thebosskissima
Member
- May 22, 2017
- 65
- 298
Kwa mfano ulikuwa unamkimbiza mwizi aliyekuibia pochi yenye laki tano na simu ya thamani ya laki tatu, mara kichochoroni ukamuona mpenzi wako na mtu mwingine wamekumbatia na wanapigana mabusu.
Je? Ungendelea kumkimbiza mwizi au ungemfuata mpenzi wako??????????
Je? Ungendelea kumkimbiza mwizi au ungemfuata mpenzi wako??????????