thebosskissima
Member
- May 22, 2017
- 65
- 298
Nitachukulia Hilo tukio la fumanizi kama wazamini tu wa kipindi cha kumkimbiza mwizi.. siachi hela wewe tena nikiwaona ndo naongeza spidi na kelele.
Badala ya kutoa maoni kwenye mambo yenye maana kwa ajili ya mustakabali wa maisha na kizazi cha sasa na baadae unatoa maoni kweny mambo yasiyo na msingiBadala watu mjikite kujadili mambo yenye maana kwa ajili ya mustakabali wa maisha ya kizazi cha sasa na cha baadae mnaanza kujadili mambo ambayo hayapo na hayawezi kuwepo
Shwain
Ningewapa hi wajue nimewaona halafu nafuata pesa yangu kwanza , hapo kwanza utapata faida mbili.Kwa mfano ulikuwa unamkimbiza mwizi aliyekuibia pochi yenye laki tano na simu ya thamani ya laki tatu, mara kichochoroni ukamuona mpenzi wako na mtu mwingine wamekumbatia na wanapigana mabusu.
Je? Ungendelea kumkimbiza mwizi au ungemfuata mpenzi wako??????????
Mpaka sasa una networthy ya ngapi ukiweka mali zako zote kwa mfumo wa dola ya kimarekani?Badala watu mjikite kujadili mambo yenye maana kwa ajili ya mustakabali wa maisha ya kizazi cha sasa na cha baadae mnaanza kujadili mambo ambayo hayapo na hayawezi kuwepo
Shwain
Humu ni chit chat mkuu...nenda jukwa la biashara kama utaona topic kama hizi....Badala watu mjikite kujadili mambo yenye maana kwa ajili ya mustakabali wa maisha ya kizazi cha sasa na cha baadae mnaanza kujadili mambo ambayo hayapo na hayawezi kuwepo
Shwain
Mmojawao ni wewe.Badala watu mjikite kujadili mambo yenye maana kwa ajili ya mustakabali wa maisha ya kizazi cha sasa na cha baadae mnaanza kujadili mambo ambayo hayapo na hayawezi kuwepo
Shwain
Mimi naachana na huyo mpenzi tutaelewana badae nyumbani,lazima nimkomalie mwizi niurudishe mpunga wangu na simu yangu ndio muhimu kwanza.Kwa mfano ulikuwa unamkimbiza mwizi aliyekuibia pochi yenye laki tano na simu ya thamani ya laki tatu, mara kichochoroni ukamuona mpenzi wako na mtu mwingine wamekumbatia na wanapigana mabusu.
Je? Ungendelea kumkimbiza mwizi au ungemfuata mpenzi wako??????????
Ningeshangaa kama nisingekuona huku, nimependa hiyo "unataka utulivu Club tena wa kusoma kitabu", una maneno wewe😀😀😀Humu ni chit chat mkuu...nenda jukwa la biashara kama utaona topic kama hizi....
Jifunze kua eneo sahihi kwa muda sahihi,unaenda club unataka utulivu ili usome kitabu??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]