Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 3,506
- 2,606
Zingatia neno Secure Shell(SSH)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zingatia neno Secure Shell(SSH)
Mama kaupiga mwingi,Simba bingwa.
Kesi itafutwa ikionekana tukio siyo la kweli na ushahidi haupo lakini dhamana ni haki yaoNataka wafutiwe kesi maana wametumwa na DC aliyeteuliwa na Samia
Safi sanaHayo mafuta waliyobeba yangekutumika dhidi yao.
Iwe fundisho kwa wwngine kama hao
Aibu kwa Mama ataficha wapi sura yake order imetoka kwake mpaka kwa DC ikaenda kwa vijana vijana wakakosea plan wakanasa sasa hapo sijui anachomoa vipi huo mpiniKesi itafutwa ikionekana tukio siyo la kweli na ushahidi haupo lakini dhamana ni haki yao
Wangefanikisha mpango wao wasipewa sifa mbaya hivyo wangeonekana km mashujaa wa chamaNi wahuni tu wasio na hisani wenye kutumia vibaya nembo ya Samia.
Wamalizane huko huko na warudishe pikipiki zilizo mali za chama, CCM sio chama cha kuumiza watu isipokua ndani yake kuna wahuni kama hawa jamaa waliojipachika.
😆😆😆 CCM haiumizi watu? bila shaka wewe ni mgeniNi wahuni tu wasio na hisani wenye kutumia vibaya nembo ya Samia.
Wamalizane huko huko na warudishe pikipiki zilizo mali za chama, CCM sio chama cha kuumiza watu isipokua ndani yake kuna wahuni kama hawa jamaa waliojipachika.
Huo muda wa kutuma watu kwenda kuumiza wanyonge mwenyekiti wa CCM anautoa wapi,Aibu kwa Mama ataficha wapi sura yake order imetoka kwake mpaka kwa DC ikaenda kwa vijana vijana wakakosea plan wakanasa sasa hapo sijui anachomoa vipi huo mpini
Wakati na yeye katumwa na aliemteua hivi huko shule mlienda kusoma upuuzi?Huyo DC mpaka muda huu bado yupo ofisini? Huyu atumbuliwe kabla hakujakucha na afunguliwe kesi ya uhaini
Hakuna mwanaccm mwenye aibuAibu kwa Mama ataficha wapi sura yake order imetoka kwake mpaka kwa DC ikaenda kwa vijana vijana wakakosea plan wakanasa sasa hapo sijui anachomoa vipi huo mpini
Kamuulize alietumwaHuo muda wa kutuma watu kwenda kuumiza wanyonge mwenyekiti wa CCM anautoa wapi,
Yaan hapo atamkana km hamjuiHakuna mwanaccm mwenye aibu
Watu fulani ndio wakina nani?Kuna askari kapigwa mapanga juzi tu huku na watu Fulani Sasa najiuliza hii nchi yangu mbona imekuwa uadui wa kimya kimya mwingi hivi?! Tufanyeje
Mashujaa kwa nani yaani CCM iangaike na mmbunge mmoja tu wa CDM wa kuchaguliwa.Wangefanikisha mpango wao wasipewa sifa mbaya hivyo wangeonekana km mashujaa wa chama