (2 in 1)
Mkuu unatuaminisha kuwa mtoto wa Bakhresa kasoma IFM? Unatuaminisha hivo kabisa mbona naona ngumu hii kutokeaHuyo mkewe ni mzuri bila make up.Kamaliza IFM 2009.Tunamfahamu vizuri.kundi lake la discusion alikuwa na mtoto wa bakhresa.vyovyote iwavyo atakuwa na pesa ndefu ya kumfanya asiangaike na mpira wa kurogana kibongo bongo.
Bongo wachezaji wanapigana misumari mpaka kipaji kinakufa.
hamna kalikua kadogo sana alafu kakawa kapokapo kajijini alafu ni kaka leta mjini washikaji walikua wana nicheka sana itabidi niwe nakafungia ndani tuu nakaachia hela za kukatoshaNa wewe ulioa mzee kama huyo wa Tshabalala??
Wewe ndiyo ulifaidi Sana aisee. Badala ya kuoa haya yanayolalamikia kibamia kumbe k ishatumika Sana na kuwa kama mfuko wa rambo ukaamua kwenda kuchukua mali mpya. Safi Sana.hamna kalikua kadogo sana alafu kakawa kapokapo kajijini alafu ni kaka leta mjini washikaji walikua wana nicheka sana itabidi niwe nakafungia ndani tuu nakaachia hela za kukatosha