Njooni tumpongeze Mohammed Hussein Zimbwe 'Tshabalala' kwa kufunga ndoa

Akili kubwa hujadili hoja,
Akili ya kawaida hujadili matukio,

Akili ndogo Hujadili watu.

Midume na makende mnakosoa sura ya mke ambaye siyo wenu?

Tena na mishipa ya shingo imewatoka kabisa,bahatika sasa kukutana nao live na wake zao,utabaki kujiuliza hawa ndiyo walikuwa wanakosoa mke wa mwenzao.

Kuna mmoja hapa anakosoa wakati na yeye mke wake ni kituko,ana kg 800 na tumbo utadhani mjamzito wa miezi 7
 

Kuna watu mmejawa na busara sana.
 
Kawaida ya wabongo kusema wake za wengine ni maraya kumbe na wakwao wamo

Kuna mmoja hapa acha nimsitiri tu,lakini Mke wake ni kituko zaidi,alipaswa kwenda kwa Dr Now kwenye kile kipindi cha “my 600lb life” akafanyiwe upasuaji,si kwa ule unene,lakini Jamaa yuko hapa na yeye anamkosoa mke wa Tshabalala.
 
Kuna mmoja hapa acha nimsitiri tu,lakini Mke wake ni kituko zaidi,alipaswa kwenda kwa Dr Now kwenye kile kipindi cha “my 600lb life” akafanyiwe upasuaji,si kwa ule unene,lakini Jamaa yuko hapa na yeye anamkosoa mke wa Tshabalala.
Kwa maisha ya sasa kizazi hiki cha madanga wanaume tunahitaji zaidi mwanamke mwenye mwonekano wa ndani kuliko kuoa uwafuhishe watu siri ya mtungi aijua mwenyewe zimbwe jr
 
Hahahahaha[emoji119][emoji119]
 
Hii Sura ipo au chai ndugu yangu hahaha
Bibi mgumu Kama Mrisho Ngassa... Dogo kapigwa uchawi unaitwa Sulhati zubaa yaani unazubaa miaka hata 20 ukistuka... Ushazeeka na hauna Namna tena. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huenda kwenda kuna mkwanja, wanaenda kufurahia likizo Dubai
 
Huenda kwenda kuna mkwanja, wanaenda kufurahia likizo DubaiView attachment 2279935

Kila la heri Sheikh. Ukapate mapumziko ya kutosha wewe na familia yako. Hakika ulitendea haki huu msimu kwa kuchezeshwa mechi nyingi na timu yako.

Msimu ujao ukiandae vizuri! Maana utapelekewa pumzi ya moto mwanzo mwisho na akina Juma Shaban.
 
Hebu achen ufukunyuku
Kwa kukadiria anaweza kuwa na umri gani mkuu?

Nimem-zoom gauge imesoma ni kama yupo 36/38 hivi mume 25/28,ila nadhani waachwe kama wamependana kwa dhati ila kama huyo dogo amekokotana nae akidhani ni mwarabu basi atakuwa amepuyanga vibaya sana.
 
Hebu kila mwenye mke atupie picha yake humu,co kuponda mali za watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna watu mko na maneno ya shombo sana maniner!
 
Kg 800 tena???yaan anakimbizana kg na yule makamu mwenyekit?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…