Njooni tumpongeze Mohammed Hussein Zimbwe 'Tshabalala' kwa kufunga ndoa

Kafunga ndoa na Bibi Harusi.
Maisha ya mapenzi ni fumbo.

Ni kweli kaoa Bibi yake, yaani mama mzaa mama.

Ni kama Raisi wa Ufaransa, kamwoa Bibi yake, yaani kikongwe.

Maisha pia ni fumbo pia.
Tumsamehe tu Shabalala
Ni kweli,ila huyo ndiye aliyemlea tshabalala

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kafunga ndoa na Bibi Harusi.
Maisha ya mapenzi ni fumbo.

Ni kweli kaoa Bibi yake, yaani mama mzaa mama.

Ni kama Raisi wa Ufaransa, kamwoa Bibi yake, yaani kikongwe.

Maisha pia ni fumbo pia.
Tumsamehe tu Shabalala
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nimecheka mpaka watoto wangu wamenishangaa Sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
nahisi aliye mfanyia makeup ni utopolo.
mfanya makeup kaharibu sana

hongera shabalala
 
Akili kubwa hujadili hoja,
Akili ya kawaida hujadili matukio,

Akili ndogo Hujadili watu.

Midume na makende mnakosoa sura ya mke ambaye siyo wenu?
 
Duh asee 2009 mimi na uzee wangu bado nilikuwa sekondari o'level sasa huyu kama ndio alikuwa anamaliza chuo si bibi kabisa.

Zimbwe katuangusha wana Simba.
 
Mtu amalize ifm 2009 lazima awe na umri zaidi ya miaka 32
 
Mkuu unatuaminisha kuwa mtoto wa Bakhresa kasoma IFM? Unatuaminisha hivo kabisa mbona naona ngumu hii kutokea
 
Na wewe ulioa mzee kama huyo wa Tshabalala??
hamna kalikua kadogo sana alafu kakawa kapokapo kajijini alafu ni kaka leta mjini washikaji walikua wana nicheka sana itabidi niwe nakafungia ndani tuu nakaachia hela za kukatosha
 
hamna kalikua kadogo sana alafu kakawa kapokapo kajijini alafu ni kaka leta mjini washikaji walikua wana nicheka sana itabidi niwe nakafungia ndani tuu nakaachia hela za kukatosha
Wewe ndiyo ulifaidi Sana aisee. Badala ya kuoa haya yanayolalamikia kibamia kumbe k ishatumika Sana na kuwa kama mfuko wa rambo ukaamua kwenda kuchukua mali mpya. Safi Sana.

Hao walikuwa wanajifanyisha tu kukucheka lkn kiukweli walikuwa wanakuonea wivu.
 
Wabongo heshimuni wake za watu. Mleta uzi pia ni MNAZI ; na hili ndiyo lengo lako.

Kwenye maisha always behave, maneno yako hakikisha yanawajenga wengine Na Sio kuwa shusha. Unapokosoa na kukashifu kilichoumbwa na yule unayemuita Mungu wako, ni automagically unamtukana huyo mungu wako.

Wabongo tujifunzeni sana kuwa na MATURITY Na tuelewe baadhi ya mambo ni suala binafsi . Hakuna mtu mmbaya hapa duniani wala hakuna mtu Mzuri ,

Acheni Upumbavu kujadili wake za watu on social media. She is beautiful and cute .... nikimtizama , ninaona ukamilifu wa Mungu.

All the best Shabalala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…