Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 2,993
- 3,747
Utashangaa anapata promotion kua RC. Mafwele ameshapandishwa cheoHuyo DC mpaka muda huu bado yupo ofisini? Huyu atumbuliwe kabla hakujakucha na afunguliwe kesi ya uhaini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utashangaa anapata promotion kua RC. Mafwele ameshapandishwa cheoHuyo DC mpaka muda huu bado yupo ofisini? Huyu atumbuliwe kabla hakujakucha na afunguliwe kesi ya uhaini
Daaah!Utashangaa anapata promotion kua RC. Mafwele ameshapandishwa cheo
CCM haiwezi angaika na mmbunge mmoja wa CDM what’s the motive kipindi hiki cha uchaguzi wa serikali za mitaa.Umeandika nini hapo au wewe ndio ulipewa order hio ukaisogeza kwa vijana hao?
Amefanya alivyoambiwa japokua mpango umeenda ndivyo sivyo asingefanya ndio ungesikia PDF imetoka na mjina wake unasomeka amepigwa chiniUtashangaa anapata promotion kua RC. Mafwele ameshapandishwa cheo
Wewe ni mjumbe wa Shina gani hapo mtaani kwenu?CCM haiwezi angaika na mmbunge mmoja wa CDM what’s the motive kipindi hiki cha uchaguzi wa serikali za mitaa.
Kama uchaguzi mkuu hayo ni mambo ya mwakani, hata kama ni figusu za kuchukua jimbo hizo mbinu hazina uhusiano na kuchomeana nyumba.
Aina maana hakuna sabotages ndani ya CCM wenye kutaka kumchafua mwenyekiti kwa nia zao ovyu, wakishirikiana na CDM,
Huyu dada ajiongezee ulinzi kuna watu wanaweza chukua maisha yake kwa sababu ya kumchafua Samia tu na team kubwa ya wapumbavu ya kusambaza uongo.
Nyumba kumIWewe ni mjumbe wa Shina gani hapo mtaani kwenu?
Shuleni ulienda kufanya nini au kushangaa madarasa?Kwanini Mnyika amekimbia wito wa jeshi la polisi?
Akili kichwani ‘bi-tozo’
Unaona akili zilivyo fupi nimeuliza Shina shule imelala kichwani au?Nyumba kumI
Kizungu hiki.....Where are going as a country?
Huko tusiende tubaki kwenye kupika majungu.Shuleni ulienda kufanya nini au kushangaa madarasa?
Sasa nilichokuuliza na ulichojibu vinawiana au huna cha kujibu?Huko tusiende tubaki kwenye kupika majungu.
Uwezo huo wa ku-challenge elimu yangu huna.
Kuunga mkono ccm ni sawa na kuunga mkono ShetaniDuh...!.
P
Unajua utawala wa shina unavyoanzia kwa katiba ya CCM? Maana huo sio mfumo wa katiba ya nchi.Unaona akili zilivyo fupi nimeuliza Shina shule imelala kichwani au?
UnafurahishaSasa nilichokuuliza na ulichojibu vinawiana au huna cha kujibu?
Wewe jibu swali usianze ngonjera zako hujui sema sijuiUnajua utawala wa shina unavyoanzia kwa katiba ya CCM? Maana huo sio mfumo wa katiba ya nchi.
Huna cha kujibu sema sina cha kujibu acha kujiaibishaUnafurahisha
Wanajulikana miaka yote kwamba CCM ndio hufanya hujuma zote nchi hii.Wamejulikana hatimae kumbe ndio maana