LGE2024 Nkasi: Wanaodaiwa kutumwa na DC kulipua nyumba ya Mbunge Aida Kenani wakamatwa. Walitumia ‘pikipiki za Samia’

LGE2024 Nkasi: Wanaodaiwa kutumwa na DC kulipua nyumba ya Mbunge Aida Kenani wakamatwa. Walitumia ‘pikipiki za Samia’

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa kamili hii hapa

Screenshot_2024-11-26-23-33-29-1.png
Screenshot_2024-11-26-23-33-21-1.png
Screenshot_2024-11-26-23-33-12-1.png
Screenshot_2024-11-26-23-32-50-1.png
Screenshot_2024-11-26-23-32-42-1.png
Screenshot_2024-11-26-23-33-46-1.png


Vijana waliovalia Sare zenye nembo ya Chama cha Mapinduzi kama wanavyoonekana kwenye Picha wamevamia Nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Nkasi kaskazini Mkoani Rukwa Mhe. Aida Kenani vijana hao walikuwa na Dumu la Mafuta ya Petrol vijana hao wamebanwa na wengine kuwekwa chini ya ulinzi na walipoulizwa wanadai kwamba wametumwa na Mkuu wa wilaya ya Nkasi.

Pia soma: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Police wamefika na Kuwachukua Vijana hao kwa hatua zaidi.

Viongozi wa Chadema Jimbo la Nkasi Kaskazini, Wagombea pamoja na Mawakala walikuwa na Kikao Jioni ya leo Nyumbani kwa Mbunge Mhe. Aida kenani.
 
nimewahi kusema pale uvccm kuna genge la vijana wahuni wanaopokea order kutoka juu
nimewahi kusema pale uvccm kuna genge la vijana wahuni wanaopokea order kutoka juu
hawa vijana wa hovyo wanahusika na matukio mengi sana, vile watu wengi hawajui namna ya ku deal nao
 
Back
Top Bottom