Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Ndio ututajie kama unamjua.Kamuulize alietumwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ututajie kama unamjua.Kamuulize alietumwa
Wadanganye wajinga wenzioMashujaa kwa nani yaani CCM iangaike na mmbunge mmoja tu wa CDM wa kuchaguliwa.
Hao ni wahuni tu wanaotumia resources za chama kufanya uhalifu na sijui aliewatuma nani.
Kamwe siasa za kuumizana sio desturi ya CCM.
Wahuni sababu hawajafanikisha jambo lenu wangefanikiwa kuchoma mngewaita mashujaa na story zisingekua hizo unazoziweka humu unawaita Wahuni ila aliewatuma hakuwaona Wahuni kibaya zaidi kawagea na pikipiki ya chama waitumie kwenye kufanya uhalifu km huo hapo unachomoaje?Mashujaa kwa nani yaani CCM iangaike na mmbunge mmoja tu wa CDM wa kuchaguliwa.
Hao ni wahuni tu wanaotumia resources za chama kufanya uhalifu na sijui aliewatuma nani.
Kamwe siasa za kuumizana sio desturi ya CCM.
Umeandika nini hapo au wewe ndio ulipewa order hio ukaisogeza kwa vijana hao?Ndio ututajie kama unamjua.
Kwa hio wametumwa na Mama mwenye nyumba?Ukiwa mpumbavu habari hii utaivaa kichwakichwa kama ilivyoletwa ki-upande mmoja kama hivyo......eti 'wametumwa na dc' 🤣🤣🤣🤣
Tufanye hivyo basi au sio? Mmefurahi ee na kura zomeongezeka?!!!Kwa hio wametumwa na Mama mwenye nyumba?
Wewe ni mjingaUkiwa mpumbavu habari hii utaivaa kichwakichwa kama ilivyoletwa ki-upande mmoja kama hivyo......eti 'wametumwa na dc' 🤣🤣🤣🤣
Katibu manesiTufanye hivyo basi au sio? Mmefurahi ee na kura zomeongezeka?!!!
Wewe ni mpumbavu na umekuja humu kufanya sensa ya wapumbavu wenzio!Wewe ni mjinga
Wamejulikana hatimae kumbe ndio maanahahaha, " Yani niwape pikikpiki na nguo za kuvaa halafu niwatume kuua/kuteka halafu mkatae, hiiiii bhagosha"
Umeanza ukichaa wakoWewe ni mpumbavu na umekuja humu kufanya sensa ya wapumbavu wenzio!
sihangaiki na wauaji, Mtanyooshwa na MunguWewe ni mpumbavu na umekuja humu kufanya sensa ya wapumbavu wenzio!
HakikaHayo mafuta waliyobeba yangekutumika dhidi yao.
Iwe fundisho kwa wwngine kama hao