Bila Shaka ni ndugu yake snoop doggy huyo Mwanadada , vyovyote itakavyokuwa huyo dada ni wrong move
Wake zenu hatuwajui kazi kusema wake wa wenzenu big up Zimbwe jr
Akili kubwa hujadili hoja,
Akili ya kawaida hujadili matukio,
Akili ndogo Hujadili watu.
Midume na makende mnakosoa sura ya mke ambaye siyo wenu?
Kawaida ya wabongo kusema wake za wengine ni maraya kumbe na wakwao wamoNa si ajabu wake zao ni vituko zaidi
Wabongo heshimuni wake za watu. Mleta uzi pia ni MNAZI ; na hili ndiyo lengo lako.
Kwenye maisha always behave, maneno yako hakikisha yanawajenga wengine Na Sio kuwa shusha. Unapokosoa na kukashifu kilichoumbwa na yule unayemuita Mungu wako, ni automagically unamtukana huyo mungu wako.
Wabongo tujifunzeni sana kuwa na MATURITY Na tuelewe baadhi ya mambo ni suala binafsi . Hakuna mtu mmbaya hapa duniani wala hakuna mtu Mzuri ,
Acheni Upumbavu kujadili wake za watu on social media. She is beautiful and cute .... nikimtizama , ninaona ukamilifu wa Mungu.
All the best Shabalala
Kawaida ya wabongo kusema wake za wengine ni maraya kumbe na wakwao wamo
Kwa maisha ya sasa kizazi hiki cha madanga wanaume tunahitaji zaidi mwanamke mwenye mwonekano wa ndani kuliko kuoa uwafuhishe watu siri ya mtungi aijua mwenyewe zimbwe jrKuna mmoja hapa acha nimsitiri tu,lakini Mke wake ni kituko zaidi,alipaswa kwenda kwa Dr Now kwenye kile kipindi cha “my 600lb life” akafanyiwe upasuaji,si kwa ule unene,lakini Jamaa yuko hapa na yeye anamkosoa mke wa Tshabalala.
Hahahahaha[emoji119][emoji119]Tena na mishipa ya shingo imewatoka kabisa,bahatika sasa kukutana nao live na wake zao,utabaki kujiuliza hawa ndiyo walikuwa wanakosoa mke wa mwenzao.
Kuna mmoja hapa anakosoa wakati na yeye mke wake ni kituko,ana kg 800 na tumbo utadhani mjamzito wa miezi 7
Hayupo pichani
Bibi mgumu Kama Mrisho Ngassa... Dogo kapigwa uchawi unaitwa Sulhati zubaa yaani unazubaa miaka hata 20 ukistuka... Ushazeeka na hauna Namna tena. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mo dewji kamchagulia jamaa mke. Tukiwaambia Mo mbabaishaji muwe mnaelewa.
we huwezi elewa...Duuu kaingiaje mo ss haha
Ipo pekua vitanu sheikh wangu. [emoji1787][emoji1787]Hii Sura ipo au chai ndugu yangu hahaha
Well said...Mnapenda kupangia watu maisha, wewe wako ni mzuri? Si ajabu ukiweka picha yake hapa na sisi wengine tutamuona wrong move japo wewe kiroho safi unamuona kama Cleopatra
waulize dada zao au hata mama zao kama wazuri..kwa hiyo hawakustahili kuolewa?Mnapenda kupangia watu maisha, wewe wako ni mzuri? Si ajabu ukiweka picha yake hapa na sisi wengine tutamuona wrong move japo wewe kiroho safi unamuona kama Cleopatra
Huenda kwenda kuna mkwanja, wanaenda kufurahia likizo DubaiHuyo mkewe ni mzuri bila make up.Kamaliza IFM 2009.Tunamfahamu vizuri.kundi lake la discusion alikuwa na mtoto wa bakhresa.vyovyote iwavyo atakuwa na pesa ndefu ya kumfanya asiangaike na mpira wa kurogana kibongo bongo.
Bongo wachezaji wanapigana misumari mpaka kipaji kinakufa.
Huenda kwenda kuna mkwanja, wanaenda kufurahia likizo DubaiView attachment 2279935
Kwa kukadiria anaweza kuwa na umri gani mkuu?
Nimem-zoom gauge imesoma ni kama yupo 36/38 hivi mume 25/28,ila nadhani waachwe kama wamependana kwa dhati ila kama huyo dogo amekokotana nae akidhani ni mwarabu basi atakuwa amepuyanga vibaya sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu mko na maneno ya shombo sana maniner!
Tena na mishipa ya shingo imewatoka kabisa,bahatika sasa kukutana nao live na wake zao,utabaki kujiuliza hawa ndiyo walikuwa wanakosoa mke wa mwenzao.
Kuna mmoja hapa anakosoa wakati na yeye mke wake ni kituko,ana kg 800 na tumbo utadhani mjamzito wa miezi 7